Madikteta wote duniani hufanana

Madikteta wote duniani hufanana

Huyu ndiye Mzee Mwanakijiji niliyekuwa mamfahamu enzi hizo wakati bado anamiliki akili zake zote.

Gaddafi na Mobutu hawafanani.

Mobutu alikuwa aliwezeshwa kuingia madarakani na wazungu lakini Gaddafi hakusaidiwa na wazungu

Mobutu alilindwa na wazungu mwanzo mwisho lakini Gaddafi alipingwa na wazungu mwanzo mwisho

Mobutu aliihujumu Zaire mwanzo mwisho akisaidiwa Na wazungu wakati Gaddafi aliijenga Libya akisaidiana na walibya wenzie

Mobutu alikuwa mbinafsi lakini Gaddafi alikuwa si mbinafsi

Mobutu aliiacha nchi ikiwa hohehahe katika kila kitu lakini Gaddafi aliiacha nchi ikiwa nzur ingawa miezi ya mwisho iliharibiwa Na wazungu na vibaraka wao

Mobutu hakuwa na nia ya kuwasaidia wa Zaire lakini Gaddafi alikuwa na nia thabiti ya kuwasaidia walibya

Mobutu alikuwa kibaraka wa wazungu wakati Gaddafi alikuwa kibaraka wa walibya

Mobutu alikuwa anautukuza uzungu lakin Gaddafi alikuwa anautukuza uafrika

Wapinzani wakubwa na wa maana wa Mobutu walikuwa wana fadhiliwa au kuwezeshwa na wanazaire wenyewe lakini wapinzani wakubwa wa Gaddafi walikuwa wanawezeshwa na kufadhiliwa na wazungu

Orodha inaweza endelea mpaka kesho. Niishie hapa kwa leo

Lakini wote Mobutu na Gaddafi walikuwa madikteta, inasemwa
 
a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine kinachoweza kutawala vizuri kuliko wao). Baadhi yao (kama ni mtu mmoja au chama) hujiaminisha kabisa kuwa ni wateule wa Mungu kutawala nchi zao.
Hawashauriki..''Chama Dume''😀

b. Huamini kuwa wanapendwa sana kupita kiasi (hili kuelezea kwanini picha, sanamu, n.k zao huenezwa kila kona ya nchi) Hupenda kuimbiwa nyimbo za kusifiwa na kupeperushiwa maua kila wapitapo kama ishara ya "upendo" huu.
hawako tayari kukosolewa..🙂
c. Hawako tayari kuamini wanaweza kukataliwa; Mara zote inapotokea mtu anawapinga au kuwakataa hutafutiwa sababu ya kuoneshwa kuwa haiwezekani awakate wao kwani
sababu ikiwemo.....''Uchochezi''😎
d. Hata siku moja hawajawahi kutengeneza mifumo itakayowaondoa wao wenyewe madarakani. Hivyo, hutumia mbinu zote kufanya mabadiliko ya kimapambo tu ambayo kwa watu wasiofuatilia huweza kuvutiwa kuwa ni mabadiliko.
ila kwa sasa wasiovutiwa na mabadiliko hayo wamepachikwa jina la ''Wahatuwe''
e. Wako tayari kufanya jambo lolote kubakia madarakani - msisitizo hapa uko kwenye neno "LOLOTE".
yes,''lolote''..ikiwemo kuisigina katiba,na kubadilisha ndiyo kuwa siyo.
Kutokana na hayo matatu tabia za madikteta wote huweza kutabirika (wawe ni mtu mmoja au chama kimoja).
naam,kama movie ya ''Ukuta''......Tamko la JW lilijulikana kabla ya kutamkwa..

1. Hutumia vitisho kulazimisha kupendwa na kukubalika - silaha ya dikteta ni vitisho (terror). Wakikukamata watakasumbua sana hadi uogope. Lengo ni kukushawishi uone ni kwanini wao wanastahli kupendwa! Hupenda kujiona kama wazazi wa wananchi - nani atamchukia mzazi wake?
You nailed it...Hawataki ''Kujaribiwa''

a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine kinachoweza kutawala vizuri kuliko wao). Baadhi yao (kama ni mtu mmoja au chama) hujiaminisha kabisa kuwa ni wateule wa Mungu kutawala nchi zao.
Hawashauriki..''Chama Dume''😀

b. Huamini kuwa wanapendwa sana kupita kiasi (hili kuelezea kwanini picha, sanamu, n.k zao huenezwa kila kona ya nchi) Hupenda kuimbiwa nyimbo za kusifiwa na kupeperushiwa maua kila wapitapo kama ishara ya "upendo" huu.
hawako tayari kukosolewa..🙂
c. Hawako tayari kuamini wanaweza kukataliwa; Mara zote inapotokea mtu anawapinga au kuwakataa hutafutiwa sababu ya kuoneshwa kuwa haiwezekani awakate wao kwani
sababu ikiwemo.....''Uchochezi''😎
d. Hata siku moja hawajawahi kutengeneza mifumo itakayowaondoa wao wenyewe madarakani. Hivyo, hutumia mbinu zote kufanya mabadiliko ya kimapambo tu ambayo kwa watu wasiofuatilia huweza kuvutiwa kuwa ni mabadiliko.
ila kwa sasa wasiovutiwa na mabadiliko hayo wamepachikwa jina la ''Wahatuwe''
e. Wako tayari kufanya jambo lolote kubakia madarakani - msisitizo hapa uko kwenye neno "LOLOTE".
yes,''lolote''..ikiwemo kuisigina katiba,na kubadilisha ndiyo kuwa siyo.
Kutokana na hayo matatu tabia za madikteta wote huweza kutabirika (wawe ni mtu mmoja au chama kimoja).
naam,kama movie ''Ukuta''......Tamko la JW lilijulikana kama ya kutamkwa..


1. Hutumia vitisho kulazimisha kupendwa na kukubalika - silaha ya dikteta ni vitisho (terror). Wakikukamata watakasumbua sana hadi uogope. Lengo ni kukushawishi uone ni kwanini wao wanastahli kupendwa! Hupenda kujiona kama wazazi wa wananchi - nani atamchukia mzazi wake?
You nailed it...Hawataki ''Kujaribiwa''

2. Hutengeneza masimulizi ya sifa na kuyalazimisha yaaminiwe hata kama msingi wake ni uongo. Madikteta ni mabingwa wa kuunda (manufacture) uongo. Uwezo wao mkubwa wa kufanya hivi hutokana na ukweli kuwa wao humiliki vyombo vya habari vyenye kufikia watu wengi zaidi (radio, TVs n.k)
ooh vyombo vya habari....sijui vile vinavyotoa msimamo usiowapendeza vinafanywa nini?..aah nimekumbuka siku mbili hizi kilichotokea..
a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine kinachoweza kutawala vizuri kuliko wao). Baadhi yao (kama ni mtu mmoja au chama) hujiaminisha kabisa kuwa ni wateule wa Mungu kutawala nchi zao.
Hawashauriki..''Chama Dume''😀

b. Huamini kuwa wanapendwa sana kupita kiasi (hili kuelezea kwanini picha, sanamu, n.k zao huenezwa kila kona ya nchi) Hupenda kuimbiwa nyimbo za kusifiwa na kupeperushiwa maua kila wapitapo kama ishara ya "upendo" huu.
hawako tayari kukosolewa..🙂
c. Hawako tayari kuamini wanaweza kukataliwa; Mara zote inapotokea mtu anawapinga au kuwakataa hutafutiwa sababu ya kuoneshwa kuwa haiwezekani awakate wao kwani
sababu ikiwemo.....''Uchochezi''😎
d. Hata siku moja hawajawahi kutengeneza mifumo itakayowaondoa wao wenyewe madarakani. Hivyo, hutumia mbinu zote kufanya mabadiliko ya kimapambo tu ambayo kwa watu wasiofuatilia huweza kuvutiwa kuwa ni mabadiliko.
ila kwa sasa wasiovutiwa na mabadiliko hayo wamepachikwa jina la ''Wahatuwe''
e. Wako tayari kufanya jambo lolote kubakia madarakani - msisitizo hapa uko kwenye neno "LOLOTE".
yes,''lolote''..ikiwemo kuisigina katiba,na kubadilisha ndiyo kuwa siyo.
Kutokana na hayo matatu tabia za madikteta wote huweza kutabirika (wawe ni mtu mmoja au chama kimoja).
naam,kama movie ''Ukuta''......Tamko la JW lilijulikana kama ya kutamkwa..


1. Hutumia vitisho kulazimisha kupendwa na kukubalika - silaha ya dikteta ni vitisho (terror). Wakikukamata watakasumbua sana hadi uogope. Lengo ni kukushawishi uone ni kwanini wao wanastahli kupendwa! Hupenda kujiona kama wazazi wa wananchi - nani atamchukia mzazi wake?
You nailed it...Hawataki ''Kujaribiwa''

3. Inapofikia mahali kuwa upendo wa wananchi unapungua au wanaanza kuwa na mashaka nao madikteta huanza kupoteza watu. Yaani, pole pole watu huanza kukamatwa na kuwekwa "vizuizini" ili wasimpinge sana dikteta.
vizuizini,vizuizini,vizuizini...hivi jana kuna watu walipelekwa vizuizini?nimesahau...
4. Kisingizio pekee cha madikteta wote (wawe wa mtu mmoja au chama kimoja) kuhalalisha kuwanyanyasa, kuwanyima wananchi uhuru na hata kuwatia watu nguvuni ni "kwa ajili ya nchi". Yaani, hutumia "taifa" kama kisingizio cha wao kuendelea kutawala.
daah mkuu uliona mbali...Je bado unasimamia maandishi yako.?

Ole wao wananchi wanaposema "hapana"!!!
Fearmongering tactic becomes the smartest strategy.
 
Madikteta wote wanafanana; wawe ni wale ambao ni mtu mmoja mmoja au wawe wa chama kimoja; kufanana kwao kunatabiri vitendo vyao. Hufanana katika mambo makubwa matano:

a. Huamini kuwa wao ndio pekee wenye uwezo wa kutawala (Katika fikra zao hawaamini kama kuna mtu au chama kingine kinachoweza kutawala vizuri kuliko wao). Baadhi yao (kama ni mtu mmoja au chama) hujiaminisha kabisa kuwa ni wateule wa Mungu kutawala nchi zao.
b. Huamini kuwa wanapendwa sana kupita kiasi (hili kuelezea kwanini picha, sanamu, n.k zao huenezwa kila kona ya nchi) Hupenda kuimbiwa nyimbo za kusifiwa na kupeperushiwa maua kila wapitapo kama ishara ya "upendo" huu.
c. Hawako tayari kuamini wanaweza kukataliwa; Mara zote inapotokea mtu anawapinga au kuwakataa hutafutiwa sababu ya kuoneshwa kuwa haiwezekani awakate wao kwani (b) wao wanapendwa sana!
d. Hata siku moja hawajawahi kutengeneza mifumo itakayowaondoa wao wenyewe madarakani. Hivyo, hutumia mbinu zote kufanya mabadiliko ya kimapambo tu ambayo kwa watu wasiofuatilia huweza kuvutiwa kuwa ni mabadiliko. HIvyo aidha hujikuta wanaondoka kwa kukimbia au kwa kukimbizwa na wananchi wao au mataifa ya nje!
e. Wako tayari kufanya jambo lolote kubakia madarakani - msisitizo hapa uko kwenye neno "LOLOTE".

Kutokana na hayo matatu tabia za madikteta wote huweza kutabirika (wawe ni mtu mmoja au chama kimoja). Na ili kuhakikisha hayo matatu madikteta wote duniani (wanaovaa nguo za kiraia na wale wanaovaa nguo za kijeshi)

1. Hutumia vitisho kulazimisha kupendwa na kukubalika - silaha ya dikteta ni vitisho (terror). Wakikukamata watakasumbua sana hadi uogope. Lengo ni kukushawishi uone ni kwanini wao wanastahli kupendwa! Hupenda kujiona kama wazazi wa wananchi - nani atamchukia mzazi wake?
2. Hutengeneza masimulizi ya sifa na kuyalazimisha yaaminiwe hata kama msingi wake ni uongo. Madikteta ni mabingwa wa kuunda (manufacture) uongo. Uwezo wao mkubwa wa kufanya hivi hutokana na ukweli kuwa wao humiliki vyombo vya habari vyenye kufikia watu wengi zaidi (radio, TVs n.k)
3. Inapofikia mahali kuwa upendo wa wananchi unapungua au wanaanza kuwa na mashaka nao madikteta huanza kupoteza watu. Yaani, pole pole watu huanza kukamatwa na kuwekwa "vizuizini" ili wasimpinge sana dikteta.
4. Kisingizio pekee cha madikteta wote (wawe wa mtu mmoja au chama kimoja) kuhalalisha kuwanyanyasa, kuwanyima wananchi uhuru na hata kuwatia watu nguvuni ni "kwa ajili ya nchi". Yaani, hutumia "taifa" kama kisingizio cha wao kuendelea kutawala.

Kwanini?

Kwa sababu madikteta wote wanataka kupendwa na kukubaliwa!

Ole wao wananchi wanaposema "hapana"!!!

Na. M. M. Mwanakijiji (BGM)
Huu ni unabii tosha kwa serikali ya sasa..duh 2011..yanaonekana 2016..salute mwanakijiji
 
kweli siasa ni zaidi ya ukafri yani mtu anajipinga mwenyewe huu ni wendawazimu wa siasa za bongo
 
Huyu ndiye Mzee Mwanakijiji niliyekuwa namfahamu enzi hizo wakati bado anamiliki akili zake zote.
Usisahau kwamba makala hii ni ya enzi hizo ulizosema kwamba "alikuwa akimiliki akili zake"
Sasa hivi hatujui ana maoni gani kuhusu makala yake hii. Labda ataikana kama yule msomi aliyekana thesis yake ya uzamivu.
 
Tatizo huyu wa kwetu si halisi,ni uch.wara nasikia!!
 
Huu ni unabii tosha kwa serikali ya sasa..duh 2011..yanaonekana 2016..salute mwanakijiji
Cha ajabu Mwanakijiji mwenyewe nyakati hizi anaongea tofauti kabisa.
Nashukuru kwa aliyeiona hii thread na kuihuisha.
 
JF haipotezi memory,mtu mzima atakuja na Id mpya hapa
 
mbona sifa nyingi zinaangukia CHADEMA yaani !!! ninaona wao hawajijui kama ni madikteta wanatafuta kik kwa Magu wanamfurahia mkwere vile aliwaacha wafanye wanalotaka. Tulia anatumia sheria zile zile walizokuwa wanamuhangaisha nazo Mama Makinda sasa Domo kaya wao Lissu hana cha kusema wanaanza na habari ya kubanwa
 
Madikteta wengi huanzia ktk familia zao huwa kuna vitu walikosa ktk malezi walipokuwa wadogo.
Ingekuwa vyema kabla mtu kuamua kuongoza wanasaikolojia wangehusika kwanza.
 
Atakuja hapa na porojo nyiingi!!
MMM saiv kawa kituko kweli
 
Sifa ya muhimu ya madikteta uliyoisahau ni kuwa
6. Madikteta huwa hawastaafu, bali huanguka
 
mbona sifa nyingi zinaangukia CHADEMA yaani !!! ninaona wao hawajijui kama ni madikteta wanatafuta kik kwa Magu wanamfurahia mkwere vile aliwaacha wafanye wanalotaka. Tulia anatumia sheria zile zile walizokuwa wanamuhangaisha nazo Mama Makinda sasa Domo kaya wao Lissu hana cha kusema wanaanza na habari ya kubanwa
Usijitie kutojua kuwa huyu ni Magu kamili na CCM yake!!
Ona jinsi vyombo vya habari vinavyofungiwa kila kukicha, Ona jinsi maneno ya kijeuri SIJARIBIWI. Ona jinsi anavyohangaika kuzuia sauti mbadala za vyama vya siasa Ona anavyosigina katiba. Ona alivyojichagulia vibaraka katika kumsaidia Nape (anavyojipendekeza kufungia kila chombo cha habari) Wenzake Nape walijua kuwa sheria ya habari ya mwaka 1976 ni ya kiimla na hawakuitumia lakini yeye kama zumbukuku ni kufungia kwa kwenda mbele.
Ona juzi Magu alivyokataa hata ushauri wa viongozi wa dini. Ona jinsi AG alivyojikanyaga jana.
Idd Amin Dada alianza hivi hivi-
Kwanza kupenda sifa
pili kujifanya kutetea wanyonge
tatu alivyowachinja maprofesa wa Makerere na matajiri kama kuku.
Idi Amin alimchagua Malyamungu kama right hand kwa kujenga woga na kuua huyu Magu amemchagua Huyu jamaa wa mambo ya ndani ambaye aliwahi kutuhumiwa kuhujumu upinzani kwa kila mbinu hata mabomu!!
Wait and see Dictatorship has no boundaries or rules of their games!!
 
Chama Cha Misosi (CCM) Ni cha Dikteta
Kikwete ni Dikteta anapenda kusifiwa wakati hana Akili za kufikiria kila siku anaimba uchumi unakuwa wakati ajira, umeme, maji hakuna

sasa JK anahusika nini na hii hali ya sasa? Mbona una pinda pinda, si useme moja kwa moja...

JK aliwaachia sana watu uhuru wao hata wa kuongea hivyo sioni kuwa kama alikuwa dicteta
 
Usijitie kutojua kuwa huyu ni Magu kamili na CCM yake!!
Ona jinsi vyombo vya habari vinavyofungiwa kila kukicha, Ona jinsi maneno ya kijeuri SIJARIBIWI. Ona jinsi anavyohangaika kuzuia sauti mbadala za vyama vya siasa Ona anavyosigina katiba. Ona alivyojichagulia vibaraka katika kumsaidia Nape (anavyojipendekeza kufungia kila chombo cha habari) Wenzake Nape walijua kuwa sheria ya habari ya mwaka 1976 ni ya kiimla na hawakuitumia lakini yeye kama zumbukuku ni kufungia kwa kwenda mbele.
Ona juzi Magu alivyokataa hata ushauri wa viongozi wa dini. Ona jinsi AG alivyojikanyaga jana.
Idd Amin Dada alianza hivi hivi-
Kwanza kupenda sifa
pili kujifanya kutetea wanyonge
tatu alivyowachinja maprofesa wa Makerere na matajiri kama kuku.
Idi Amin alimchagua Malyamungu kama right hand kwa kujenga woga na kuua huyu Magu amemchagua Huyu jamaa wa mambo ya ndani ambaye aliwahi kutuhumiwa kuhujumu upinzani kwa kila mbinu hata mabomu!!
Wait and see Dictatorship has no boundaries or rules of their games!!
hakuna uhuru bila mipaka huyu sio JK yule aliwaacha mfanye mtakanyo. Mnataka kulazimisha awe mnavyotaka haiwezekani. Hayo ni maoni yako mimi naona ni CHADEMA maana mtu anaamua kumleta mtu na siku hiyo hiyo anamfanya mgombania urais bila ya maridhiano. yangekuwepo wasingeondoka watu. matumizi ya pesa ili wakubalike, kamfitinisha Zitto kisa anataka kuwa mwenyekiti, Zitto kagundua katolewa, Watu wameuwawa waliokuwa na ugomvi nao Chacha wangwe au hayo wewe huyaoni. kawanunua kina lissu ili wakubali move za kibiashara na sio Demokrasia za kumuingiza Lowassa Au mlifanya uchaguzi mkamchagua Lowasssa kuwakilisha Chama kama mgombea uraisi? Angalieni boriti zenu ndipo muone vibanzi vya wenzenu
 
Back
Top Bottom