Madaraka ya kulevya na intelijensia ya kishenzi

Madaraka ya kulevya na intelijensia ya kishenzi

Che mittoga oh!mimi ni mmoja kati ya watu ambao niko very ambitious,napambana nipate maisha bora na nisaidie na wengine,,na si dhambi kuhitaji kukaa sehemu nzuri,gari zuri au hao wanaohitaji madaraka si dhambi ila why watumie garama ya kumwaga damu kufanikiwa,.kweli binadamu tumetofautiana mno.sasa sijui ni malezi au nini kinasababisha mtu anakua na guts za kuhukumu mwingine 'to that extent'..
 
Hizi habari za kifo cha Msando,zilivyoanza kutoka hazikumtaja huyo binti aliekuwa nae.Lakini mara baada ya taarifa kuwa alionekana na huyo binti kwenye gari yake hiyo siku ya Ijumaa iliyopita.Ndipo baadae habari zikatoka kuwa na huyo binti nae ameuawa.Kuna kitu nyuma ya pazia,kama ukitafakari kwa kina.KWA NINI HABARI ZILIZOTOLEWA AWALI ZILIMTAJA MSANDO PEKE YAKE?MWENYEZI MUNGU AZILAZE ROHO ZA MAREHEMU,MAHALA PEMA PEPONI,AMINA!
Gharama ya kutumika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila pia majigambo ya marehemu yalichangia kifo chake kwenye yale mahojiano yake na TV moja.... Hayakuwa majigambo mabaya bali ilikuwa kuwahakikishia wakenya kwamba mfumo alioujenga ni imara kiasi kwamba ili uweze kuhack ni lazima kiganja chake (kwa maana ya vidole) hii siri hakupaswa kuisema popote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna swali litahitaji majibu ya kina Who is behind Musando's death [emoji88]

Sent using Jamii Forums mobile app

Mungu hajawahi kumwacha mwanadamu salama "bila kumuumbua" wakati ukifika hata uuwe wote, kama wewe ni wa kushindwa uchaguzi, utashindwa tu!!!! R.I.P Musando!! Kisasi ni juu yake aliyetuumba, atakulipizia, naam atakulipizia!!!
 
Ila pia majigambo ya marehemu yalichangia kifo chake kwenye yale mahojiano yake na TV moja.... Hayakuwa majigambo mabaya bali ilikuwa kuwahakikishia wakenya kwamba mfumo alioujenga ni imara kiasi kwamba ili uweze kuhack ni lazima kiganja chake (kwa maana ya vidole) hii siri hakupaswa kuisema popote

Sent using Jamii Forums mobile app

Inawezekana hakujua wenye mipango ya ku hack ni mabosi zake!! Najaribu kuwaza tu!!
 
Nchi zote zakiafrika na zile zenye mlengo wa kisoviet ndo zina hii tabia chafu!

Samsung SH 8 Mobile Traveller
 
Back
Top Bottom