Madaktari wa Mwanza wanaipima Serikali?

Madaktari wa Mwanza wanaipima Serikali?

ukiangalia kwa umakini mvutano upo katika hospital za wilaya na mkoa, sio kwenye vituo vya afya vya kata huko hakuna vitanda vya kujifungulia na wananchi wanalijua hilo na watumishi walisharidhika na maisha yao. Hawa miunguwatu waliopita muhimbili ndio wenye tatizo hasa, walishazoea kuwagomea bodi ya mikopo wanadhani wanaweza gomea kila mtu.
mhh sawa mkuu nmekusoma
 
ukiangalia kwa umakini mvutano upo katika hospital za wilaya na mkoa, sio kwenye vituo vya afya vya kata huko hakuna vitanda vya kujifungulia na wananchi wanalijua hilo na watumishi walisharidhika na maisha yao. Hawa miunguwatu waliopita muhimbili ndio wenye tatizo hasa, walishazoea kuwagomea bodi ya mikopo wanadhani wanaweza gomea kila mtu.
 
Ninacho kiona ni uhusiano mbovu kati ya wahudumu wa afya na jamii wanayo itumikia yahani uhusiano mbovu kama ule wa jeshi la polisi na jamii, nani a naye wachonganisha? jibu ni wazi Siasa mbovu.
Kweli mkuu wanasiasa wanawapa kiburi wanajamii katika masuala ya kitaaluma. Na Jamii ikiendekeza hayo tunapotea maana wao wanafuata sheria ila wao wanabomoa Ili wajenge kwa kuonekana kwenye macho ya jamii
 
Ndugu inaonekana kama kuna mass mobilization dhidi yao sasa, nani kamobilize jamii dhidi ya watu wa afya?......... sikatai kuwa afya kuna matatizo, nadhani njia wanazo zitumia kuwajibisha watovu wa nidhamu ndo zenye matatizo .
 
Madaktari hufika hapo walipo kwa kujitoa sana, wakati wenzao wanatoroka madarasani wenyewe wapo. Nilitegemea hata magari yao yangekuwa na label ili trafic wasiwe wanawapiga mikono. Tuna jamii inayotaka mabaya tu kwa watu wengine
Any way Mungu anaona frm above these peoplse sucrifies every thng for patient
 
Daktari anafanya kazi masaa mangap kwa siku? siku ngapi kwa week??
Daktari analipwa sh. Ngap? anakatwa sh. Ngap?
daktari anapaswa kuwa na familia au laaaah?? akiwa nayo mke wa daktari anakaa na mumewe au mkewe lini? watoto wake wanapataje wasaa wa kukaa na wazazi wao??
most of u guys mnalala jumamosi na jumapili. Weekdays mnatoka kazin sa. 11 Maximum.
Most of us tunakaa hospital mpaka sa 2, na usiku tunaamshwa kuja kuwahudumia nyie kama ndugu zetu. We work 7days a week, and our timetable always accomodate room ya kuitwa hata kama usiku sa. 10 Niko natengeneza mtoto... u think we get paid fo that? Well we dont. Our children wanakua with pride wazaz wao madr. But we are poorest parents ever, its not a choice is default kwenye system yetu.. sio kwamba nilichagua niwe daktari so as kutake every crap ambayo utakuja nayo kwakuwa we ni mgonjwa. And sisi ni watu pia, nina familia, nina ndugu... mshukuru mungu ukienda kazini unaenda kuhesabu hela au Kuandika kwenye makaratasi.. nataman siku moja ungejua inakuaje unaamkia kuwasikiliza watu ambao wengi wao sio waekewa na hawajali wenzao bali wao wenyewe..
Ofisi ya serikali ikifika sa. 7-8 Ni muda wa kula ila dr. Akiacha clinic muda huo kwenda kula utaambiwa tumekuja sa. 12 Bila hata kujua wewe upo pale tangu jana.. you dont ask, you never ask.. doctors are most non-selfish people out there but hamuwez kujua kwakua mnaangalia mambo mnayoyafanya kwenye 24 hours nakuzan tinalingna..
fine, ni vizuri kuwaza mnavyowaza kwakua scope ya what mmewitness haiwaruhusu kuwaza beyond that..
Anf no, drs. Hawana lugha mbaya but kama human akiwa na bad mood learn kuongea naye pia..
We work in most difficulty environments, tunajitoboa kuhudumia wagonjwa wa HIV, personally nishawah kumzalisha mtoto kwa mikono mitupu 5years ago wakati hamna gloves. I risked my life mom was positive, alafu leo mnakuja kuongea ujinga without hata kusikiliza mazingira yakoje..
Its shame nchi kama yetu inamadaktar wachache na tuko 45 mil.
mnazan madakatari wenye vyet wanafika hata elfu 20???
Fine, we bleed for ua relatives, we abandon our husbands, wives for you.. tunachoka pia, tutachoka one day.. its not fair, u may not see these but one day mtajua.. NIMEIKUTA MAHALI!!

Ndugu jitahidi kutafakari kwa yanayotokea sio kuja na lawama kwa madaktari pasipo kuchunguza kwa umakini juu ya hiki kinachotokea, labda nikufahamishe tu kwa sasa serikali inafanyia kazi matokeo badala ya kufanyia kazi chanzo cha hayo yanayotokea ninaandika hivi nikitaka kukufahamisha tu kwa sasa karibia Hospitali zote kuna uhaba mkubwa wa dawa na vifaa tiba na tumeshuhudia majengo ya gharama yaliyojengwa huku kukiwa na ajira kibao za taasisi ya Benki ya damu kwa sasa imekufa kabisa kwani hakuna damu tena katika taasisi hiyo.

Hivyo unatakiwa uelewe hicho cha kusimamisha kazi madaktari na wauguzi sio suruhisho la kinachotokea Serikali inashindwa kujihukumu yenyewe na wanachofanya ni kuwaadaa wananchi.
 
ndugu yangu hawa manesi na madaktari wanafanya kazi kama mbwa aikwambie mtu,unakuta nesi mmoja ila anawagonjwa zaidi ya mia wanamsubiri awape huduma,hapo kuna mama mjamzito kaja kupima uzito na kujua maendeleo ya mimba,kuna mwingine kaja kwa ajili ya chanjo,mwinge kaja kupa ushauri wa lishe na unyonyeshaji hivi unadhani ufanisi unapatikanaje hapa??alafu mtu kama mulugo ambae kazi yake kutukanana na wanasiasa na kuamrisha polisi anakuja kutoa amri za kitoto bila kuruhusu taratibu za kitaaluma kutumika ni upuuzi ulio pitiliza

Nadhani ulimaanisha Mugesa Mulongo, RC wa Mwanza na sio Philip Mulugo yule mbunge wa jimbo la Songwa mkoani Mbeya kama sijakosea.

Otherwise you are right. Na kwa lugha rahisi kabisa ni kuwa hawa viongozi wa awamu ya Magu wameamua kutumia madaraka yao vibaya kwa sababu tu wana nguvu na madaraka hayo huku wakiziweka taratibu, kanuni na sheria za utumishi wa umma pembeni na kujigeuza wao ndiyo sheria!!

Na tunaposema hivi ieleweke kuwa hatutetei uzembe au kutowajibika kwa watumishi wa umma ktk kutekeleza wajibu wao, la hasha!!

Bali wakosaji washughulikiwe kwa mujibu wa sheria na si kwa "mizuka" tu ya hofu kwani hali hii ikiendelea ni wazi matokeo yake yatakuwa hasi zaidi kuliko tija na pengine hata kuleta chaos zinazoweza kuepukika!!
 
Mkuu hilo linajulikana ndio maana nikasema katika mawaziri waliongia ni mmoja tu ndiyo aliyediriki kusema atowataka watu wafanye maajabu yaliyo nje ya uwezo wa wizara.

Budget yetu imekuwa ikipangwa kila mwaka sijui kwa utaratibu gani na aifikii malengo yake yaani huko nako kuna uzembe mkubwa inataka mada yake yenyewe of discussion ya uwezo wa wapanga budget yetu. It just doesnt make sense wewe upange budget kila mwaka halafu matokeo yake kuwe na large amounts of variation to actual results na bado tukuite mtaalamu, achilia mbali makusanyo hafifu bado ushindwe kuiambia serikari mnapotaka kuchukua hela huku mjue sehemu zingine zitakwama kama azikupangiwa budget.

Alikadhalika kuna vitu vingine ni usimamizi imara tu wa processes kuondoa uzembe hilo alihitaji pesa nyingi kufanyika bali ubunifu na uelewa chukulia huu mfano hapo chini uliomuondoa mtu aliyekuwa anahusika na usimamizi wa sector katika jimbo (pamoja na wafanyakazi kadha kwa kushindwa ku implement sheria; procedural wise kuwalinda watoto).

Matokeo ya vitu kama hivyo nchi za wenzetu inapelekea kubadilishwa kwa system ya nchi nzima kisera juu ya ulinzi wa watoto na kuwekwa module nzima chuoni ya safeguarding and partnership kwa watu wanaosomea mambo ya huduma ya mstari wa mbele ili kuwaanda zaidi; pamoja na sheria na mlolongo chain zake ie policy, frameworks na usimamizi unaweza kukagulika hadi huko chini (hiyo ndio shughuli ya wataalamu).



Hicho ni kipande tu kuna video za mpaka masaa mawili on what transpired kwenye hili sakata; hoja yangu ni wataalamu ndio wanatakiwa kuja na mikakati kutatua hizi changamoto, leo kuna watoto wangapi huko vijijini welfare zao utata, kuna partnership gani ya wizara husika na taasisi zingine za serikari kupambana na unywanywasaji wa watoto, inakuaje kasi ya watoto wa mitaani inakuwa siku hadi siku kuna early intervention gani kuzuia, primary intervention policies zipi and services zipi available kwa wahanga kupata life chances (wao ndio kwanza wanataka wasombwe kwenye magari wakawatupe wanakojua).

Bado ujagusia system za afya tunaposema Ummy Mwalimu na timu nzima are not qualified sio majungu ni kwamba hana huo uwezo na haya mambo yanaawaathiri watanzania wengi kisa uongozi mmbovu wa wizara nyingi tu.

mkuu bahati nzuri umetambua kuwa suluhisho kamili ni juhudi za sector mbali mbali hata zisizo za afya kwani kulega lega kwao kuna kuwa reflected kwenye afya na kuongeza mzigo kwa watu wa afya, mfano ukosefu wa maji ambayo si kazi ya wizara ya afya inaweza kuzalisha matatizo mengi ya kiafya kuanzia vipindupindu, magonjwa ya ngozi,.........au ukosefu wa usalama barabarani wahanga wapo chini ya uangalizi wa watu wa afya!..........uchumi duni chanzo cha miili dhaifu isiyo himili magonjwa na na kumudu gharama za matibabu (hapo ndo utakuta walio chelewa kwenda kutibiwa,wasio weza kununua dozi za dawa......,)........hospitalini kuna wagonjwa wa matatizo ya kijamiii(social problems)....wooooooooooote wanamwangalia mhudumu wa afya!. Huku tukiwa hatuwekazi vya kutosha na tunataka majibu makubwa!, tuna fund budget za afya kwa asilimia 30 (% pungufu) huku ikitangazwa kwenye media kuwa dawa zinaibiwa - jamani huku kama si kuchonganisha wahudumu na wahudumiwa ni nini?.
Selekali haipo serious na afya, inaficha madhaifu yake kwa kuchificha kwenye kichaka cha uwizi wa madawa na uzembe wa watumishi! (matatizo ambayo kimsingi yapo lakini siyo pekee kama wanavyo uaminisha umma, waseme pia kwa umma kuwa fund iliyo toka ni ya mwezi mmoja au minne!). Ukumbukwe kuwa hawa watumishi wamewekwa kati ya msumari na nyundo!, wamebeba madhaifu ya ubovu wa mfumo na ufinyu wa bajeti.
Hapo juu nimedokeza juu ya mass mobilization zikiendelea tutarajie zahanati/vituo vya afya na hata hospitali zikichomwa moto kama wanavyo choma vituo vya polisi siku hizi!
 
Nadhani ulimaanisha Mugesa Mulongo, RC wa Mwanza na sio Philip Mulugo yule mbunge wa jimbo la Songwa mkoani Mbeya kama sijakosea.

Otherwise you are right. Na kwa lugha rahisi kabisa ni kuwa hawa viongozi wa awamu ya Magu wameamua kutumia madaraka yao vibaya kwa sababu tu wana nguvu na madaraka hayo huku wakiziweka taratibu, kanuni na sheria za utumishi wa umma pembeni na kujigeuza wao ndiyo sheria!!

Na tunaposema hivi ieleweke kuwa hatutetei uzembe au kutowajibika kwa watumishi wa umma ktk kutekeleza wajibu wao, la hasha!!

Bali wakosaji washughulikiwe kwa mujibu wa sheria na si kwa "mizuka" tu ya hofu kwani hali hii ikiendelea ni wazi matokeo yake yatakuwa hasi zaidi kuliko tija na pengine hata kuleta chaos zinazoweza kuepukika!!
hapo kwa mulugo naomba radhi niayangu ilikuwa kummention mulongo huyu wa Mwanza
 
Kuna wakati watu tunasahau kama tupo Tanzania na tunaongea kama tupo Ulaya! Tunawaza kufunga MIS ilihali vifaa tiba bado ni matatizo.
Mi computer imejaa kibao siku hizi haina hata ushuru na tumesomesha vijana maelfu wana degree za IT wako mitaani. Au nyie huko kijijini mkisikia neno MIS mnadhani ni bonge la kitu. Sasa hivi hospital karibu zote za serikali zina computer madaktari na manesi wanacheza game ya zuma. Hizo zingetumika kusimamia utoaji huduma. Dunia imebadilika
 
Mi computer imejaa kibao siku hizi haina hata ushuru na tumesomesha vijana maelfu wana degree za IT wako mitaani. Au nyie huko kijijini mkisikia neno MIS mnadhani ni bonge la kitu. Sasa hivi hospital karibu zote za serikali zina computer madaktari na manesi wanacheza game ya zuma. Hizo zingetumika kusimamia utoaji huduma. Dunia imebadilika
Mkuu mbona unataka kufanya nianze kuumiza kichwa kuwa nabadilishana mtu wa aina na uelewa wake upo je? Kwanini unafikra za kuwa kijijini ndiko kuna watu wasiojua chochote na ndiyo wanastahili kupuuzwa?
Mimi kwa ufahamu wangu mdogo naamini hakuna binadamu bora kuliko mwenzie. Hii jf ina mambo! Watu huwa wanahangaika sana kutaka kuonekana wao wanajua vitu na mambo kuliko wenzao lakini laiti wangejua kuwa kupitia njinsi unavyobadilishana mawazo na watu, mtu atajua tu kama wewe ni Diploma, Bachelor, Masters au Phd holder.
Mbwembwe nyingi zipo kwa Bachelor holders kwani hapo ndipo mtu huanza kuona anaingia katika intellectual society, lazima watu wajue amesoma.
Anyways, Karibu kijijini utufundishe sijui ni IT au Computer Science. Ila ukitaka intellectual discusion you 're welcome.
 
Mi computer imejaa kibao siku hizi haina hata ushuru na tumesomesha vijana maelfu wana degree za IT wako mitaani. Au nyie huko kijijini mkisikia neno MIS mnadhani ni bonge la kitu. Sasa hivi hospital karibu zote za serikali zina computer madaktari na manesi wanacheza game ya zuma. Hizo zingetumika kusimamia utoaji huduma. Dunia imebadilika
Hebu tusaidiane katika hili ili upate logic yangu ilikuwa wapi!

Unapoongelea kufunga Management Information System(MIS) lazima ujue lengo lake ni ku-organise, ku-evaluate na ku-manage, sasa je matatizo yaliyopo katika sekta ya afya yanayotokana na rushwa iliyoleta chuki kwa wananchi utayatatua vipi kupitia hiyo system.

Kumbuka MIS haianguki kutoka mbinguni inahitaji Hardware, Software na data resources kama vile database, decision support support systems ambapo ni people management na Project management sasa huoni kama wakati unahangaika na vitu hivyo utakuwa wastage of financial resources kwa kitu ambacho hakitakuja kutatua changamoto inayokukabili, resources ambazo zingesaidia hata kununua gloves za kumzalisha mjamzito?!
Sitashangaa sana ndivyo Waafrika tulivyo tupo tayari kutumia pesa kwa liabilities zaidi kuliko assets.
Mtu anakimbilia kununua magari ya thamani na majumba makubwa kuliko kutengeneza firm yoyote ambayo ingepunguza tatizo la ajira lakini naye yupo mstari wa mbele kuilaumu serikali.
Hata hivyo tutafika tu!
 
Back
Top Bottom