Mkuu, hivi unadhani tuna watu wenye akili humo serikalini??
tiba si sawa na ufundi mwingine wowote.... daktari hawezi kutibu bila kuwasiliana directly na mgojwa na ndio maana kila nchi inalinda madaktari wake, na kama inapokea wageni basi lzima wasome, wafanye mitihani na wafaulu. In the US alone dr anaweza kufaulu clinicals na akafeli TOEFL hata kwa miaka mitatu na kuendelea... Lengo ni kuweza kuwasiliana vyema na wateja/wagonjwa
hata wanaotibu wanyama, huwasiliana na wanyama hao kabla ya kutibu vizuri, ni utaalam maalum
Leo ukileta Dr. toka iran utawasiliana vipi?? ukiweka mkalimani, ile privacy ya mgonjwa inakua wapi??? what about "lost in translation"?
OUR GOVERNMENT IS FAILING HERSELF, HAKUNA VIAPO MTU KUWA KARANI, LAKINI KUNA VIAPO MTU KUWA DAKTARI!!! SASA UNAPOWACHUKULIA WALIOAPA POA, BASI NA WANAKUONA DADA POA TU, AND THAT IS WHERE OUR GOVERNMENT IS RIGHT NOW
THE WRITINGS ARE ON THE WALL.... AND GUESS WHAT, IT ISNT PRETTY