inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,983
- 18,273
Yaani tukose 16% ya pesa yote itakayopatikana hapo Leo kugonja sijui lini!?..wa Leo hatustahiki maisha mazuri!?.. unadhani shida ya kuchimba ni teknolojia tu!?..mtaji babu!!,ikipatikana Dola $100b sisi tunapata $16b,tunakuwa wapi kwenye kujitegemea kibajeti!?Kama hatuna Teknolojia, Kuna uharaka gani wa kuyachimba?
Kama wazee wetu wangekuwa na haraka hiyo, sisi tungeyakuta?
Acheni ubinafsi.
Wafikirieni watoto wenu na wajukuu zenu pia.
Acheni kufikiri kwa kutumia matumbo yenu.