Madaktari waanza kuikimbia nchi..

Hawa madaktari wetu serikali ikitaka kuleta Madaktari kutoka nje wanalalamika wanasema ni aibu kuleta madaktari kutoka nje halafu wenyewe wanasema wanaenda Botswana, Lesotho, Swaziland, South Africa, sasa raia wa hizo nchi hawasemi ni aibu kutibiwa na wageni...
 
Hawa madaktari wetu serikali ikitaka kuleta Madaktari kutoka nje wanalalamika wanasema ni aibu kuleta madaktari kutoka nje halafu wenyewe wanasema wanaenda Botswana, Lesotho, Swaziland, South Africa, sasa raia wa hizo nchi hawasemi ni aibu kutibiwa na wageni...

Serikali si imeshaamua haitazungumza tena na madaktari? Kwanini isilete hao madaktari kutoka nje? Pengine yanaweza kutokea yale mambo ya huku kwetu uswazi ya mgeni njoo ili mwenyeji apone.
 
95% Madai yao binafsi 5%Madai ya Vifaa...subiri Chadema wakichukuwa nchi mtawaita halafu mnawapa mshahara wa milioni 10.

SIO KWELI HATA KIDOGO........... MADAI BINAFSI HAYAFIKI 50%.... acheni kuptosha umma kwani hakuna faida yoyote kwako wala kwa watanzania maskini

Ritz, hata siku moja huwezi kuishi kwa amani iwapo unakua mzushi, mbinafsi na puppet wa wenye raha zao.... una faidika vipi na upuuzi kama huu?
 
nahisi una personality disorder kaka.na hukufanya utafiti wa kutosha.na ndo ubaya wa kukurupuka kama kamanda makengeza na intelejensia za makengeza.nesi na medical watakupasua wewe ukipata busha la gafla au unaongea tuu ili nawewe uonekane upooooo?????
 
Serikali si imeshaamua haitazungumza tena na madaktari? Kwanini isilete hao madaktari kutoka nje? Pengine yanaweza kutokea yale mambo ya huku kwetu uswazi ya mgeni njoo ili mwenyeji apone.

Mkuu, hivi unadhani tuna watu wenye akili humo serikalini??

tiba si sawa na ufundi mwingine wowote.... daktari hawezi kutibu bila kuwasiliana directly na mgojwa na ndio maana kila nchi inalinda madaktari wake, na kama inapokea wageni basi lzima wasome, wafanye mitihani na wafaulu. In the US alone dr anaweza kufaulu clinicals na akafeli TOEFL hata kwa miaka mitatu na kuendelea... Lengo ni kuweza kuwasiliana vyema na wateja/wagonjwa

hata wanaotibu wanyama, huwasiliana na wanyama hao kabla ya kutibu vizuri, ni utaalam maalum

Leo ukileta Dr. toka iran utawasiliana vipi?? ukiweka mkalimani, ile privacy ya mgonjwa inakua wapi??? what about "lost in translation"?

OUR GOVERNMENT IS FAILING HERSELF, HAKUNA VIAPO MTU KUWA KARANI, LAKINI KUNA VIAPO MTU KUWA DAKTARI!!! SASA UNAPOWACHUKULIA WALIOAPA POA, BASI NA WANAKUONA DADA POA TU, AND THAT IS WHERE OUR GOVERNMENT IS RIGHT NOW

THE WRITINGS ARE ON THE WALL.... AND GUESS WHAT, IT ISNT PRETTY
 
nahisi una personality disorder kaka.na hukufanya utafiti wa kutosha.na ndo ubaya wa kukurupuka kama kamanda makengeza na intelejensia za makengeza.nesi na medical watakupasua wewe ukipata busha la gafla au unaongea tuu ili nawewe uonekane upooooo?????

umemjibu nani hapa?? maana kama pwenti zako zinaelea-elea tu:eek2:
 
swala la kufanya kazi bure ni swala la kujitolea na sio kila mtu analiweza, jaribu kuwaambia hao viongozi wako wauze mashangingi then tukanunua madawati kisha ndo turudi tumwambie dactari afanye kazi kwa kujitolea, hivi mnadhani dactari supernatural being??

Dr wangu,

Hakuna mtu anayepinga nyie kudai madai yenu tunachopinga ni mbinu yenu ya kudia kutumia vifo vya raia wasiokua na hatia ili kufikisha ujumbe wenu kwa serikali, ebu niambie kuna familia ya kiongozi yeyote ambaye kaathirika na mgomo wenu? Waathirika wakubwa ni masikini ndio maana hata huu mgomo wenu haukafanikiwa sababu raia hawakuwa upande wenu...kwani kulikuwa hakuna mbinu ingine ya kuibana serikali bila kutumia vifo vya Watanzania.
 
laiti na ndugu zangu walimu wangekuwa wanahitajika huko nchi za jirani!! angalau na wao wangetoka kimaso maso.
 
Mkuu, hivi unadhani tuna watu wenye akili humo serikalini??

tiba si sawa na ufundi mwingine wowote.... daktari hawezi kutibu bila kuwasiliana directly na mgojwa na ndio maana kila nchi inalinda madaktari wake, na kama inapokea wageni basi lzima wasome, wafanye mitihani na wafaulu. In the US alone dr anaweza kufaulu clinicals na akafeli TOEFL hata kwa miaka mitatu na kuendelea... Lengo ni kuweza kuwasiliana vyema na wateja/wagonjwa

hata wanaotibu wanyama, huwasiliana na wanyama hao kabla ya kutibu vizuri, ni utaalam maalum

Leo ukileta Dr. toka iran utawasiliana vipi?? ukiweka mkalimani, ile privacy ya mgonjwa inakua wapi??? what about "lost in translation"?

OUR GOVERNMENT IS FAILING HERSELF, HAKUNA VIAPO MTU KUWA KARANI, LAKINI KUNA VIAPO MTU KUWA DAKTARI!!! SASA UNAPOWACHUKULIA WALIOAPA POA, BASI NA WANAKUONA DADA POA TU, AND THAT IS WHERE OUR GOVERNMENT IS RIGHT NOW

THE WRITINGS ARE ON THE WALL.... AND GUESS WHAT, IT ISNT PRETTY

TIMING, I understand you very well na ndio maana siamini kabisa na wala sikubaliani na njia hii ya mkato ambayo serikali imetumia kuzima hoja za madaktari. Kuendeleza ubabe ni jibu tosha la jinsi gani system zetu za negotiations zilivyo weak and prefer the use of force as a means to compensate for their deficient. Kwa mipangilio hii tumeandaa tatizo kubwa in the future maana hatujamaliza tatizo bali tumelifanya liwe very complicated.
Well, walio ndani ya vyombo vya maamuzi wanasema eti hii ndio namna bora ya kutatua matatizo...kutisha watu with the use of absolute power. Ngoja tuone how effective the use of force might be! probably this is the best method in Africa.
 
Muhimbili Ina daktari wa upasuaji wa watoto mmoja tu.
Kutokana na manyanyaso ya SERIKALI kwenye mgomo huu wiki iliyopita katangaza kuacha kazi Muhimbili.
Inachukua si chini ya miaka 12 kama utabahatika kusoma moja Kwa moja bila kusimama baada ya kumaliza form six kuwa paediatric surgeon.
Watoto wenye matatizo mbalimbali waliokuwa kwenye list ya kufanyiwa upasuaji hawatapata hiyo huduma labda hao wanasiasa waje wawafanyie hao wagonjwa operesheni. Bahati mbaya hata wakienda kutafuta nje paediatric surgeon ni wachache sana.
 
Mkuu tuweni objective na madai ya madaktari wetu (hapo kwa red). Wanachopigania ni maslahi yao, hili la vifaa ni kipandio tu ili wapate public support. Hivi unajua vifaa ni one point ktk orodha yao yenye madai 12?
Mkuu, mimi nahisi hiyo pointi moja katika 12 ya madai yao ndiyo inayobeba uzito wa tiba bora. Ndiyo maana vigogo wanaenda nje ya nchi kutafuta sehemu yenye vifaa bora na siyo madaktari, kwasababu hapa tunao.
 
SIO KWELI HATA KIDOGO........... MADAI BINAFSI HAYAFIKI 50%.... acheni kuptosha umma kwani hakuna faida yoyote kwako wala kwa watanzania maskini

Ritz, hata siku moja huwezi kuishi kwa amani iwapo unakua mzushi, mbinafsi na puppet wa wenye raha zao.... una faidika vipi na upuuzi kama huu?

Nadhani wewe ndio mpuuzi...tumemsikia na tumeona kupitia kwa Rais Kikwete kahorodhesha madai 12 ya madaktari katika madai hayo kuna dai 1 tu ndio madaktari wameomba kuboreshewa mazingira ya kazi madai 11 yote ni maslahi yao binafsi, sasa wewe kama unayo madai mapya ebu tuwekee.
 
Ndicho alichosema JK sio lazima wakafanya kazi serikali kama wanaona hawalipwi vizuri bila shaka wamesikia wito wa Rais kuanza kutafuta kazi sehemu nyingine.
 
Nadhani wewe ndio mpuuzi...tumemsikia na tumeona kupitia kwa Rais Kikwete kahorodhesha madai 12 ya madaktari katika madai hayo kuna dai 1 tu ndio madaktari wameomba kuboreshewa mazingira ya kazi madai 11 yote ni maslahi yao binafsi, sasa wewe kama unayo madai mapya ebu tuwekee.



vita vya panzi kunguru kurukaruka.
 
95% Madai yao binafsi 5%Madai ya Vifaa...subiri Chadema wakichukuwa nchi mtawaita halafu mnawapa mshahara wa milioni 10.

Si bure, utakuwa umesoma na ian smith, manake hakuna tusi linakufaa, yoooote ni mepesi!!!! Umeelemewa sana kichwani na ujing
 
Watanzania tuache ushabiki wa kinafiki kana kwamba hatujazaliwa hapa nchini kwa kutetea vitu ambavyo dhairi kila ambae alishawahi kufika hospital za serikali ni shahidi. Hali za hospitali zetu zinatisha, wagonjwa wanalala chini, wakinamama wanajifungua katika hali hatarishi na wengi wao wanapoteza maisha kwa kuvuja damu nyingi baada ya kujifungua kwa kuwa imekosekana sindano ya kuzuia damu, wenzetu wanakufa mapokezi kwa kukosa huduma staili.
Madaktari wanadai vitu vya msingi kabisa ila sie ambao hayajatukuta na wala hatujui kinachoendelea katika vituo vya afya tumekalili madai ya madaktari ni posho na mishahara.
Hizo 200 bilioni za kuwaleta madaktari kutoka nje zimetoka wapi kama serikali imekiri kupitia kwa rais wetu kwamba haina pesa ya kushughulikia matatizo ya madaktari? Hawa wanaojiita madaktari by experience wanaokuja hawajui kiswahili na isitoshe kuna wengi wao pia hawajui hata kiingereza. Unategemea nini hapo? Na hata kama wakija na vitendea kazi visipoletwa hakuna kitakachofanyika zaidi ya kubebeshwa lawama etc.
Tuache ushabiki wa siasa bali tuchambue uhalisia wa tatizo lenyewe kwa kutazama ukweli halisi.

wangesema hivyo tangu mwanzo wangepata support kubwa, tuliwadharau walipotaka kujilinganisha na wabunge...
 
Nani anajali hilo, Kama sitegemei kutibiwa katika hospitali hizo nitajuaje unachosema. Inabidi watanzania tuimize kiwepo kipengele cha kila kiongozi wa nchi kuanzia Diwani hadi raisi lazima atibiwe katika hospitali za serkali na si vinginevyo.
Hapo sasa lazima zitaboreshwa. Zaidi tunapiga kelele hapa tu. la tuanze na hilo wandugu.
 
Si bure, utakuwa umesoma na ian smith, manake hakuna tusi linakufaa, yoooote ni mepesi!!!! Umeelemewa sana kichwani na ujing

Wewe tukana kwani matusi yanauwa tumeishawazoea nyie Pro-Chadema kwa matusi.
 
Mwenyezi mungu amesikia kilio cha wanyonge, madaktari wakatili hao ametuepushia. Waende huko wakajiuze.
inaelekea unajua kusoma na kuandika alakini mzito kuelewa.imagine watu kumi wanatumia bajet ya watu milioni kumi,husikii hata kuumia kidogo hapo?wanacho kataa madaktari ni viongozi kuwa miungu watu,wao wakipatwa hata na mafua wanaenda india,muhimbili hawajawahi fika.CET SCAN moja inauzwa arround 300milion sasa kwenye hizo bilioni kumi unafikiri kuna mashine ngapi hapo?
 
Back
Top Bottom