mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
nilitumia saikolojia kumsoma Kova alichokuwa akikiongea, kwa kweli Kova ameongea uongo na ni dhahiri kabisa yeye na maafisa wenzake wa polisi wanaujua ukweli halisi wa tukio.
mkasa uliompata Jerry Muro umenikumbusha ya kwamba kamanda Kova sio mtu muadilifu kwenye jeshi la polisi.
mkasa uliompata Jerry Muro umenikumbusha ya kwamba kamanda Kova sio mtu muadilifu kwenye jeshi la polisi.