Mademu mnakera na hiki kitabia jamani.

Mademu mnakera na hiki kitabia jamani.

chifusongea

Senior Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
164
Reaction score
154
Nimeingia club namwona Demu anakunywa ndovu lager namwomba kampani anakubali namwita waitress halafu Demu anaagiza Dompo.Aisee hii atalipa mwenyewe na nishamwambia waitress Mimi nalipia ndovu tu.
Pumbaaafu
 
Usilipe mkuu jifanye unaenda kukojoa usepe mazima hii mijitu majizi sana
 
Mmh! Dompo tu ndo ukakimbia!! duuh!
Job true true
 
Last edited:
Sasa ungemnunulia ndovu ngapi? Elf 15 ya dompo ni ndovu tatu tu club!! Na bado hata saa tano haijafika.

Tena naona huyo ana busara sana. Angeagiza ndovu angekutia hasara
 
Mtu
Nimeingia club namwona Demu anakunywa ndovu lager namwomba kampani anakubali namwita waitress halafu Demu anaagiza Dompo.Aisee hii atalipa mwenyewe na nishamwambia waitress Mimi nalipia ndovu tu.
Pumbaaafu
Mwenyewe umepaukaaa, halafu unajidai kubonyeza kisimu chako hapa, nyooooooo
 
Duuuu! Sasa ulimuitia nini mhudumu kumbe hela zenyewe za mawazo? Si ungeuchuna tu?
 
Nimeingia club namwona Demu anakunywa ndovu lager namwomba kampani anakubali namwita waitress halafu Demu anaagiza Dompo.Aisee hii atalipa mwenyewe na nishamwambia waitress Mimi nalipia ndovu tu.
Pumbaaafu
Umeamua kuja kunitangaza kwa sh. 10000 njoo nikulipie bili ya mwezi mzima

#jokes
 
Uwe unaenda club na maji yako ya kuchemsha kwenye birika na glass mbili tu, ice cubes utamwomba waitress ili kupunguza gharama zisizo za lazma.
 
Ha ha ha aha kwann ukimbie wakati umemuomba kampani? Shabash nyie ndio mnaoishia kuita watu shemeji mfyuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom