Hahahahahah ,,,Kila kitu kina bei yake....... Bei ya wake za watu utaijuwa ukifumaniwa..... Usinidanganye kwamba unamega bure.... Hawadai posho n.k


Hahahahahah ,,,Kila kitu kina bei yake....... Bei ya wake za watu utaijuwa ukifumaniwa..... Usinidanganye kwamba unamega bure.... Hawadai posho n.k


Naona mkuu shamba la miwa unalikimbia!Hahahahahah ,,,![]()
Si kweliWanawake wengi wanacheat kwasabb ya kuwa huru kwa kila kitu...fuatilia!
Waliumbwa ili watawaliwe.
UKIMRUHUSU AKUTAWALE LAZIMA AMEGWE.
malipo ya mke wa MTU it is either death ,au kufumuliwa khaaa.Naona mkuu shamba la miwa unalikimbia!
Kuna madhara mengi kutembea na mke wa mtu:
1. Hutakuwa huru naye, kuna wakati utamuhitaji lakini hatakuwa na muda. Yuko na mumewe. Hali hii inaweza kukunyima raha maishani na kukupa stress.
2. Unajiingiza kwenye mtandao wa Ngono. Si wako peke yako, na hujui mumewe yuko na wangapi. Ni rahisi kuambukizwa magonjwa.
3. Mara nyingi atakuwa na watoto...utalazimika kuwapenda watoto wake ili kumfurahisha.
4. Yawezekana ukatumia gharama nyingi zaidi kuliko ukiwa na gf wako peke yako. Mtalazimike mjifiche fiche sana, ntafute tax tinted n.k. Lakini pia wengine wanachepuka ili kutafuta hela.
5. Anaweza kuachwa na mumewe hivyo na kuwa mzigo kwako. Unaweza kumkimbia na wewe lakini dhambi ya kuvuruga ndoa ya watu haitakuacha kamwe.
6. Mkigundulika mumewe anaweza kukudhuru, hivyo unaweza kujikuta unalazimika kuhama mji na kupoteza mwelekeo wako kiuchumi.
Ndio maana ake mkuumkuu umekula mke wa mtu then amekushitukia nn???
Kila kitu kina bei yake....... Bei ya wake za watu utaijuwa ukifumaniwa..... Usinidanganye kwamba unamega bure.... Hawadai posho n.k
Mkuu wewe huogopi eeeeeHela hawaombia kabisa wewe kazi Yako ni kumkuna ,Mimi Huwa nawakuna tu hamna namna ,ukiwalamba vizuri hawa wadudu kweli unawafaidi hawalingani kabisa na vitoto vya shule![]()
![]()
![]()
Mkuu, asante sana una ujumbe mzuri wenye kukonga nyoyo za watu hata zilizongumu.....Yeye aliyewaumba Mume na Mke ndiye alikataza kitendo cha kulala na Mke wa mwingine. Mungu anajua madhara ya kulala na mke wa mtu mwingine ndiyo maana alikataza hili tendo lisifanyike.
Imeandikwa hivi;
MITHALI 6:32-33
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake".
"Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; wala fedheha yake haitafutika".
Watu wengi hawajui hili, kuna laana mbaya sana kwenye tendo hili la zinaa. Hata kama mumewe asipojua, lakini unapolala na mke wa mtu mwingine, moja kwa moja unapata laana na mikosi mingi sana. Unaweza usiione hii mikosi kwa haraka lakini mwisho wake huwa ni mbaya sana. Tena ukifa bila kutubu hii dhambi, fahamu kuwa utaishia kwenye Jehanum ya moto wa milele.
Jambo la msingi ni kumuheshimu MUNGU na kuitii sauti yake. Kumbuka, hatuishi milele hapa duniani, hujui ni siku gani utaondoka.
Tafuna tu lakini siku ikifika rinda hamna tena kakakwa hali hii! lazima nikutafunie Mkeo.
We tafuna tu... Siku ukitiwa mkononi usipige kelele!!kwa hali hii! lazima nikutafunie Mkeo.
KUJIHAMImkuu unafanya hivi ili upate ,nini kumbuka ukifumua tigo nawe ipo siku utafumuliwa
hahahahahahaha