Endelea kujifariji mkuu...
Waende zao wakalambe matapishi yao huko fisiemu.Madiwani watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Iringa wamejiuzulu nafasi zao na kukihama chama hicho kwa kile wanachodai kuwa viongozi wao ngazi wametawaliwa na rushwa na ubaguzi dhidi ya baadhi ya madiwani.
Akiongea kwa niaba ya wenzake Baraka Kimata diwani wa Kitwiru amesema ameamua kufanya maamuzi hayo magumu ili hali anatambua kuwa wapo watu watachukizwa na maamuzi hayo lakini hana jinsi kwa kuwa amevumilia mambo mengi ndani ya chama hicho.
"Najua wapo watu wataumia kutokana na maamuzi haya lakini sina jinsi imebidi nifanye maamuzi magumu kwani kuna wakati watu mnafanya vikao hafikii maamuzi kutokana na mabishano mpaka muda mwingine mnatishiana maisha sasa tunaendelea kutafakari hichi chama ambacho kimewaaminisha Watanzania kuwa chama mbadala kikachukua dola kitawaletea Watanzania nini" alihoji Baraka
Diwani huyo aliendelea kufafanua mambo mengine mengi mtazame hapo chini
Chanzo: EATV
Tunawapongeza kwa Kuachana na Mafisadi.
Ngoja waje na matusi yao maana nliwaacha terminal1 wanalinda Bomberdia isitue TZ maana wataaibikaHii imetokea leo manispaa ya Iringa ambapo madiwani watatu wa chadema wamebwaga manyanga kwa maelezo kuwa ndani ya chama hicho kuna ubabaishaji mwingi, Rushwa na ufisadi, umangimeza na ubabe usio na maana. Zaidi fungua hii link hapa chini.
MWANGAZA WA HABARI: MADIWANI WATATU WA CHADEMA MANISPAA YA IRINGA WAJIVUA UWANACHA NA UDIWANI
Tena Lisu anaiita bombadiee, utafikiri hakwenda shule. Ha ha ha.Ngoja waje na matusi yao maana nliwaacha terminal1 wanalinda Bomberdia isitue TZ maana wataaibika