Madiwani watatu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Iringa wamejiuzulu

wamechagua kule kwenye viongozi wapumbavu... kuacha udiwani ili uwe mwanachama wa kawaida ni zaidi ya upumbavu....
 
Waende zao wakalambe matapishi yao huko fisiemu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti wana sema ni CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO... Hakuna DEMOKRASIA yoyote ndani ya CDM na hawa wanaokaza ubongo mtaani kubisha na kujenga hoja juu ya CDM kwanza hata kadi tu hawana wala si wanachama....Kijana ingia ndani ya CDM Afu jaribu kuutambua ukweli na huo ukweli utakuweka huru....

Ai kotoni ende mai kondisheni...
 
Kuna diwani mmoja wa ccm huku Lake Zone ambaye pia alishawahi kuwa mwenyekiti wa halmashauri aliwaambia wapambe wake kuwa hatagombea tena udiwani maana madili hayapo yamebaki ngazi za juu tu hivyo kwake ameingia hasara sasa madiwani walioko chadema hata ukiwahonga milioni 5 tu wanauza udiwani.
Na ikumbukwe ukiwa diwani wa chadema ni full kufanya kazi ya kujitolea maana ukifanya ufisadi tu unaishia jela kwakuwa unakuwa huna kinga ya ccm.
Maisha ya upinzani ni magumu sana vikwazo vya kimaisha ni vingi mno mtu anaona kulaza familia njaa ni bora tu asalimu amri kwa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii siyo habari.tulishaambiwa kuwa kuna wasaliti hapo Iringa wanamhujumu msigwa
 
Nashangaamzwa sana na akili za watanzania wanaokubaliana na huu Upuuzi.

Hivi hawa watu wazima na sharubu zao, waliwaza nini kua wagombea WA chama cha upinzani na leo bila hata soni, wanadai kuachana na nafasi zao?

Mi bado naamini wamenunuliwa iwe kwa ahadi ama pesa kamili.
Na nijuavyo mwisho WA muovu hubaki huovu.

Time will tell.
Usaliti ni dhambi yenye laana kuu.
Ni mara 100 wasingegombea.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgogoro upo mkubwa sana kat ya msigwa na madiwan....mpango ulikuwepo wa kumwondoa msigwa kwenye kura za maoni 2015 ila dili likabuma...!! Kwa vyovyote vile msigwa anakabiliana na wakat mgumu kuliko maelezo at the same tym...mkuu wa wilaya ya iringa anakuja juu sana na kundi kubwa linamkubali hata baadh ya makada wa chadema hapo irunga wanamkubali...jamaa naye ana mpango wa kugombea 2020...safar hii msigwa itabd aongeze waganga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…