Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Siku Hizi kumekuwa na trend ya matukio kadhaa ya madereva wa gari za shule 'School Bus' kuwa rough njiani, na hawako makini kabisa, hawajali kabisa kama wamebeba watoto ndani ya gari hizo.
Hii video ni moja ya matukio ambayo yamekamatwa kwenye camera Gari ya shule yenye jina la MARTHA MONTESSORI iliyopo Kimara Temboni yenye nambari za usajili T430 EAW ikiwa inatembea speed ya 120+ km/h ikiwa na wanafunzi ndani yake
Anahama Barabara bila Indicator wala kuchukua taadhari, kwa speed hii ikatokea adha katika barabara ni ngumu kuzuia gari kwa haraka
Hii video ni moja ya matukio ambayo yamekamatwa kwenye camera Gari ya shule yenye jina la MARTHA MONTESSORI iliyopo Kimara Temboni yenye nambari za usajili T430 EAW ikiwa inatembea speed ya 120+ km/h ikiwa na wanafunzi ndani yake
Anahama Barabara bila Indicator wala kuchukua taadhari, kwa speed hii ikatokea adha katika barabara ni ngumu kuzuia gari kwa haraka