Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Hawa vijana wawe waangalifu sana hasa mbele ya wenye Dola.Wakuu kuna wimbo mpya wa Kundi la Joh Makini na G.Nako unaitwa Madaraka ya Kulevya. Wimbo huo una mistari inayofikirisha sana.
Baadhi ya Mistari ya Track hivyo
1.Umenipa madaraka ya Kulevya
2.Napendaga makiki kama msanii
3.Napenda makamera na ma-like
4.Napenda attention
Updates
Nimebaini wimbo huu kaimbwa Mkuu wa Mkoa
Hili saga ukiliangalia kwa makini unaona aliyeki nyuma ya huu mchezo ni clouds.Hahaha mara eti Kibinda... Mara Kajala... Yan macharii wa chuga washakuwa Wazaramo..
Sasa kama ney kaachiwa na kuitwa huko hata hawa jamaa waitwe na wao na wengine nao watunge mawe yaoWakuu kuna wimbo mpya wa Kundi la Joh Makini na G.Nako unaitwa Madaraka ya Kulevya. Wimbo huo una mistari inayofikirisha sana.
Baadhi ya Mistari ya Track hivyo
1.Umenipa madaraka ya Kulevya
2.Napendaga makiki kama msanii
3.Napenda makamera na ma-like
4.Napenda attention
Updates
Nimebaini wimbo huu kaimbwa Mkuu wa Mkoa
Yuko wapi Roma naye aje na mawe yake?Nyimbo nzuri ila wapunguze uwoga hajatajwa mtu jina nikkwapili anaanza kujitete kwenye ukurasa wa istargram kipindi hiki hiphop itapendwa zaidi kuliko bongo fleva kama watasmamia misingi ya haki bila uwoga kwa kutumia fasihi uficho bila kumtaja mtu jina.Hiphop misingi yake ilikuwa katika kudai haki
Watakuja kina Roma na kala Jeremiah na mashairi yaoipo pia ya WAGOSI WA KAYA MPYA yani ni shida
Fanya kuattach downloadable version mkuu tudownload tufanye kusambaza fasta
Machalii wazaramo aisee!!!!Hahaha mara eti Kibinda... Mara Kajala... Yan macharii wa chuga washakuwa Wazaramo..
~~~>>>Ngoma zinakaguliwa Ikulu siku hizi......Weusi wanadai ile ni nyimbo ya mapenzi na imeshakaguliwa na wahusika(Basata)
Unadhani wao hawaogopi kutekwa?. Ndiyo maana walijibu hivo. Ila ukweli utabaki pale pale. Ndani ya wimbo kuna Bashite nadhani na Jephuta Phonale Mensar na wengine type hizo