Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,972
- 32,374
Hawa madaktari wetu serikali ikitaka kuleta Madaktari kutoka nje wanalalamika wanasema ni aibu kuleta madaktari kutoka nje halafu wenyewe wanasema wanaenda Botswana, Lesotho, Swaziland, South Africa, sasa raia wa hizo nchi hawasemi ni aibu kutibiwa na wageni...