Genius King jr
Member
- Jul 29, 2020
- 19
- 20
Nilimpata mmoja ana bonge la shepu kama la Hamisa nikajiuliza huyu anafata nini huku halafu bei ya kizalendo kabisaMlango wa nne kushoto alooo pale unaweza kukabizi zizi la ng'ombe š„°
Nilimpata mmoja ana bonge la shepu kama la Hamisa nikajiuliza huyu anafata nini huku halafu bei ya kizalendo kabisaMlango wa nne kushoto alooo pale unaweza kukabizi zizi la ng'ombe š„°
Ivi kwa buguruni ni wapi mana napitaga sokoni afu ata sionagiMlango wa nne kushoto alooo pale unaweza kukabizi zizi la ng'ombe š„°
Buguruni ni kule kwenye mbao lakini wanaanzia usikuIvi kwa buguruni ni wapi mana napitaga sokoni afu ata sionagi
Mh hiyo kimara mwisho sidhani kama ni kweli mkuu, au kuna chimbo karibu na darajani?ayo uliotaja machache
1.masaku mbagala
2.m/nyamala kwa mama zachaa
3.goba ngao
4.lubumbashi mbezi
5.Tegeta nyuki
6.boko basihaya
7.mwenge 5N
8.K/KOO PALACE
9.KIMARA MWISHO DARAJANI
10.magomeni mapipa
11.kawe ukwamani
12.Hyena stadium Manzese
Na bei chee (3,000) unapewa accommodation, condom na Maji ya kunawa baada ya tendo.Temeke mikono juu mmetisha watu utelezi kila sehemu
Mwanamke ku-charge malipo kwa kumburudisha mwanamke si kosa, hata sehemu za kazi, vyuoni wanaume wanalipia hiyo hudumaHii Biashara ni Ngumu Kuicontrol maana Watumiaji wanatembea na Bidhaa zao Popote anatoa Huduma
Hakuna sheria yoyote iliyovunjwaNi sheria ipi inayozuia madanguro na kifungu gani kinasema serikali za mitaa wa?ipwe?
Sio Dar tu jii kitu imeenea mikoa yote hadi vijijini.
Bora uhimize matumizi sahihi ya kondom kama kweli una uchungu na taifa lakoMadanguro yamekuwa kama biashara rasmi, Leo nitataja madanguro Jijini na kuwauliza mamlaka za Serikali za mitaa kama nao ni sehemu ya huu uchafu.
1. Tandika Sokoni,
2. Temeke Sudani,
3. Temeke Sokota (Sugar Ray),
4. Buguruni Sokoni,
5. Manzese Uwanja wa Fisi,
6. Manzese Mferejini,
7. Mwananyamala Hospitali,
8. Msasani Macho,
9. Temeke Kata 14,
10. Ubungo Riverside,
11. Temeke/Chang'ombe Usalama,
12. Sinza Mori, soccer city, Kitambaa cheupe,
13. Sinza Afrika Sana,
14. Manzese Tiptop (Lambo),
15. Buguruni Sewa bar,
16. Oysterbay- Elements,
17. Coco beach,
18. Ubungo Riverside,
19. Sinza Meeda,
20. Velvet (zamani Corner bar)
NB: Tukisema wenyeviti wa Serikali za mitaa na wajumbe mnapewa rushwa na Hawa makahaba tutakuwa tunakosea?
**Huduma hii inahusisha hadi watoto chini ya miaka 18 kwa gharama ya TSH 3,000 tu (chumba na zana).
====
Meya Songoro aongoza operesheni vunja madanguro, makahaba 24 wakamatwa. Danguro 150 zavunjwa Mwananyamala