MADAM SPEAKER: Rai...

MADAM SPEAKER: Rai...

Hali halisi tunayoiona leo ni matokeo ya viongozi wa aina hii ambao hawana uwezo wa kufikiri na kutoa maamuzi kulingana na hali halisi ya wakati huo. Utamaduni uliojengeka miaka mingi umewafanya wasijiamini kutumia akili zao wenyewe kutoa maamuzi halali kutokana tu na hofu ya mamlaka zilizo juu yake. Matatizo haya ya kutojiamini yanaambatana nao hata pale wanapofika kwenye nafasi za juu kabisa kama urais, uspika na ujaji mkuu na matokeo yake jamii inaanza kuyumba, misingi ya maadili inamomonyoka na hata machafuko huweza kutokea! Hata kama hakuna mamlaka nyingine juu yao katika nchi zao, hofu inahamia nje ya nchi kwa mataifa makubwa au mashirika ya kimataifa!
Mara nyingi watu wenye mawazo huru, wanaojiamini hutofautiana na viongozi wa aina hii na wanawaona kama wapinzani au watu hao kujiunga na upinzani rasmi kisiasa. Hata hivyo utamaduni huu upo ukingoni kwani kizazi kilichoathirika zaidi ni kile cha waliozaliwa kabla ya miaka ya 1970! Inawezekana kabisa kwamba hali hiyo ina mizizi yake kwenye ukoloni.
 
Nice thread lakini watu wangeacha kumlaumu Mh. SUPIKA. Wanamageuzi wamekuwa wakisema serikali na dola, wanamageuzi na Mungu. Mungu anaweza kuweka kitu cha kukukatisha tamaa but at the end of the road unakutana na NEEMA. Kwa nini nimesema hivyo: Makinda kuwa spika yawezekana ilikuwa ni mpango wa Mungu kupitia ujanja ujanja wa fisadiz. Na leo hii dunia yashuhudia jinsi mama anavyoendesha taasisi ya wananchi wa Tanzania kama chombo chake kwa kuonyesha udhaifu na upendeleo kwa chama chake. At the end, watanzania wategemee kupata neema kwa sababu hawatapenda kuona mtu mwenye mlengo na mawazo ya Makinda au SISIEMU akikalia tena hicho kiti.
Narudia tena, uspika wa Makinda ni mapenzi yake Mungu kuwaumbua wote ambao wanafanya mambo yao kwa ajili ya matumbo yao badala ya hao wanaowawakilisha.
 
Jamani, Tatizo kubwa linalotusumbua ktk hili Bunge, ni WATU KUBEBWA KUINGIA/KUPATANAFASI bila kuangalia U W E Z O wao.Wabunge wengi wa ssm, wamebebwa ktk uchachuaji na ndo hao wanaompa kichwa SPIKA DHAIFU ALIYEPEWA Uspika kwa kuketishwa hapo na Wakubwa.
 
Anna Makinda ni Spika DHAIFU kupita maelezo yoyote.......ni mpuuzi kuzidi maelezo yoyote......she must go....Yes I said it!
 
Ila siku hizi msuko unamtoa vizuri kuliko "wig". Hivi ana mtoto?
Mkuu,
Hili Swali ni la muhimu sana. Katika umri alionao huyu Mama Supika Kama hana mtoto na hajaolewa hilo linaweza kuwa ni janga na sababu ya haya yote.
Kuna muda huwa anatoa majibu ya ajabu, kuna muda huwa anacheka cheka hovyo kana kwamba hajapata "dozi" ya kikubwa kwa muda mrefu. Na kisaikolojia nafikiri wote tunajua Kama haupati ile dozi mara kwa mara inaweza ikaathiri ubongo. Leo asubuhi ukiangalia alivyokuwa anahairisha Bunge her demeanor was a bit out of there. Mimi napendekeza watu wanaopewa madaraka mazito kama Spika,Waziri Mkuu,Mkuu wa majeshi,Mkuu wa Polisi na Rais wa nchi wawe wanafanyiwa psychological evaluation from time to time.

Kuna kizaa zaa kilitokea pale Washington enzi za Bill Clinton. Boris Yeltsin alikutwa nje ya White House usiku akiwa na chupi tu,anatafuta Taxi akanunue Pizza. Ikazimwa zimwa kwamba alikuwa kalewa, lakini baadae ilikuja kugundulika kuwa alikuwa na tatizo la kurukwa na akili at times.

Hawa Viongozi ni binadamu...inawezekana kabisa baadhi ya hawa Viongozi wetu wana matatizo ya akili. Ndio maana wanatoa Kauli na Vitendo vya kushangaza UMMA mara kwa mara. Tulizingatie hili wandugu.
 
Nice thread lakini watu wangeacha kumlaumu Mh. SUPIKA. Wanamageuzi wamekuwa wakisema serikali na dola, wanamageuzi na Mungu. Mungu anaweza kuweka kitu cha kukukatisha tamaa but at the end of the road unakutana na NEEMA. Kwa nini nimesema hivyo: Makinda kuwa spika yawezekana ilikuwa ni mpango wa Mungu kupitia ujanja ujanja wa fisadiz. Na leo hii dunia yashuhudia jinsi mama anavyoendesha taasisi ya wananchi wa Tanzania kama chombo chake kwa kuonyesha udhaifu na upendeleo kwa chama chake. At the end, watanzania wategemee kupata neema kwa sababu hawatapenda kuona mtu mwenye mlengo na mawazo ya Makinda au SISIEMU akikalia tena hicho kiti.
Narudia tena, uspika wa Makinda ni mapenzi yake Mungu kuwaumbua wote ambao wanafanya mambo yao kwa ajili ya matumbo yao badala ya hao wanaowawakilisha.
.
mmm
Uongozi ni Mgumu lakini jamani.. Viongozi wengi Tanzania hawapendi kukubali kwamba uongozi umewashinda..hili ni tatizo mama la viongozi njaa
 
Nadhani ni Vema Watanzania hasa viongozi wakaanza mapema kujiandaa kisaikolojia iko siku wataviachia viti walivyovikalia
 
Ohoooooooooo wana JF nilikuwa nasoma threads zenu wote waliochangia mko right cjaona aliyeenda kinyume na mtoa mada hii inadhihilisha kuwa palipo na wengi apaharibiki neno na siku zote wengi ni washindi, So hata mm naomba niseme kidogo kwa kuanza na Msemo usemao "IF YOU FIGHT WITH NATUTE, THE NATURE WILL KILL YOU" Nina maana hii kuwa Madam anafight na nature inayotaka mabadiliko ambayo yanataka kuleta khali nzuri ya maisha ya watanzania kwa hiyo kwa yeye kuzuia mambo yasiende kama nature inavyotaka ndo maana anaonekana LIVE si spiker aliyejiandaa kuongoza bunge na hasa ukizingatia ktk uhalisia alipewa naafsi hiyo kiupendeleo, na yeye kwa kuamini alikuwa naibu ataweza kumbe hakujua kuna tofauti kubwa kati ya Spiker na Naibu wake, kama kweli aliitaji nafac hiyo kwa dhamira yake kweli asingekuwa anaongoza bunge kwa tofauti kubwa naoma hiyo na lile bunge la Sita. ushauri wangu kwake ni kwake ni kuwa NATURE ambayo ni wananchi inamtazamo tofauti na wake hivyo badiri mama mtazamo ulionao angalia zaidi maslahi ya Taifa ambayo ndiyo yanawagusa sana wananchi, kwa kufanya hivyo mama utarudisha nafac yako kamwa mwanamke mmojawapo sasa aliye na nafac kubwa hata Nchini.Nawasilisha
 
Back
Top Bottom