Hivi nyie wenzangu mliooa watumishi 24/7 kazini raha ya ndoa mnaipata wapi?

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,478
Leo asubuhi nimepata wasaa wa kutembelea rafiki yangu comrade wangu wa siku nyingi, nimemkuta yuko na pilikapilika za kufua nguo zake za kesho kazini na huku anaanda breakfast.

Kumuuliza kulikoni kasema wife siku hizi anapewa overtime ya jmosi na j2 kwa hiyo anarudi saa 12 jioni, niliguna, nikajiuliza hivi pesa na ndoa kipi muhimu?

Alimkataza msichana wakazi kwasababu watoto wote 4 wako shule za bweni mpaka likizo ndo msichana wakazi ndo anaruhusiwa kuja, nyumba kubwa anakaa peke yake kama masikini mpweke, nikaona ndoa hii haina maana kama ni utelezi si masingo maza wamejaa kila mtaa kwanini nipate "psychological torture" ya kujifanya nina mke wakati naonana nae masaa tu afu usiku na amechoka mara 100 nioe wa form 4 failure ila ile dhana/matiki ya kuoe itimie.

Nimemkataza asiniandalie chai nimeshiba baada ya kuona anangaika, na muda wa stori hana nikamuaga kwasababu niliona anaona aibu kutoa nguo za mkewe kuzifua pia niliona nguo kwenye beseni za kike, looh!
 
Leo asubuhi nimepata wasaa wa kutembelea rafiki yangu comrade wangu wa siku nyingi, nimemkuta yuko na pilikapilika za kufua nguo zake za kesho kazini na huku anaanda breakfast.

Kumuuliza kulikoni kasema wife siku hizi anapewa overtime ya jmosi na j2 kwa hiyo anarudi saa 12 jioni, niliguna, nikajiuliza hivi pesa na ndoa kipi muhimu?

Alimkataza msichana wakazi kwasababu watoto wote 4 wako shule za bweni mpaka likizo ndo msichana wakazi ndo anaruhusiwa kuja, nyumba kubwa anakaa peke yake kama masikini mpweke, nikaona ndoa hii haina maana kama ni utelezi si masingo maza wamejaa kila mtaa kwanini nipate "psychological torture" ya kujifanya nina mke wakati naonana nae masaa tu afu usiku na amechoka mara 100 nioe wa form 4 failure ila ile dhana/matiki ya kuoe itimie.

Nimemkataza asiniandalie chai nimeshiba baada ya kuona anangaika, na muda wa stori hana nikamuaga kwasababu niliona anaona aibu kutoa nguo za mkewe kuzifua pia niliona nguo kwenye beseni za kike, looh!


Wanamlia mke huyo
 
Hakuna kitu ka hicho.. Hakuna anayefanya kazi hivyo. Kuna jamaa linamsigina huko kazini na amekolea kisawa sawa. Waingereza wanasema.. "You're either banging her or someone else is "
Kazi zipo nilikuwa nafanya kazi taasis fulani yaani jumamosi na j2 mzigo na pesa unapewa yaani pesa utaoga ila mda hautoshi na kwa vile watu wanafanya kazi msaa 24 mpaka sikukuu .

Kwa pesa tu utakula ila muda hupati.
 
Leo asubuhi nimepata wasaa wa kutembelea rafiki yangu comrade wangu wa siku nyingi, nimemkuta yuko na pilikapilika za kufua nguo zake za kesho kazini na huku anaanda breakfast.

Kumuuliza kulikoni kasema wife siku hizi anapewa overtime ya jmosi na j2 kwa hiyo anarudi saa 12 jioni, niliguna, nikajiuliza hivi pesa na ndoa kipi muhimu?

Alimkataza msichana wakazi kwasababu watoto wote 4 wako shule za bweni mpaka likizo ndo msichana wakazi ndo anaruhusiwa kuja, nyumba kubwa anakaa peke yake kama masikini mpweke, nikaona ndoa hii haina maana kama ni utelezi si masingo maza wamejaa kila mtaa kwanini nipate "psychological torture" ya kujifanya nina mke wakati naonana nae masaa tu afu usiku na amechoka mara 100 nioe wa form 4 failure ila ile dhana/matiki ya kuoe itimie.

Nimemkataza asiniandalie chai nimeshiba baada ya kuona anangaika, na muda wa stori hana nikamuaga kwasababu niliona anaona aibu kutoa nguo za mkewe kuzifua pia niliona nguo kwenye beseni za kike, looh!
Kwaio thread yako bila kutaja single mother. Ungeamka asubuh haisimami kesho? Si useme wanawake
 
Mtoa mada unatakiwa kufahamu yafuatayo.

1. Huyo jamaa yako hajalalamika kwamba anaumia au anapata shinda mkewe kufanya kazi hadi weekend. (Kwa nini wewe ndo ikuume?............)

2. Bora mke afanye kazi hadi weekend Ili kukuza uchumi wa familia mfano umesema watoto wao 4 wako boarding hiyo familia Iko vizuri economically.

3. Huyo jamaa na mke wake nawakubali sana.

4. Form four failure mwenye chura na sura ya kuvutia afu jobless mvivu, sharp atakusaidia nini zaidi ya kusababisha umasikini kwenye familia?......
 
Ili isiwe taabu tumeamua kuishi nao kama marafiki tu, hatujui mishahara yao ni kiasi gani na hatuchunguzi salary slip zao kujua mengi kama wana mikopo au hawana. Hatujui mishahara yao wanaifanyia nini kwani kuchunguza hayo ni kuhatarisha mahusiano. Kwa wale wanaofanya kazi usiku kama manesi, maaskari na wengine tumeamua kukaa kimya tusijue kama kweli siku zote ni shift au huenda kwa michepuko yao. Kama mabosi au wafanyakazi wenzao wanajitwalia huko nje hatutaki kujua tusije tukafa mapema na kuwaachia wahuni wakijilia kwa raha zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom