Acha wakatumikie wananchi kama watendaji...ndio kuunga mkono Rais kwa usahihi.
kushinda usaili? hujasoma alichosema DED wa Arusha (R)? eti wameomba kujitolea kufanya kazi halmshauri lakini kukitokea nafasi za ajira wao ndio watapewa kipaumbele. issue ya madiwani hawa kujiuzulu sasa ipo clear na hahihitaji hata elimu ya Form Six kung'amua kilichotokea na kinachoendelea
Kwanza ifahamike, Madiwani waliojiudhuru Arurumeru ni sita, aliyeajiriwa kwa kujitolea Arusha ni mmoja hiyo lugha ya "Baadhi ya Madiwani" kuajiliwa INA nia ya kupotosha wananchi. Hata kama ni kweli, MTU akiwa hana kazi haruhusiwi kitafuta kazi na akitafuta isiwe serikali ni akafanye kwenye shamba la Mbowe? Chadema haina viongozi waliopo serikali ni?kushinda usaili? hujasoma alichosema DED wa Arusha (R)? eti wameomba kujitolea kufanya kazi halmshauri lakini kukitokea nafasi za ajira wao ndio watapewa kipaumbele. issue ya madiwani hawa kujiuzulu sasa ipo clear na hahihitaji hata elimu ya Form Six kung'amua kilichotokea na kinachoendelea
Kwanza ifahamike, Madiwani waliojiudhuru Arurumeru ni sita, aliyeajiriwa kwa kujitolea Arusha ni mmoja hiyo lugha ya "Baadhi ya Madiwani" kuajiliwa INA nia ya kupotosha wananchi. Hata kama ni kweli, MTU akiwa hana kazi haruhusiwi kitafuta kazi na akitafuta isiwe serikali ni akafanye kwenye shamba la Mbowe? Chadema haina viongozi waliopo serikali ni?
atiii!Hizo ni ajira.... zawadi...[emoji47] [emoji47]
Nadhani ni habari toka gazeti la Tanzania Daima.Kwanza ifahamike, Madiwani waliojiudhuru Arurumeru ni sita, aliyeajiriwa kwa kujitolea Arusha ni mmoja hiyo lugha ya "Baadhi ya Madiwani" kuajiliwa INA nia ya kupotosha wananchi. Hata kama ni kweli, MTU akiwa hana kazi haruhusiwi kitafuta kazi na akitafuta isiwe serikali ni akafanye kwenye shamba la Mbowe? Chadema haina viongozi waliopo serikali ni?
Tena wanajitolea...kuna ubaya gani hapo!?