KANDA MBILI
Member
- Jul 9, 2012
- 57
- 54
Kufuatia mgomo wa madaktari wa hivi majuzi pamoja na uamuzi wa kuwafutia leseni baadhi ya madaktari waliogoma, wimbi la madaktari wameamua kukimbia nchi na kwenda kufanya kazi nje ya nchi...Habari zenye uhakika kutoka katika baadhi ya balozi za nchi wanachama wa SADC hapa mjini dar es salaam zinasema kumekua na wimbi la madaktari kukimbilia nchi za Namibia, Zimbabwe, South Africa, Botswana, Lesotho na Swaziland. ambako maslahi ni mazuri tofauti na huku kwetu bongo..
Mpaka sasa idadi rasmi ya madaktari waliokimbia ni 50 lakini inavyoelekea idadi ni kubwa zaidi ya hii kwani wapo wengi mno wanaoondoka kimya kimya bila taarifa.
"exodus of medical specialists has peaked over the past week in response to what the professionals see as the arrogance and vindictiveness of senior state officials." says The Tanzania Medical Association
" we pleaded with the doctors not to leave due to the invaluable services they offered. But the doctors said it was the only alternative given the government was in no hurry to resolve the situation" said Namala Mkopi, president of the Medical Association of Tanzania
Katika hatua nyingine serikali imeamua kutenga sh billion 200 kama gharama ya kuleta madaktari wa dharura huku gharama ya kumsomesha daktari mmoja kwa miaka mitano inakadiriwa kufikia millioni 100
SOURCE: gazeti la The EastAfrican
MY TAKE:
kuingiza siasa kwenye mambo ya taaluma na kutunishiana misuli kunakofanywa na WAKUBWA kutaiathiri sana hii nchi
serikali imemwaga mboga wao wamemwaga ugali...
Mpaka sasa idadi rasmi ya madaktari waliokimbia ni 50 lakini inavyoelekea idadi ni kubwa zaidi ya hii kwani wapo wengi mno wanaoondoka kimya kimya bila taarifa.
"exodus of medical specialists has peaked over the past week in response to what the professionals see as the arrogance and vindictiveness of senior state officials." says The Tanzania Medical Association
" we pleaded with the doctors not to leave due to the invaluable services they offered. But the doctors said it was the only alternative given the government was in no hurry to resolve the situation" said Namala Mkopi, president of the Medical Association of Tanzania
Katika hatua nyingine serikali imeamua kutenga sh billion 200 kama gharama ya kuleta madaktari wa dharura huku gharama ya kumsomesha daktari mmoja kwa miaka mitano inakadiriwa kufikia millioni 100
SOURCE: gazeti la The EastAfrican
MY TAKE:
kuingiza siasa kwenye mambo ya taaluma na kutunishiana misuli kunakofanywa na WAKUBWA kutaiathiri sana hii nchi
serikali imemwaga mboga wao wamemwaga ugali...