Ninavyofahamu kuna aina kuu mbili za vita za madawa ya kulevya
hupambana na watumiaji na wauzaji/wasambazaji wa madawa ya kulevya .Vita hufanywa
bila ya ubaguzi wa aina yoyote ,uwe wa dini , kabila, rangi, jinsia, vyama vya kisiasa au kijamii nk
Aidha katika aina hii magenge (kundi moja dhidi ya kundi/makundi)
hupambana yenyewe kwa yenyewe kutafuta ukuu/ukiritimba (supremacy/monopoly) katika biashara hiyo. Hapa mbinu zote hutumika ikiwemo ''kuchomekeana'' kwa polisi.
Kwa mtazamo mh.Makonda anapambana vita aina ya pili, iwe kwa hiari yake au kwa kushinikizwa.
Ninawaomba wanaJF tunapojadili humu tutilie maanani hayo hapo juu.
Tuweke mbele maslahi ya taifa letu la Tanzania tuache ushabiki wa vyama kwenye hili.
Nina imani Rais wetu JPM anayo nia ya kupigana vita aina ya kwanza.
Tumsaidie, tumuunge mkono,asipotoshwe kama ilivyo tukaingia gharama za kupigana vita binafsi
Ninawasilisha.
- Vita ya serikali dhidi ya watumiaji na wauzaji wa madawa ya kulevya
- Vita baina ya magenge
hupambana na watumiaji na wauzaji/wasambazaji wa madawa ya kulevya .Vita hufanywa
bila ya ubaguzi wa aina yoyote ,uwe wa dini , kabila, rangi, jinsia, vyama vya kisiasa au kijamii nk
Aidha katika aina hii magenge (kundi moja dhidi ya kundi/makundi)
hupambana yenyewe kwa yenyewe kutafuta ukuu/ukiritimba (supremacy/monopoly) katika biashara hiyo. Hapa mbinu zote hutumika ikiwemo ''kuchomekeana'' kwa polisi.
Kwa mtazamo mh.Makonda anapambana vita aina ya pili, iwe kwa hiari yake au kwa kushinikizwa.
Ninawaomba wanaJF tunapojadili humu tutilie maanani hayo hapo juu.
Tuweke mbele maslahi ya taifa letu la Tanzania tuache ushabiki wa vyama kwenye hili.
Nina imani Rais wetu JPM anayo nia ya kupigana vita aina ya kwanza.
Tumsaidie, tumuunge mkono,asipotoshwe kama ilivyo tukaingia gharama za kupigana vita binafsi
Ninawasilisha.