shangoo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2015
- 325
- 362
KwannSi kweli
KwannSi kweli
Tafuna tu lakini siku ikifika rinda hamna tena kaka
We tafuna tu... Siku ukitiwa mkononi usipige kelele!!
We unawaza kudhuriwa kwa physically tena na mahakama ikutetee? watu wanaweza wasi deal na wewe bali kulinda mali zao. Hkuna kesi ya hisia km vile unavyotaka wewe ujibiwe ila watu wenye uchungu na wake zao watakuwekea kitu hapo kwenye utamu wao na wewe ukakudhuru ipasavyo tena bila mahakama au polisi kuingilia kati.
Tumia mifano hii,
Hujawahi kuona au kusikia kuwa watu wamegandana Gest?
Wanaume wengine kuvimbishwa MABUSHA
Wengine kukojoa mkojo wenye rangi km maji ya mchele lakini kwa maumivu makali.
Wengine kukojoa uzi usio na mwisho na ukiukata tu ndo kifo chako!
Wengine kukojoa samaki ambao wanaanza kutoka mkiani na kumalizia kichwa (up side down) pata maumivu ya zile miba.
Sasa kama wewe unataka sheria ya TZ ndio ije kukuhukumu basi utasubiri sana
Na wewe utaoa huo ushauri uje uutumie baadaeNdugu zangu,
Naomba hoja na sio vitisho mara mke wa mtu ni sumu nk.Maana neno mke wa mtu ni sumu lilishapoteza ukali na mvuto maana toka tumezaliwa tunalisikia. Hivyo katika utoaji wa hoja/ ufafanuzi achana na nadharia ama dhana ya zamani kuwa mke wa mtu ni sumu.
Hawa wake za watu nao wamezidi, wanatutaka sana vijana hasa ambao hatujaoa, hata mimi ni mhanga wa hilo jambo. (WANATUANZA WAO)
Tupeni ushauri wa maana, mfano:-
Je, kama jamaa hatanifumania kibanjuka nae usumu utakujaje? Ama hata akinitambua tu kuwa mimi ndie nambanjua mkewe anaweza niparamia hata njian?
Je, kama akinijua na asinishike je itakuwaje hapo?
Mwisho kabisa wanasheria mtusaidie, sheria zinasemaje juu ya kukamatwa ama kuhisiwa unatembea na mke wa mtu, je kuna kifungo ama faini? Kama vipo ni kwa kiwango gani?
Mwisho wanaume mliooa punguzeni ukali ndani ya ndoa zenu, na mjitahidi kuwaridhisha wake zenu maana mnatupa tabu vijana ambao bado tunategemewa sana.
Ngoja utakapooa ndo utajuaNdugu zangu,
Naomba hoja na sio vitisho mara mke wa mtu ni sumu nk.Maana neno mke wa mtu ni sumu lilishapoteza ukali na mvuto maana toka tumezaliwa tunalisikia. Hivyo katika utoaji wa hoja/ ufafanuzi achana na nadharia ama dhana ya zamani kuwa mke wa mtu ni sumu.
Hawa wake za watu nao wamezidi, wanatutaka sana vijana hasa ambao hatujaoa, hata mimi ni mhanga wa hilo jambo. (WANATUANZA WAO)
Tupeni ushauri wa maana, mfano:-
Je, kama jamaa hatanifumania kibanjuka nae usumu utakujaje? Ama hata akinitambua tu kuwa mimi ndie nambanjua mkewe anaweza niparamia hata njian?
Je, kama akinijua na asinishike je itakuwaje hapo?
Mwisho kabisa wanasheria mtusaidie, sheria zinasemaje juu ya kukamatwa ama kuhisiwa unatembea na mke wa mtu, je kuna kifungo ama faini? Kama vipo ni kwa kiwango gani?
Mwisho wanaume mliooa punguzeni ukali ndani ya ndoa zenu, na mjitahidi kuwaridhisha wake zenu maana mnatupa tabu vijana ambao bado tunategemewa sana.
Kinachotia uchuungu ni kwamba mtu anagharamikia chakula, mavazi ,malazi, matibabu kwa sababu ya hicho 'kinyama-ugomvi' halafu wewe ukampigie hivi hivi.... Inaudhi kupita kiasi. Ndo maana mimi jitu likidakwa likapakwa KY silihurumii ingawaje mimi siwezi kufanya hivyo.



kinyama_ ugomvi
Hivi bado kwa muda huu kuna shule haijafunguliwa?Ndugu zangu,
Naomba hoja na sio vitisho mara mke wa mtu ni sumu nk.Maana neno mke wa mtu ni sumu lilishapoteza ukali na mvuto maana toka tumezaliwa tunalisikia. Hivyo katika utoaji wa hoja/ ufafanuzi achana na nadharia ama dhana ya zamani kuwa mke wa mtu ni sumu.
Hawa wake za watu nao wamezidi, wanatutaka sana vijana hasa ambao hatujaoa, hata mimi ni mhanga wa hilo jambo. (WANATUANZA WAO)
Tupeni ushauri wa maana, mfano:-
Je, kama jamaa hatanifumania kibanjuka nae usumu utakujaje? Ama hata akinitambua tu kuwa mimi ndie nambanjua mkewe anaweza niparamia hata njian?
Je, kama akinijua na asinishike je itakuwaje hapo?
Mwisho kabisa wanasheria mtusaidie, sheria zinasemaje juu ya kukamatwa ama kuhisiwa unatembea na mke wa mtu, je kuna kifungo ama faini? Kama vipo ni kwa kiwango gani?
Mwisho wanaume mliooa punguzeni ukali ndani ya ndoa zenu, na mjitahidi kuwaridhisha wake zenu maana mnatupa tabu vijana ambao bado tunategemewa sana.