Madaraka ya Kulevya: Kundi la Weusi wamemuimba nani?

Wakuu kuna wimbo mpya wa Kundi la Joh Makini na G.Nako unaitwa Madaraka ya Kulevya. Wimbo huo una mistari inayofikirisha sana.

Baadhi ya Mistari ya Track hivyo
1.Umenipa madaraka ya Kulevya
2.Napendaga makiki kama msanii
3.Napenda makamera na ma-like
4.Napenda attention

Updates
Nimebaini wimbo huu kaimbwa Mkuu wa Mkoa


Hawa vijana wawe waangalifu sana hasa mbele ya wenye Dola.

Wasidhani kua wanao Uhuru wa kuimba chochote watakacho.

Not to that extent.
 
Hahaha mara eti Kibinda... Mara Kajala... Yan macharii wa chuga washakuwa Wazaramo..
Hili saga ukiliangalia kwa makini unaona aliyeki nyuma ya huu mchezo ni clouds.
Muhimu Makonda kagombana na Clouds tegemea kuona nyimbo nyingi za wasanii wakimdiss Makonda.
 
Kwa wimbo huu soon tutasikia mtu na ndugu yake wametengan...hapa kuna msomi na aliyeenda shule kusoma.
 
Wakuu kuna wimbo mpya wa Kundi la Joh Makini na G.Nako unaitwa Madaraka ya Kulevya. Wimbo huo una mistari inayofikirisha sana.

Baadhi ya Mistari ya Track hivyo
1.Umenipa madaraka ya Kulevya
2.Napendaga makiki kama msanii
3.Napenda makamera na ma-like
4.Napenda attention

Updates
Nimebaini wimbo huu kaimbwa Mkuu wa Mkoa


Sasa kama ney kaachiwa na kuitwa huko hata hawa jamaa waitwe na wao na wengine nao watunge mawe yao
 
Nyimbo nzuri ila wapunguze uwoga hajatajwa mtu jina nikkwapili anaanza kujitete kwenye ukurasa wa istargram kipindi hiki hiphop itapendwa zaidi kuliko bongo fleva kama watasmamia misingi ya haki bila uwoga kwa kutumia fasihi uficho bila kumtaja mtu jina.Hiphop misingi yake ilikuwa katika kudai haki
Yuko wapi Roma naye aje na mawe yake?
 
Hii ni kutokana na jamaa hawa kutoa wimbo wao wa "madaraka ya kulevya" na umeonekana kukubaliwa sana na watu...nashauri kama vip watoe T-shirt zenye maneno hayo [HASHTAG]#Madaraka[/HASHTAG] ya Kulevya, kuna uwezekano mkubwa wakapata wateja sana katika kipindi hiki ambapo wimbo wao upo 'hotcake'...
.
Asante.
.
Nimewaza tu mchana huu baada ya kumaliza kula na kunywa juisi ya ukwaju hapa kwa mama Ashibaye gengeni...
 
"vitumbua vinanijua ni bingwa wa kutia mchanga"
Bashite ni bingwa wa kuharibu maisha ya watu.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom