Madiwani waliojiuzulu Arumeru waajiriwa halmashauri

Madiwani waliojiuzulu Arumeru waajiriwa halmashauri

Hii ni hujuma kubwa sana dhidi ya demokrasia hawa wana kesi ya kujibu mbele ya wapiga kura na mbele ya Mungu laana inafanya kazi kizazi cha kwanza hadi cha nne kwa hiyo wasipoadhibiwa wao wataadhibiwa watoto wao ama wajukuu wao ama vitukuu vyao.
Time wil tell .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kushinda usaili? hujasoma alichosema DED wa Arusha (R)? eti wameomba kujitolea kufanya kazi halmshauri lakini kukitokea nafasi za ajira wao ndio watapewa kipaumbele. issue ya madiwani hawa kujiuzulu sasa ipo clear na hahihitaji hata elimu ya Form Six kung'amua kilichotokea na kinachoendelea
Duh ndio maana Lisu anafoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa yule wa Ambureni mwenye cheti la darasa la saba atakuwa mfagiaji?
 
Kwanza ifahamike, Madiwani waliojiudhuru Arurumeru ni sita, aliyeajiriwa kwa kujitolea Arusha ni mmoja hiyo lugha ya "Baadhi ya Madiwani" kuajiliwa INA nia ya kupotosha wananchi. Hata kama ni kweli, MTU akiwa hana kazi haruhusiwi kitafuta kazi na akitafuta isiwe serikali ni akafanye kwenye shamba la Mbowe? Chadema haina viongozi waliopo serikali ni?

Huwezi kuwa Chadema ukawasalama kia jira serikalini. S4erikalini wapo CCM na ACT tu.
 
Kwanza ifahamike, Madiwani waliojiudhuru Arurumeru ni sita, aliyeajiriwa kwa kujitolea Arusha ni mmoja hiyo lugha ya "Baadhi ya Madiwani" kuajiliwa INA nia ya kupotosha wananchi. Hata kama ni kweli, MTU akiwa hana kazi haruhusiwi kitafuta kazi na akitafuta isiwe serikali ni akafanye kwenye shamba la Mbowe? Chadema haina viongozi waliopo serikali ni?
We huoni maajabu, hivi ukiwa diwani wa kutoka upinzani JD yako tofauti na wa chama tawala. Huu ni homo habilis
 
Hii formula inayotumiwa na CCM kwa sasa sijui tuuiiteje "Mchawi mpe mwana alee" au "Mfanye adui kua rafiki"
 
clearly, it was part of the deal - ha ha ha Ony in Tanzania - nchi ya Viwanda.
 
Back
Top Bottom