Bunge linalinda maslahi ya nani kwenye sakata hili la dawa za kulevya?

babutz

Member
Dec 24, 2016
68
80
Vita ya Madawa ya kulevya sio ndogo na mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana sana. Makonda anapigwa Bungeni, anapigwa mitandaoni na anapigwa vijiweni kwa mapambano yake na madawa ya kulevya. Hii inaonesha ni jinsi gani huu mtandao ulivyopenya bungeni, na jinsi vijana wanavyolipwa kuwasafisha wahusika na biashara ya madawa ya kulevya mitandaoni kumshughulikia makonda, wengine wamepandikizwa vijiweni kumsakama makonda.

Ukiachana na akina Mange Kimambi, Yericko Nyerere na Malisa GJ waliopewa fedha haramu za madawa kuwasafisha wauzaji madawa mitandaoni kwa kumchafua makonda, binafsi nimeshangazwa sana jinsi Bunge letu tukufu linavyodhoofisha vita ya madawa ya kulevya nchini.
Siamin kama haya ndio maazimio ya bunge zima kwa mtu aliyeweka roho yake rehani ili kuwaokoa vijana wa taifa hili kwa kupambana na madawa ya kulevya nchini….

i) Makonda aitwe bungeni kuhojiwa na Kamati.
ii) Waziri wa TAMISEMI apeleke mwongozo kwa Ma RC na DC kuwa wasiuchezee mhimili wa Bunge.
iii) Mamlaka ya Uteuzi wa RC Dar na DC (yaani Rais Magufuli) zichukue uamuzi haraka kuwavua Madaraka.
iv) Wabunge wanaotuhumiwa wasikamatwe bila kufuata taratibu za bunge.
Mwingine aliyetajwa pia kuhojiwa na Bunge ni DC wa Arumeru - Mh Mnyeti

Mbunge kusimama bungeni na kumchafua mtu bila ushahidi wowote kisa huyo mtu anapambana na maslahi yako(madawa ya kulevya) nje ya bunge ni usaliti kwa taifa, tunajua wabunge wana kinga wa yale wanayoongea bungeni ila tumieni hiyo kinga kuokoa taifa na si kuliharibu taifa. Nilitarajia wangeitumia hiyo kinga kuwataja wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, mafisadi, wala rushwa nk ila si kupambana na akina makonda..

Bado siamini kama Bunge letu tukufu limetumia muda wake wa zaid ya masaa 3 kumjadili mpambanaji wa madawa ya kulevya na kumuwekea vikwazo katika mapambano hayo yenye tija kubwa kwa taifa letu

# Bunge linalinda maslahi ya nani katika hili sakata la wafanyabiashara ya madawa ya kulevya????
[HASHTAG]#tanzaniabilamadawainawezekana[/HASHTAG]
[HASHTAG]#umojawetundioushindiwetu[/HASHTAG]
 

Attachments

  • BUNGE.jpg
    BUNGE.jpg
    11.3 KB · Views: 72
Inasikitisha! Mungu atamtetea Makonda! Katika hili ni aibu kujaribu kumtisha shujaa wa Taifa!
Kwani alilikanusha kuhusu kutembea na masogange?je masogange si mtuhumiwa?Je ni kweli mako n' Dar amejenga ghorofa mwanza?Ametoa wapi hela na mshahara wake unajulikana?Ziara ya marekani alilipiwa na nani?Ofisi ya mkuu wa mkoa imekarabatiwa kwa thamani kubwa,sheria ya manunuzi ya umma ilifuatwa?Haki itendeke
 
Kwani alilikanusha kuhusu kutembea na masogange?je masogange si mtuhumiwa?Je ni kweli mako n' Dar amejenga ghorofa mwanza?Ametoa wapi hela na mshahara wake unajulikana?Ziara ya marekani alilipiwa na nani?Ofisi ya mkuu wa mkoa imekarabatiwa kwa thamani kubwa,sheria ya manunuzi ya umma ilifuatwa?Haki itendeke
Hayo unayosema kwa nini hayakuletwa mwanzo mpaka msubiri watuhumiwa wa mihadarati kutajwa? Mazingira ya sasa yanafanya hayo madai dhidi ya shujaa wetu wa Taifa kuwa na sifa ya majungu!
 
Kwani alilikanusha kuhusu kutembea na masogange?je masogange si mtuhumiwa?Je ni kweli mako n' Dar amejenga ghorofa mwanza?Ametoa wapi hela na mshahara wake unajulikana?Ziara ya marekani alilipiwa na nani?Ofisi ya mkuu wa mkoa imekarabatiwa kwa thamani kubwa,sheria ya manunuzi ya umma ilifuatwa?Haki itendeke
You must be kidding! Ghorofa limekuwa kitu cha ajabu hapa Tanzania ya 2017! Hata vijijini maghorofa yapo!
 
Vita ya Madawa ya kulevya sio ndogo na mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana sana. Makonda anapigwa Bungeni, anapigwa mitandaoni na anapigwa vijiweni kwa mapambano yake na madawa ya kulevya. Hii inaonesha ni jinsi gani huu mtandao ulivyopenya bungeni, na jinsi vijana wanavyolipwa kuwasafisha wahusika na biashara ya madawa ya kulevya mitandaoni kumshughulikia makonda, wengine wamepandikizwa vijiweni kumsakama makonda.

Ukiachana na akina Mange Kimambi, Yericko Nyerere na Malisa GJ waliopewa fedha haramu za madawa kuwasafisha wauzaji madawa mitandaoni kwa kumchafua makonda, binafsi nimeshangazwa sana jinsi Bunge letu tukufu linavyodhoofisha vita ya madawa ya kulevya nchini.
Siamin kama haya ndio maazimio ya bunge zima kwa mtu aliyeweka roho yake rehani ili kuwaokoa vijana wa taifa hili kwa kupambana na madawa ya kulevya nchini….

i) Makonda aitwe bungeni kuhojiwa na Kamati.
ii) Waziri wa TAMISEMI apeleke mwongozo kwa Ma RC na DC kuwa wasiuchezee mhimili wa Bunge.
iii) Mamlaka ya Uteuzi wa RC Dar na DC (yaani Rais Magufuli) zichukue uamuzi haraka kuwavua Madaraka.
iv) Wabunge wanaotuhumiwa wasikamatwe bila kufuata taratibu za bunge.
Mwingine aliyetajwa pia kuhojiwa na Bunge ni DC wa Arumeru - Mh Mnyeti

Mbunge kusimama bungeni na kumchafua mtu bila ushahidi wowote kisa huyo mtu anapambana na maslahi yako(madawa ya kulevya) nje ya bunge ni usaliti kwa taifa, tunajua wabunge wana kinga wa yale wanayoongea bungeni ila tumieni hiyo kinga kuokoa taifa na si kuliharibu taifa. Nilitarajia wangeitumia hiyo kinga kuwataja wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, mafisadi, wala rushwa nk ila si kupambana na akina makonda..

Bado siamini kama Bunge letu tukufu limetumia muda wake wa zaid ya masaa 3 kumjadili mpambanaji wa madawa ya kulevya na kumuwekea vikwazo katika mapambano hayo yenye tija kubwa kwa taifa letu

# Bunge linalinda maslahi ya nani katika hili sakata la wafanyabiashara ya madawa ya kulevya????
[HASHTAG]#tanzaniabilamadawainawezekana[/HASHTAG]
[HASHTAG]#umojawetundioushindiwetu[/HASHTAG]

Binafsi nadhani vita ya wabunge na Makonda ni ya kisiasa zaidi! Issue ya madawa ya kulevya haihusiani moja kwa moja bali ile namna ya ubabe wa Makonda na kauli zake! Kwa kusikiliza mapovu yaliyokuwa yanatolewa na wabunge wa ccm nimegundua kuwa sio wengi wanafurahia kitendo cha Rais kumtumia na kuwa karibu na Makonda kuliko hata baraza lake la mawaziri! Wao ndio walipigana ccm ikapata kura, sasa iweje huyu wa kuteuliwa tu aonekane bora zaidi wakati hakuwa na mchango wowote wa kukipatia chama kura? Watu wameanza kushtuka kuwa chama kinapoteza hatamu na badala yake hatamu zinahodhiwa na m/kiti wa chama na baadhi ya wateule wake! Hakika ccm haiko imara kama inavyodhaniwa!!
 
Huo ndio ukweli serikali iache kutuhumu,
Wanaotuhumu tubaki kuwa s sisi wananchi,
serikali na vyombo vyake vya ulinzi na usalama ifanye uchunguzi na kuchukua hatua.
Kweli maana kunakuwa na element za siasa.
 
Kwani alilikanusha kuhusu kutembea na masogange?je masogange si mtuhumiwa?Je ni kweli mako n' Dar amejenga ghorofa mwanza?Ametoa wapi hela na mshahara wake unajulikana?Ziara ya marekani alilipiwa na nani?Ofisi ya mkuu wa mkoa imekarabatiwa kwa thamani kubwa,sheria ya manunuzi ya umma ilifuatwa?Haki itendeke
umenena vema mkuu
 
Makonda analinda maslahi ya taifa, hao wabunge wanajitekenya na kucheka wenyewe. Baadhi ya wabunge wanalala mbaka mate yanawatoka.mheshimiwa JPM ebu fanya mchakato upunguze hizi posho tunazowapa. Maana kiwangochao cha kujadili kimeshuka na Hakilingani na fedha tunazowalipa.

Ndugu Makonda endelea kukazakamba watanzania wakonyumayako ao wabunge tuachie sisi wananchi tunajua tutakavyo washughulikia.
 
Vita ya Madawa ya kulevya sio ndogo na mtandao wa madawa ya kulevya ni mpana sana. Makonda anapigwa Bungeni, anapigwa mitandaoni na anapigwa vijiweni kwa mapambano yake na madawa ya kulevya. Hii inaonesha ni jinsi gani huu mtandao ulivyopenya bungeni, na jinsi vijana wanavyolipwa kuwasafisha wahusika na biashara ya madawa ya kulevya mitandaoni kumshughulikia makonda, wengine wamepandikizwa vijiweni kumsakama makonda.

Ukiachana na akina Mange Kimambi, Yericko Nyerere na Malisa GJ waliopewa fedha haramu za madawa kuwasafisha wauzaji madawa mitandaoni kwa kumchafua makonda, binafsi nimeshangazwa sana jinsi Bunge letu tukufu linavyodhoofisha vita ya madawa ya kulevya nchini.
Siamin kama haya ndio maazimio ya bunge zima kwa mtu aliyeweka roho yake rehani ili kuwaokoa vijana wa taifa hili kwa kupambana na madawa ya kulevya nchini….

i) Makonda aitwe bungeni kuhojiwa na Kamati.
ii) Waziri wa TAMISEMI apeleke mwongozo kwa Ma RC na DC kuwa wasiuchezee mhimili wa Bunge.
iii) Mamlaka ya Uteuzi wa RC Dar na DC (yaani Rais Magufuli) zichukue uamuzi haraka kuwavua Madaraka.
iv) Wabunge wanaotuhumiwa wasikamatwe bila kufuata taratibu za bunge.
Mwingine aliyetajwa pia kuhojiwa na Bunge ni DC wa Arumeru - Mh Mnyeti

Mbunge kusimama bungeni na kumchafua mtu bila ushahidi wowote kisa huyo mtu anapambana na maslahi yako(madawa ya kulevya) nje ya bunge ni usaliti kwa taifa, tunajua wabunge wana kinga wa yale wanayoongea bungeni ila tumieni hiyo kinga kuokoa taifa na si kuliharibu taifa. Nilitarajia wangeitumia hiyo kinga kuwataja wafanyabiashara wa madawa ya kulevya, mafisadi, wala rushwa nk ila si kupambana na akina makonda..

Bado siamini kama Bunge letu tukufu limetumia muda wake wa zaid ya masaa 3 kumjadili mpambanaji wa madawa ya kulevya na kumuwekea vikwazo katika mapambano hayo yenye tija kubwa kwa taifa letu

# Bunge linalinda maslahi ya nani katika hili sakata la wafanyabiashara ya madawa ya kulevya????
[HASHTAG]#tanzaniabilamadawainawezekana[/HASHTAG]
[HASHTAG]#umojawetundioushindiwetu[/HASHTAG]
Na mimi pia nimeliona hilo, sioni Makonda alichokikosea zaidi ya wabunge kutaka kumkatisha tamaa. Ningemuomba Rais pia aendelee kumpa support ili vita hii ambayo Makonda ameianzisha isiishie njiani
 
Wauza ngada ......povu jana limewatoka juu ya ujasiri wa Makonda
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Back
Top Bottom