Kushika positions nyeti za nchi zinazolinda maslahi ya watu wachache kwenye hizi nchi zetu za kiafrica ni risk kubwa - ukienda tofauti nao tu wanakutoa roho tena kwa kifo cha mateso, na ndiyo maana wasomi wengi Nguli wa kiafrica wanaamua kufanya kazi nchi za wenzetu, Africa bado ni tatizo.
Kwa mfano Marehemu kwa uwezo wa elimu ya werevu wake angeweza kabisa kufanya kazi Kampuni hata ya Cisco ama Microsoft kule Marekani ila kwa uzalendo wake aliamua kubaki nchini mwake na kutumia uwezo wake aliyopewa na mwenyezi Mungu kwa maslahi ya wakenya wote.
Sasa hebu ona average ya maslahi ya wafanyakazi wa Cisco na Microsoft - na si maslahi tu bali unaishi kwa amani kuliko hapa Africa unaishi kama digidigi kisa umeshika nafasi nyeti ya ulaji wa watu. Sasa mtu akiamua kuitosa nchi yake na kufanya kazi kwa wenzetu anaonekana si mzalendo, mjali tumbo lake.
"Average salary of Cisco employees. The average salary of Cisco employees is$85,000 per year.The average bonus of Cisco is $10,000.
Microsoft ranked second for median starting salaries just behind Nvidia Corp, which led the ranking at $99,400.