Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa muda mrefu.

Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa muda mrefu.

sio kweli binafsi ninazaidi ya 3 years sijakutana na dem lakini sijapata athari tajwa hapo juu
Khaaaaaaaaaaaaaa! siku ukipata utatoa ujazo wa kikombe , Loh! hahahahaahah! kama nakuona vile
 
habari za usiku wanajf, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:
• Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,
• kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
• Kusahausahau,


• Kupendelea story za mapenzi,
• Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
• Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo
yasiyokuhusu),
• Kuumwa na kichwa,
• Kukakamaa mgongo (wanaume),
• Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
• Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
• Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
• Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala
kama ulevi n.k.

Hiyo nikweli, upande wangu huwa inanitokea zaidi ile ya hasira za mara kwa mara,. Lakini sio kwamba unachohewa ufanye uzinzi hapana kuna njia mbadala, unaweza ukawa unafanya mazoezi ukiwa unafanya mazoezi haya madhara hayaweezi kukupata, jitahidi hata kutembea mwendo kidogo kwa siku, haya madhara yanatupata sisi ambao hatufanyi sex na mazoezi pia hatufanyi.
 
inategemea kama kwa kukosa huko ngono inakuletea frustration ndiyo unaweza kudevelop baadhi ya hizo tabia
 
sina uhakika na yote uliosema maana kuna watu tuna ushahidi nao kabisa ngono ni kama kwao haipo mbona wako fiti na shughuli zao ziko poa tu, watu wa madhebu ya kikistu kama baadhi ya mapadri na maaskofu, nimesema baadhi kwani kuna ambao wameshindwa kudhihirisha hilo.
 
sina uhakika na yote uliosema maana kuna watu tuna ushahidi nao kabisa ngono ni kama kwao haipo mbona wako fiti na shughuli zao ziko poa tu, watu wa madhebu ya kikistu kama baadhi ya mapadri na maaskofu, nimesema baadhi kwani kuna ambao wameshindwa kudhihirisha hilo.
...Mmmmmhhhh, una uhakika huwa hawa~do?!! Wapo wenye watoto wanaowalea kwa kificho au kuwaweka kwenye vituo vya kulelea vya dini bali wengine huwa ni wao! Mtazamo tu, usini~quote!!!
 
huo ni uongo kabisa hakuna hata hapo unatudanganya bure kama ungejua zaidi ungetuonesha na utafiti uliofanya na ushahidi ili tuamini zaidi lakini haopo ni uongo wa hali ya juu
 
habari za usiku wanajf, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:
• Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,
• kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
• Kusahausahau,


• Kupendelea story za mapenzi,
• Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
• Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo
yasiyokuhusu),
• Kuumwa na kichwa,
• Kukakamaa mgongo (wanaume),
• Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
• Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
• Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
• Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala
kama ulevi n.k.

Ni kweli kabisa kwa yote uliyoyasema yana ukweli kwa zaidi ya 80%
 
Si kweli kuna wakati nilikaa miaka miwili,bila dalili tajwa hapo juu

Kwani nani kakwambia miaka miwili ni muda Mrefu?mleta mada hajasema huo muda mrefu ni kipindi gani, mwezi?mwaka?miaka miwili?au muda gani?
 
habari za usiku wanajf, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:
• Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,
• kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
• Kusahausahau,


• Kupendelea story za mapenzi,
• Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
• Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo
yasiyokuhusu),
• Kuumwa na kichwa,
• Kukakamaa mgongo (wanaume),
• Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
• Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
• Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
• Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala
kama ulevi n.k
.

Kwenye redi naweza kukubaliana.
 
attachment.php


Kuna Madhara makuu kutofanya jambo la mapenzi kwa muda mrefu ,kwanza mwili unakosa nguvu,akili pia inakuwa haifanyi kazi vizuri,unakuwa mtu mwenye hasira hasira zisizokwisha,au mtu mwenye huzuni huzuni pasipo na sababu yoyote ile unakuwa mtu mwenye wasiwasi mwingi pasipo na sababu yoyote ile,na pia unapata ugonjwa wa Stress hayo tu ndio baadhi ya madhara ya kutofanya mapenzi kwa muda mrefu inafaa uwe una fanya tendo la ndoa kwa wiki japo mara 2 au 3 huo ndio ushauri wangu.
 
Back
Top Bottom