Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
kwa takribani wiki nne sasa kama sio tano tumekuwa tukisikia watuhumiwa wa madawa ya kulevya wakikamatwa na kitengo maalumu cha kuzuia madawa ya kulevya.....hivi bei madawa yale hiki kitengo kinazazipata wapi? maana kila siku utasikia tumekamata Heroin kilo 2 zenye thamani ya milion 67...............naomba ufahamu wadau