Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,638
- 2,720
Kwani kikiwa chakula cha taifa kuna shida gani? Cha muhimu si watu wanashiba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam hapo umemaliza kila kitu..Hata mimi hua napenda sana chipc yai, ila kuwe na kishombo shombo pembeni, mf: samaki, kuku(ndio zaidi ) au hata mshikaki,
#Zege4Life#
Aisee hio mix ni nyokox, wacha kabisaDah upate Zege na firigisi pembeni au kidali.. Alafu pilipili ya kusaga kachumbari ya matango ukwaju.. Unashushia na juice ya miwa au parachichi... Hatari sana
hahahahaha, uko mitaa ya wapi mkuu?Nadhani atakua huyu mpemba ninaemfahamu
HaaawArusha na moshi kuna chips zinapikwa kwa mfumo wa VURUGA, yaani chips yai changanya pamoja na nyama ya kuku, ni kitamu sana. Hala hala kitambi mdebwedo
daaah! Umenikumbusha pale Ilala kwa 'Said Makuku' (sijui bado yupo)
Mazaga zaga kibaooo unakula chipc mpk unatamani kubeba na kabati zima.
#Happy Birthday to You#
Hahahaaa South wana poko flan amazing wanapakaga sijui asali dahh ni balaaaaNilikuwa sauzi mwaka jana aisee niliteseka sana kule chips yai hakuna siku nimerudi nimetua airport brake ya kwanza mlimani City nikaagiza sahani tatu kwa hasira hii kitu ipo Tanzania tu
mkuu sio VURUGA ni "MVURUGO" hio ni zaidi ya balaa, niko Moshi muda mwingi nakula hio niaje na MITURA moshi patam sanaArusha na moshi kuna chips zinapikwa kwa mfumo wa VURUGA, yaani chips yai changanya pamoja na nyama ya kuku, ni kitamu sana. Hala hala kitambi mdebwedo
Ukisema hivyo na mie nitakwambia hakuna kiepe kikali kama kinachoundwa pale Naseeb's iliopo mjini Moshi pale karibia na msikiti wa riadha! Mishkaki yake ndio dah,na zile pizza mwitu ni kisanga,,, kweli pwani ndipo mapishi yalipozaliwa!Hakuna sehemu hapa africa mashariki na kati wanatengeza kiepe kimeenda shule kama mgahawa wa Sizzler,rockcity
Hichi ni chakula cha wanaume wa dar...Teh Teh...Nimesikia chombo fulani cha habari kikipromoti chakula maarufu kwa watu wa mjini yani Chips Mayai.
Lazima nikiri zamani sikuwai kujua chips Mayai ni utamaduni wetu kabisa watanzania nilifikiri ni chakula cha kizungu.
Ila kuna maswali imebidi ni jiulize
Nani aliyekuja na ubunifu wa chips Mayai?
Kwa nini hiki chakula kimekuwa maarufu sana?
Pamoja na kutoa ajira nyingi sana kwa vijana ni fursa gani zaidi zimetengenezwa na chips Mayai kwa jamii?
Nini faida ya chips Mayai mwilini?
Nini madhara ya chips Mayai?
Kwa nini watu upenda zaidi zege lililotayarishwa na wapemba?
Kwa nini wapika chips wengi ni wanaume? Na kwa nini zege likipikwa na mwanamke linadoda?
View attachment 352686
Mugabe mmeanza kumsingizia saasa...Utamu wa chipsi MIMBA by R.Mugabe