Madikteta wote duniani hufanana

Gaddafi na Mobutu hawafanani.

Mobutu alikuwa aliwezeshwa kuingia madarakani na wazungu lakini Gaddafi hakusaidiwa na wazungu

Mobutu alilindwa na wazungu mwanzo mwisho lakini Gaddafi alipingwa na wazungu mwanzo mwisho

Mobutu aliihujumu Zaire mwanzo mwisho akisaidiwa Na wazungu wakati Gaddafi aliijenga Libya akisaidiana na walibya wenzie

Mobutu alikuwa mbinafsi lakini Gaddafi alikuwa si mbinafsi

Mobutu aliiacha nchi ikiwa hohehahe katika kila kitu lakini Gaddafi aliiacha nchi ikiwa nzur ingawa miezi ya mwisho iliharibiwa Na wazungu na vibaraka wao

Mobutu hakuwa na nia ya kuwasaidia wa Zaire lakini Gaddafi alikuwa na nia thabiti ya kuwasaidia walibya

Mobutu alikuwa kibaraka wa wazungu wakati Gaddafi alikuwa kibaraka wa walibya

Mobutu alikuwa anautukuza uzungu lakin Gaddafi alikuwa anautukuza uafrika

Wapinzani wakubwa na wa maana wa Mobutu walikuwa wana fadhiliwa au kuwezeshwa na wanazaire wenyewe lakini wapinzani wakubwa wa Gaddafi walikuwa wanawezeshwa na kufadhiliwa na wazungu

Orodha inaweza endelea mpaka kesho. Niishie hapa kwa leo

Lakini wote Mobutu na Gaddafi walikuwa madikteta, inasemwa
Pointi unayotaka tumalizie ni kuwa wa kwetu ni wa aina ipi?
 
Madikteta wote wanafanana; wawe ni wale ambao ni mtu mmoja mmoja au wawe wa chama kimoja; kufanana kwao kunatabiri vitendo vyao. Hufanana katika mambo makubwa matano:

a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine kinachoweza kutawala vizuri kuliko wao). Baadhi yao (kama ni mtu mmoja au chama) hujiaminisha kabisa kuwa ni wateule wa Mungu kutawala nchi zao.
b. Huamini kuwa wanapendwa sana kupita kiasi (hili kuelezea kwanini picha, sanamu, n.k zao huenezwa kila kona ya nchi) Hupenda kuimbiwa nyimbo za kusifiwa na kupeperushiwa maua kila wapitapo kama ishara ya "upendo" huu.
c. Hawako tayari kuamini wanaweza kukataliwa; Mara zote inapotokea mtu anawapinga au kuwakataa hutafutiwa sababu ya kuoneshwa kuwa haiwezekani awakate wao kwani (b) wao wanapendwa sana!
d. Hata siku moja hawajawahi kutengeneza mifumo itakayowaondoa wao wenyewe madarakani. Hivyo, hutumia mbinu zote kufanya mabadiliko ya kimapambo tu ambayo kwa watu wasiofuatilia huweza kuvutiwa kuwa ni mabadiliko. HIvyo aidha hujikuta wanaondoka kwa kukimbia au kwa kukimbizwa na wananchi wao au mataifa ya nje!
e. Wako tayari kufanya jambo lolote kubakia madarakani - msisitizo hapa uko kwenye neno "LOLOTE".

Kutokana na hayo matatu tabia za madikteta wote huweza kutabirika (wawe ni mtu mmoja au chama kimoja). Na ili kuhakikisha hayo matatu madikteta wote duniani (wanaovaa nguo za kiraia na wale wanaovaa nguo za kijeshi)

1. Hutumia vitisho kulazimisha kupendwa na kukubalika - silaha ya dikteta ni vitisho (terror). Wakikukamata watakasumbua sana hadi uogope. Lengo ni kukushawishi uone ni kwanini wao wanastahli kupendwa! Hupenda kujiona kama wazazi wa wananchi - nani atamchukia mzazi wake?
2. Hutengeneza masimulizi ya sifa na kuyalazimisha yaaminiwe hata kama msingi wake ni uongo. Madikteta ni mabingwa wa kuunda (manufacture) uongo. Uwezo wao mkubwa wa kufanya hivi hutokana na ukweli kuwa wao humiliki vyombo vya habari vyenye kufikia watu wengi zaidi (radio, TVs n.k)
3. Inapofikia mahali kuwa upendo wa wananchi unapungua au wanaanza kuwa na mashaka nao madikteta huanza kupoteza watu. Yaani, pole pole watu huanza kukamatwa na kuwekwa "vizuizini" ili wasimpinge sana dikteta.
4. Kisingizio pekee cha madikteta wote (wawe wa mtu mmoja au chama kimoja) kuhalalisha kuwanyanyasa, kuwanyima wananchi uhuru na hata kuwatia watu nguvuni ni "kwa ajili ya nchi". Yaani, hutumia "taifa" kama kisingizio cha wao kuendelea kutawala.

Kwanini?

Kwa sababu madikteta wote wanataka kupendwa na kukubaliwa!

Ole wao wananchi wanaposema "hapana"!!!

Na. M. M. Mwanakijiji (BGM)
Naona unatamani uzi huu ufutwe!!
 
hakuna uhuru bila mipaka huyu sio JK yule aliwaacha mfanye mtakanyo. Mnataka kulazimisha awe mnavyotaka haiwezekani. Hayo ni maoni yako mimi naona ni CHADEMA maana mtu anaamua kumleta mtu na siku hiyo hiyo anamfanya mgombania urais bila ya maridhiano. yangekuwepo wasingeondoka watu. matumizi ya pesa ili wakubalike, kamfitinisha Zitto kisa anataka kuwa mwenyekiti, Zitto kagundua katolewa, Watu wameuwawa waliokuwa na ugomvi nao Chacha wangwe au hayo wewe huyaoni. kawanunua kina lissu ili wakubali move za kibiashara na sio Demokrasia za kumuingiza Lowassa Au mlifanya uchaguzi mkamchagua Lowasssa kuwakilisha Chama kama mgombea uraisi? Angalieni boriti zenu ndipo muone vibanzi vya wenzenu
Bado hujajibu kuwa huyu tuliyenaye ni Dictator hatari mno. Na amewachagua akina Malyamungu kumsaidia. Naona unazunguka tu ukibwabwaja na Historia. Nchi inaingia kubaya. Ngojea Dracula wanyonya damu wakupate na wewe. Hakuna msalie mtume kwa dictator wewe! kha. Sasa kuna polisi wanatumwa kuchungulia nyumbani kwa watu na hotelini wanaongea nini. NI HATARI!! usijitie sintofahamu. Hatutaki fujo wala umwagaji damu tunataka katiba ifuatwe basi. Kama una nia njema waambie hao unaowatetea at least wafuate sheria MAMA KATIBA.
 
Bado hujajibu kuwa huyu tuliyenaye ni Dictator hatari mno. Na amewachagua akina Malyamungu kumsaidia. Naona unazunguka tu ukibwabwaja na Historia. Nchi inaingia kubaya. Ngojea Dracula wanyonya damu wakupate na wewe. Hakuna msalie mtume kwa dictator wewe! kha. Sasa kuna polisi wanatumwa kuchungulia nyumbani kwa watu na hotelini wanaongea nini. NI HATARI!! usijitie sintofahamu. Hatutaki fujo wala umwagaji damu tunataka katiba ifuatwe basi. Kama una nia njema waambie hao unaowatetea at least wafuate sheria MAMA KATIBA.
Natakiwa nikujibu kama nani? wewe na maoni yako na mimi hayo ni yangu, kila mtu ajue yeye wapi pa kusimamia. sorry i don't see what you see.
 
Natakiwa nikujibu kama nani? wewe na maoni yako na mimi hayo ni yangu, kila mtu ajue yeye wapi pa kusimamia. sorry i don't see what you see.
Because you are part of the dictatorship system! Go ahead time will tell. OR even intervention from Heavens
 
Mzee mwanakijiji leo hana ujasiri tena wa kuandika hivyo tena anaweza kulikana hili siyo la kwake
 
Sifa yao ingine ni kwamba huhakikisha watu wote wenye uwezo hawapati nafasi katika fursa za uongozi wowote wala kupata kazi ya maana. Wakishindwa kabisa kuwakwamisha, huwafunga na/au kuwaua!
aysee!!kumbe zamani ndo ilikuwa hivi? sasa mbona siku hizi kama sikuelewi elewi? enewei nikutakie shughuli njema ya uzinduzi wa kisima cha maji kimoja kwenye kijiji chetu cha watu 300,tutapiga na picha ya ukumbusho
 
zamani nilimkubali huyu mzee, kama mwanaharakati, mtetezi wa haki demokrasia na mchambuzi nguli wa mambo ya siasa, kumbe tatizo lake ni lowasa na wanachadema, huu udictator unaotuumiza hana habari nao
 
Gaddafi na Mobutu hawafanani.

Mobutu alikuwa aliwezeshwa kuingia madarakani na wazungu lakini Gaddafi hakusaidiwa na wazungu

Mobutu alilindwa na wazungu mwanzo mwisho lakini Gaddafi alipingwa na wazungu mwanzo mwisho

Mobutu aliihujumu Zaire mwanzo mwisho akisaidiwa Na wazungu wakati Gaddafi aliijenga Libya akisaidiana na walibya wenzie

Mobutu alikuwa mbinafsi lakini Gaddafi alikuwa si mbinafsi

Mobutu aliiacha nchi ikiwa hohehahe katika kila kitu lakini Gaddafi aliiacha nchi ikiwa nzur ingawa miezi ya mwisho iliharibiwa Na wazungu na vibaraka wao

Mobutu hakuwa na nia ya kuwasaidia wa Zaire lakini Gaddafi alikuwa na nia thabiti ya kuwasaidia walibya

Mobutu alikuwa kibaraka wa wazungu wakati Gaddafi alikuwa kibaraka wa walibya

Mobutu alikuwa anautukuza uzungu lakin Gaddafi alikuwa anautukuza uafrika

Wapinzani wakubwa na wa maana wa Mobutu walikuwa wana fadhiliwa au kuwezeshwa na wanazaire wenyewe lakini wapinzani wakubwa wa Gaddafi walikuwa wanawezeshwa na kufadhiliwa na wazungu

Orodha inaweza endelea mpaka kesho. Niishie hapa kwa leo

Lakini wote Mobutu na Gaddafi walikuwa madikteta, inasemwa
Mwisho wao uwa ni mmoja
Tabiri zinatimia leo
 
Madikteta wote wanafanana; wawe ni wale ambao ni mtu mmoja mmoja au wawe wa chama kimoja; kufanana kwao kunatabiri vitendo vyao. Hufanana katika mambo makubwa matano:

a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine kinachoweza kutawala vizuri kuliko wao). Baadhi yao (kama ni mtu mmoja au chama) hujiaminisha kabisa kuwa ni wateule wa Mungu kutawala nchi zao.
b. Huamini kuwa wanapendwa sana kupita kiasi (hili kuelezea kwanini picha, sanamu, n.k zao huenezwa kila kona ya nchi) Hupenda kuimbiwa nyimbo za kusifiwa na kupeperushiwa maua kila wapitapo kama ishara ya "upendo" huu.
c. Hawako tayari kuamini wanaweza kukataliwa; Mara zote inapotokea mtu anawapinga au kuwakataa hutafutiwa sababu ya kuoneshwa kuwa haiwezekani awakate wao kwani (b) wao wanapendwa sana!
d. Hata siku moja hawajawahi kutengeneza mifumo itakayowaondoa wao wenyewe madarakani. Hivyo, hutumia mbinu zote kufanya mabadiliko ya kimapambo tu ambayo kwa watu wasiofuatilia huweza kuvutiwa kuwa ni mabadiliko. HIvyo aidha hujikuta wanaondoka kwa kukimbia au kwa kukimbizwa na wananchi wao au mataifa ya nje!
e. Wako tayari kufanya jambo lolote kubakia madarakani - msisitizo hapa uko kwenye neno "LOLOTE".

Kutokana na hayo matatu tabia za madikteta wote huweza kutabirika (wawe ni mtu mmoja au chama kimoja). Na ili kuhakikisha hayo matatu madikteta wote duniani (wanaovaa nguo za kiraia na wale wanaovaa nguo za kijeshi)

1. Hutumia vitisho kulazimisha kupendwa na kukubalika - silaha ya dikteta ni vitisho (terror). Wakikukamata watakasumbua sana hadi uogope. Lengo ni kukushawishi uone ni kwanini wao wanastahli kupendwa! Hupenda kujiona kama wazazi wa wananchi - nani atamchukia mzazi wake?
2. Hutengeneza masimulizi ya sifa na kuyalazimisha yaaminiwe hata kama msingi wake ni uongo. Madikteta ni mabingwa wa kuunda (manufacture) uongo. Uwezo wao mkubwa wa kufanya hivi hutokana na ukweli kuwa wao humiliki vyombo vya habari vyenye kufikia watu wengi zaidi (radio, TVs n.k)
3. Inapofikia mahali kuwa upendo wa wananchi unapungua au wanaanza kuwa na mashaka nao madikteta huanza kupoteza watu. Yaani, pole pole watu huanza kukamatwa na kuwekwa "vizuizini" ili wasimpinge sana dikteta.
4. Kisingizio pekee cha madikteta wote (wawe wa mtu mmoja au chama kimoja) kuhalalisha kuwanyanyasa, kuwanyima wananchi uhuru na hata kuwatia watu nguvuni ni "kwa ajili ya nchi". Yaani, hutumia "taifa" kama kisingizio cha wao kuendelea kutawala.

Kwanini?

Kwa sababu madikteta wote wanataka kupendwa na kukubaliwa!

Ole wao wananchi wanaposema "hapana"!!!

Na. M. M. Mwanakijiji (BGM)
hahahahaha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante kwa kila aliechangia nimekifunza kitu zaidi kwa yule ilieanzinzisha [HASHTAG]#mwanakijiji[/HASHTAG] .
 
Can you prove your statement?
1472546587537.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom