Madaktari waanza kuikimbia nchi..

KANDA MBILI

Member
Jul 9, 2012
57
54
Kufuatia mgomo wa madaktari wa hivi majuzi pamoja na uamuzi wa kuwafutia leseni baadhi ya madaktari waliogoma, wimbi la madaktari wameamua kukimbia nchi na kwenda kufanya kazi nje ya nchi...Habari zenye uhakika kutoka katika baadhi ya balozi za nchi wanachama wa SADC hapa mjini dar es salaam zinasema kumekua na wimbi la madaktari kukimbilia nchi za Namibia, Zimbabwe, South Africa, Botswana, Lesotho na Swaziland. ambako maslahi ni mazuri tofauti na huku kwetu bongo..

Mpaka sasa idadi rasmi ya madaktari waliokimbia ni 50 lakini inavyoelekea idadi ni kubwa zaidi ya hii kwani wapo wengi mno wanaoondoka kimya kimya bila taarifa.

"exodus of medical specialists has peaked over the past week in response to what the professionals see as the arrogance and vindictiveness of senior state officials." says The Tanzania Medical Association

" we pleaded with the doctors not to leave due to the invaluable services they offered. But the doctors said it was the only alternative given the government was in no hurry to resolve the situation" said Namala Mkopi, president of the Medical Association of Tanzania

Katika hatua nyingine serikali imeamua kutenga sh billion 200 kama gharama ya kuleta madaktari wa dharura huku gharama ya kumsomesha daktari mmoja kwa miaka mitano inakadiriwa kufikia millioni 100

SOURCE: gazeti la The EastAfrican

MY TAKE:
kuingiza siasa kwenye mambo ya taaluma na kutunishiana misuli kunakofanywa na WAKUBWA kutaiathiri sana hii nchi
serikali imemwaga mboga wao wamemwaga ugali...

 
Mwaka huu pekee Tanzania imeshapoteza zaidi ya madaktari 150, na hapo bado mwaka haujaisha. Wako watu wanaweza kufikiri kuwa hili ni jambo la kawaida, lakini just imagine kama mkoa mmoja ungepata madaktari 150 na vifaa tiba sahihi huduma ingekuwaje? Yaani Tanzania inasomesha, wengine wanafaidi kwa sababu tu serikali imemua kuonesha ubabe!

Sikubaliani kabisa na hoja kwamba madaktari wanatumiwa na wanasiasa. Kama vifaa (tena basic) vingekuwa vinapatikana kwenye hospitali zetu, lakini madaktari wakaendelea na migomo basi hapo ningekubali ni siasa. Lakini miaka nenda miaka rudi, mazingira ya utoaji matibabu imekuwa inashuka. Na sasa tunaambiwa mwaka huu pekee serikali imetenga Tsh 8 billion kwa ajili ya matibabu ya viongozi wa juu ambao hawazidi 10, huku hospitali za Taifa zikiwa zimetengea Tshs 5 tu! Yaani watu 10 wana bajeti kuzidi kiwango kilichowekwa kutibu watu milioni 10!
 
Mwaka huu pekee Tanzania imeshapoteza zaidi ya madaktari 150, na hapo bado mwaka haujaisha. Wako watu wanaweza kufikiri kuwa hili ni jambo la kawaida, lakini just imagine kama mkoa mmoja ungepata madaktari 150 na vifaa tiba sahihi huduma ingekuwaje? Yaani Tanzania inasomesha, wengine wanafaidi kwa sababu tu serikali imemua kuonesha ubabe!

Sikubaliani kabisa na hoja kwamba madaktari wanatumiwa na wanasiasa. Kama vifaa (tena basic) vingekuwa vinapatikana kwenye hospitali zetu, lakini madaktari wakaendelea na migomo basi hapo ningekubali ni siasa. Lakini miaka nenda miaka rudi, mazingira ya utoaji matibabu imekuwa inashuka. Na sasa tunaambiwa mwaka huu pekee serikali imetenga Tsh 8 billion kwa ajili ya matibabu ya viongozi wa juu ambao hawazidi 10, huku hospitali za Taifa zikiwa zimetengea Tshs 5 tu! Yaani watu 10 wana bajeti kuzidi kiwango kilichowekwa kutibu watu milioni 10!

Mkuu FJM nchi nyingine duniani zinawathamini watalaamu mbali mbali toka Tanzania wakiwemo madaktari. Waache waende kule wanakothaminiwa watalipwa vizuri na kupewa vitendea kazi vya kileo na hivyo kuwawezesha kufanya kazi zao katika mazingira bora zaidi.
 
JAMANI WAAACHENI WAENDEEEE, HUENDA HII DHAHAMA YA KUTISHANA YA KITOTO KABISA ITAISHA
Mimi nakubali kabisa hawa madaktari walikuwa hawanisaidii ntabaki natibiwa hata na Manesi au MaMedical ambao walipita huko JKT wanaujua Uzalendo, hao wanaojidanganya eti ataenda Botswana wakati Leseni yake imefutwa ni uongo Mtupu hawatapokelewa,
  • Kwanza ni lazima Ubalozi wetu uwachuje,
  • Pili Nchi za wenzetu huwezi kumgusa Raia wao na kumuandikia sindano wakati huna Leseni toka nchi uliosomea au cheti cha Chuo husika
  • Hao Madaktari tuwaombee safari njema kuna kazi nyingi tu huko hata km si za Udaktari wakafanye
  • Ni kweli walikuwa sio wazalendo maana walitaka kujipima na wabunge, hivi na Wahasibu Mainjinia wanajeshi, Polisi wanasheria nao wafanye hivyo?
  • Acheni waende wametumwa hao tutawasiliana nao humuhumu JF wakitutukana lakini msg send na picha imefika THE END tusubiri mgomo wa wengine, Wakulima
 
Tanzania hospitals hit hard by brain drain as sacked doctors seek jobs abroad

Posted Saturday, July 14 2012 at 13:12
THE EAST AFRICAN


HUNDREDS OF doctors working in Tanzania government hospitals are leaving the country for greener pastures in other African countries after the government terminated their services over a strike.


The Tanzania Medical Association says the exodus of medical specialists has peaked over the past week in response to what the professionals see as the arrogance and vindictiveness of senior state officials.


Officials at Southern African Development Community member states' embassies in Dar es Salaam have confirmed that approximately 50 medical personnel who have been terminated in Tanzania have opted to pursue employment opportunities elsewhere.


Investigations by The EastAfrican reveal that numerous doctors, nurses and midwives are leaving for Namibia, Zimbabwe, South Africa, Botswana, Lesotho and Swaziland.


The move to leave the country follows the Medical Council of Tanganyika decision to cancel the provisional registration of more than 360 internship doctors who were involved in the recent strike.
Donan Mbando, chairman of MCT, said the professionals are required to return the provisional registration to the registry office before July 17.
"These doctors have been stripped of their provisional registration in accordance to section 15 (2) of the Medical Act, chapter 152," said Dr Mbando.


The medical professionals who lost their provisional registration licences had been assigned to Muhimbili National Hospital, Kilimanjaro Christian Medical Council Hospital, Mbeya Referral Hospital, Bugando, Amana, Temeke, St Francis-Ifakara, Mwananyamala, SekouToure, Haydom and Dodoma hospitals.


Namala Mkopi, president of the Medical Association of Tanzania, said they had pleaded with the doctors not to leave due to the invaluable services they offered. But the doctors said it was the only alternative given the government was in no hurry to resolve the situation.


"There will obviously be an impact on the delivery of health services," he said.


The government has already set aside Tsh200 billion ($100 million) to employ foreign doctors. The amount is way above the cost of training a doctor in the country -Tsh100 million ($64,034.4) over five years.


By John Mbalamwezi, Dorithy Ndeketela and Hadija Hussein
 
Mwaka huu pekee Tanzania imeshapoteza zaidi ya madaktari 150, na hapo bado mwaka haujaisha. Wako watu wanaweza kufikiri kuwa hili ni jambo la kawaida, lakini just imagine kama mkoa mmoja ungepata madaktari 150 na vifaa tiba sahihi huduma ingekuwaje? Yaani Tanzania inasomesha, wengine wanafaidi kwa sababu tu serikali imemua kuonesha ubabe!

Sikubaliani kabisa na hoja kwamba madaktari wanatumiwa na wanasiasa. Kama vifaa (tena basic) vingekuwa vinapatikana kwenye hospitali zetu, lakini madaktari wakaendelea na migomo basi hapo ningekubali ni siasa. Lakini miaka nenda miaka rudi, mazingira ya utoaji matibabu imekuwa inashuka. Na sasa tunaambiwa mwaka huu pekee serikali imetenga Tsh 8 billion kwa ajili ya matibabu ya viongozi wa juu ambao hawazidi 10, huku hospitali za Taifa zikiwa zimetengea Tshs 5 tu! Yaani watu 10 wana bajeti kuzidi kiwango kilichowekwa kutibu watu milioni 10!

Mkuu tuweni objective na madai ya madaktari wetu (hapo kwa red). Wanachopigania ni maslahi yao, hili la vifaa ni kipandio tu ili wapate public support. Hivi unajua vifaa ni one point ktk orodha yao yenye madai 12?
 
Ndani ya siku 9 zijazo kutasikia jambo la ajabu msilotegemea kwa nchi ya Tanzania. Na huo ndio utakuwa mwanzo tu wa hayo mambo yasiyotarajiwa.
 
Mwenyezi mungu amesikia kilio cha wanyonge, madaktari wakatili hao ametuepushia. Waende huko wakajiuze.

Nakuunga mkono mkuu. Bora tu waondoke kuliko kuwepo wakati hawafanyi kazi, ndg zetu wanakufa wao hawaoni huruma, utafikiri ni wao tu ndo wanalipwa maslahi duni
 
Halafu watawalipa wageni maradufu- wengi wao hawana ujuzi wa hao wanaoondoka. Sisi hatuna kiongozi tuna ngozi.
 
Mkuu tuweni objective na madai ya madaktari wetu (hapo kwa red). Wanachopigania ni maslahi yao, hili la vifaa ni kipandio tu ili wapate public support. Hivi unajua vifaa ni one point ktk orodha yao yenye madai 12?

Kiongozi, sio maslahi tu. Sijui kwanini wanasiasa wanataka kushikilia hapo kwenye maslahi? Hawataki kabisa kusema madai mengine! Waziri mkuu mwenyewe akiwa pale Muhimbili mwezi March (mkutano na madaktari) walimweleza hali ilivyo mbaya na jinsi wagonjwa wanavyokufa wengi kwa sababu ya kukosa dawa muhimu. Aliambiwa huyu baba. Na pia wakamwambia serikali sasa iwe na mpango maalumu wa kupiga marufuku wagonjwa kulala chini! Na kwa bahati nzuri haya mambo waliongelea on-camera.

Madakatri wanakosa 'mask' wanafunga mashuka? Gloves shida?
Hivi ulishajiuliza kwanini Spika Makinda ameamua kuweka kabatini report ya kamati ya huduma za jamii? Kamati hiyo ilitembelea hospitali na wajumbe wake walilia baada ya kuona hali ilivyo. Lakini kwa mshangao Spika ameweka kabatini maana report inasema exactly matatizo yako wapi.

Hapa tukubali Appolo inatumaliza.
 
JAMANI WAAACHENI WAENDEEEE, HUENDA HII DHAHAMA YA KUTISHANA YA KITOTO KABISA ITAISHA
Mimi nakubali kabisa hawa madaktari walikuwa hawanisaidii ntabaki natibiwa hata na Manesi au MaMedical ambao walipita huko JKT wanaujua Uzalendo, hao wanaojidanganya eti ataenda Botswana wakati Leseni yake imefutwa ni uongo Mtupu hawatapokelewa,
  • Kwanza ni lazima Ubalozi wetu uwachuje,
  • Pili Nchi za wenzetu huwezi kumgusa Raia wao na kumuandikia sindano wakati huna Leseni toka nchi uliosomea au cheti cha Chuo husika
  • Hao Madaktari tuwaombee safari njema kuna kazi nyingi tu huko hata km si za Udaktari wakafanye
  • Ni kweli walikuwa sio wazalendo maana walitaka kujipima na wabunge, hivi na Wahasibu Mainjinia wanajeshi, Polisi wanasheria nao wafanye hivyo?
  • Acheni waende wametumwa hao tutawasiliana nao humuhumu JF wakitutukana lakini msg send na picha imefika THE END tusubiri mgomo wa wengine, Wakulima

Bahati nzui ni marufuku kutukanana humu, lakini wewe kama si mmoja wa wanaonufaika na matibabu ya bure nje ya nchi sijui ni nani tena. Yaelkea huna macho ya kuona na huna masikio ya kusikia. Udhalili wote unaowapata madaktari huuoni na wala huusikii? Lakini uko tayari ku-justify safari 360+ za nje ya nchi za rais wako, ia daktari akiomba dola 100 zaidi ni kituko? Ama kweli wee......lakini tupo, yatakufika hata wewe!
 
waache waende bwana,
Masomo magumu,usome kwa shida,Kazi ngumu,ufanye kaz kwa shida,ukidai haki inakua shida.Mi nawatakia kila la kheri,cha msingi 2015 warudi kupiga kura,tukichukua nchi warudi nyumban kujenga nchi,kwa sasa hawana tofaut na wakimbizi baad ya kuwa watumwa kwenye nchi yao kwa muda mrefu
 
Back
Top Bottom