GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,282
- 2,931
Na bado kwelina bado.
Na bado kwelina bado.
Yes..wafanye hvyo kweli maana now days unaweza kujikuta unapoteza kazi kwa mambo ya kishabiki,ukiwa polisi,daktari,mwalimu,nurse... lazima ukubali lawama zozote utakazobebeshwa..ni mtihni sana kwa wenye taaluma hizi kwakweli..ila naamini madktari wakiyafanya hayo wanayoambiana watakua wako kwenye mstari wa haki ingawa shida ni kuwa itawaumiza wagonjwaUJUMBE KWA MADAKTARI WOTE TANZANIA
1. Fika kazini mapema kama taratibu za kazi zinavyoelekeza na tekeleza majukumu yako yote kwa ufanisi wa hali ya juu
2. Hudumia wagonjwa wako kwa upendo na upole hata hivyo upendo wako usivuke mipaka
3. Sio kila tatizo la mgonjwa wako ni jukumu lako shughulikia linalokuhusu tu
4. Wapi mgonjwa atapata dawa au vifaa tiba vyengine ambavyo havipatikani katika hospitali yako na ni bei gani sio jukumu lako, mwandikie vyote anavyohitajika kua navyo na mpe maelezo kwa nini vinahitajika. jukuma la kuvitafuta sio juu yako.
5. Usitoe vitendea kazi vyako au vifaa vyako mwenyewe ukampatia msaada mgonjwa. Utaingia matatizoni kwa tuhuma za kuiba vifaa vya hospitali au kufanya biashara eneo la hospitali
6. Hakikisha umetoka kazini muda tu unapohitajika. Kuendelea kuwepo kazini baada ya muda kwisha ni vizuri lakini kumbuka utawajibika kwa lolote litakalotokezea baadae sababu muda wako ulishakwisha
7. Usiingilie mgonjwa asiekuhusu. Utawajibika kwa yatakayotokezea
8. Kumbuka familia yako ingependa kukaa na kufurahi na wewe. kumbuka familia yako ni sehemu muhimu sana kwako. Ipatie muda inayostahiki
9. Wakati unapohudumia mteja usihangaishwe na foleni iliokuepo hospitali. Muhudumie kila mgonjwa anavyostahiki, mpatie maelezo ya kutosha na muache afanye maamuzi mwenyewe. heshimu maamuzi yake na hakikisha umeandika maamuzi yote na ameweka sahihi yake na yako au maamuzi hayo yameshuhudiwa na mashahidi stahiki
10. Usiombe rushwa, usiombe malipo yoyote yasiokua sahihi. Usitoe jumla ya gharama za matibabu sio kazi yako. kua muangalifu iwapo mgonjwa au jamaa yake amekupatia takrima inaweza kukugeuka.
11. Usiwe na tamaa ya haraka ya kutaka kua na maisha ya juu. ishi kwa uwezo uliokua nao, mshukuru mungu kwa yale aliyokupa
12. Hata daktari anayo haki ya kukataa mgonjwa. mueleze mgonjwa au jamaa wa karibu kwa nini huwezi kumhudumia na toa maelezo sehemu husika ya sababu zinazokufanya kumkataa mgonjwa huyo.
13. Kua muangalifu unaporifaa mgonjwa au pale unapompa maelezo ya kufuatwa huduma aliyoikosa katika hospitali nyengine. kua muangalifu unapomtaka mgonjwa ahudhurie hospitali ya binafsi. Wengi wao huamini hizo hospitali ni za madaktari husika.
14. Hudumia mgonjwa aliefuata taratibu husika tu isipokua kama ni dharura. hata hivyo hakikisha hospitali yako ina sera stahiki juu ya malipo ya dharura.
15. Huduma yoyote unayompatia mgonjwa mukiwa mbalimbali mfano kwa njia ya simu ni huduma yako. utawajibika kwa yatakayotokezea kwa huduma hiyo. Hakikisha huduma hiyo inafuata taratibu ikiwemo kufanya malipo stahiki.
16. Kumbuka mgonjwa na jamaa zake sio rafiki zako. watakustahi ikiwa mambo yanakwenda vizuri tu na watakugeuka kama mambo yataharibika
TUWAPATIE UJUMBE HUU MADAKTARI WOTE NA TUJITAHIDI KUBADILIKA. KUMBUKA LIKIKIFIKA NI LAKO NA FAMILIA YAKO.
NIMEIKUTA MAHALI
haya yanayotokea yanaweza leta ugum zaid kwa wananchi wanaoenda kwenye hospital hizi kuliko kuwasaidia..maana daktari akifanya kazi ilimradi cku ipite chamoto unakiona mgonjwa....ngoja tuone lakin mwsho wakeNdugu inaonekana kama kuna mass mobilization dhidi yao sasa, nani kamobilize jamii dhidi ya watu wa afya?......... sikatai kuwa afya kuna matatizo, nadhani njia wanazo zitumia kuwajibisha watovu wa nidhamu ndo zenye matatizo .
unachokisema ni sahihi, hakuna haja ya kujengeana mabifu na wanakijiji kwa matatizo yaliyoko nje ya uwezo wao, timiza wajibu wako muda wa kazi ukiisha nenda hindu hospital huko utapata ada ya kumuona daktari tena utakutana na wagonjwa wastaarabu akina maalim saif, clinic zao wanafanyia serena hotel full kiyoyozi, wachana na wajawazito wa mkuyuni mwishowe wakung'ate kwa meno bure.Yes..wafanye hvyo kweli maana now days unaweza kujikuta unapoteza kazi kwa mambo ya kishabiki,ukiwa polisi,daktari,mwalimu,nurse... lazima ukubali lawama zozote utakazobebeshwa..ni mtihni sana kwa wenye taaluma hizi kwakweli..ila naamini madktari wakiyafanya hayo wanayoambiana watakua wako kwenye mstari wa haki ingawa shida ni kuwa itawaumiza wagonjwa
wala hamna ugumu wowote kama mama analea mimba miezi tisa anazaa mtoto mwenye afya na siha njema halafu anaamua kumtupa jalalani hizo frustration zako haziwasumbui wanaweza kukutoa balu kama kawa.haya yanayotokea yanaweza leta ugum zaid kwa wananchi wanaoenda kwenye hospital hizi kuliko kuwasaidia..maana daktari akifanya kazi ilimradi cku ipite chamoto unakiona mgonjwa....ngoja tuone lakin mwsho wake
Tatizo serikali ya majipu imewapa kichwa wananchi. Yaani wanasahau kuwa Kila sehemu ina taratibu zake. Huenda wananchi sasa wanatumia kauli chafu kwakua wanaamini mtetezi wao yupo, kitu ambacho si sawa. Jaman tujifunze heshima na busara. Hawa madaktar ni watumishi na wala sio watumwaHabari wana JF, hivi karibuni tumeona tukio moja likitokea huko Mtwara la Kusimamishwa Daktari mmoja aliyehusika katika kuomba rushwa kutoka kwa mgonjwa aliyetakiwa kufanyiwa upasuaji.
Japo ushahidi ni mgumu wa mazingira ya hiyo rushwa, ni ukweli usio na kificho kuwa Wahudumu wa afya walio wengi wamekuwa si waaminifu tena wasiokuwa na chembe ya huruma kwa binadamu wenzao kiasi cha kutojali uhai wa wagonjwa wanaowahudumia.
Tukio la Mtwara limefuatana na matukio mawili ya kusikitisha yaliyotokea katika jiji la Mwanza, wilaya ya Nyamagana kwenye hospitali ya wilaya ya Nyamagana (Butimba) na hospitali ya mkoa ya Sekou Toure.
Likitangulia la hospitali ya Butimba, mama mmoja alijifungulia chooni watoto mapacha na wakafariki kwa kile kilichodaiwa ni uzembe wa manesi waliokuwa wakimtolea kauli chafu mjamzito huyo kuwa awaite Majaliwa na Magufuri waje wamhudumie.
Tukio jingine lililofuatia ni kufariki kwa mama na watoto wake mapacha katika hospitali ya mkoa (Sekou Toure) kwa kucheleweshwa kuongezwa damu.
Kutokana na matukio hayo, kuna manesi na madaktari wametiwa nguvuni kutokana na kasi iliyopo sasa ya kurejesha nidhamu na uwajibikaji katika utumishi wa umma.
Sasa Madaktari wamefanya mgomo katika hospitali ya Butimba kwa madai wanaogopa usalama wa kazi yao kwa kuwa wao hawawezi kuzuia kifo kwa mgonjwa pale muda wake unapokuwa umefika.
Mheshimiwa Rais, sichelei kusema hawa madaktari wanataka kutunishiana misuli na serikali yako kwa kile kilichotokea Mtwara. Kwanini Wananchi wote wanaokumbwa na masahibu haya kutoka kwa wahudumu wa afya katika maelezo yao wanaambiwa wawaite Majaliwa na Magufuli wawahudumie?
Mheshimiwa watumie vijana wako wa TISS wakupe taarifa kamili ili ujue utapambana vipi na udhalimu wa baadhi ya watumishi wa afya ambao wanafikiri kuwa wao ni bora katika jamii kuliko watu wengine wakisahau kuwa wao pia ni product ya mwalimu, hivyo tunaishi kwa kutegemeana.
u might be right mkuu.....wala hamna ugumu wowote kama mama analea mimba miezi tisa anazaa mtoto mwenye afya na siha njema halafu anaamua kumtupa jalalani hizo frustration zako haziwasumbui wanaweza kukutoa balu kama kawa.
Sheria lazima ifuate mkondo wake yule jamaa bado anatafutwa. Tukijua huu uhasama umeanzia wapi ndipo tutakapojua njinsi ya kulitatua tatizo hili.Jana kuna mgonjwa kamchapa makofi Nurse huko Katavi ila hajachukuliwa hatua yoyote ile, ile chuki ya wananchi kwa serikali imehamia kwa madaktari
Hospitali haina vifaa wala dawa bado huyu daktari analaumiwa serikali nayo inamuangukia
utakuta mtu unamwelekza vizur kwa nia njema kabisa bwana dawa hii ni nzuri kwa condition yako na hapa kwetu haipatikan so fanya juu chini uitafute huko nje anakujibu mbona tuliambiwa dawa zote zinapatikana hapa hospitali....utafanyaje?? inabidi uwe mpole uendelee ku attend wengine maana hukawii kuletewa DC aje akutumbue jipuTatizo serikali ya majipu imewapa kichwa wananchi. Yaani wanasahau kuwa Kila sehemu ina taratibu zake. Huenda wananchi sasa wanatumia kauli chafu kwakua wanaamini mtetezi wao yupo, kitu ambacho si sawa. Jaman tujifunze heshima na busara. Hawa madaktar ni watumishi na wala sio watumwa
lipo tatizo la watu kutokujua wajibu wao, mwalimu mkuu anakuwa mhasibu na afisa manunuzi anatembea na proforma mtaani, daktari anakuwa mfamasia afisa masoko anakwambia kanunue dawa kule au pale tena hii, waachwe wafamasia wawaeleze wagonjwa hii dawa hakuna ipo hii muulize docta wako kama inakufaa,utakuta mtu unamwelekza vizur kwa nia njema kabisa bwana dawa hii ni nzuri kwa condition yako na hapa kwetu haipatikan so fanya juu chini uitafute huko nje anakujibu mbona tuliambiwa dawa zote zinapatikana hapa hospitali....utafanyaje?? inabidi uwe mpole uendelee ku attend wengine maana hukawii kuletewa DC aje akutumbue jipu
TUACHE USHABIKI KUFANYA KAZ UNAYOIFANYIA MAANDALIO KABLA YA KUFKA OFCN NI TOFAUT KUFANYA KAZ AMBAYO UKIHAMUKA HUJUI UTAKACHO ANZA NACHO,,UDACTAR SIO KUANDIKA NA KUJAZA MAKARATAS TUU,,KUNAHITAJI UANGALIFU NA UMAKIN MAANA BINADAMU SIO MAABARA YA KUJALIBIA,,ILA SIASA IMETANGULIA MBELE hapa nchin,subrin siku wahudumu wa afya wakihamua kufanya kaz kama walimu waliokata tamaa tangia enzi za mwinyi,,ndomtagundua umuhimu na hlo halina kesho lishaanza.Daktari anafanya kazi masaa mangap kwa siku? siku ngapi kwa week??
Daktari analipwa sh. Ngap? anakatwa sh. Ngap?
daktari anapaswa kuwa na familia au laaaah?? akiwa nayo mke wa daktari anakaa na mumewe au mkewe lini? watoto wake wanapataje wasaa wa kukaa na wazazi wao??
most of u guys mnalala jumamosi na jumapili. Weekdays mnatoka kazin sa. 11 Maximum.
Most of us tunakaa hospital mpaka sa 2, na usiku tunaamshwa kuja kuwahudumia nyie kama ndugu zetu. We work 7days a week, and our timetable always accomodate room ya kuitwa hata kama usiku sa. 10 Niko natengeneza mtoto... u think we get paid fo that? Well we dont. Our children wanakua with pride wazaz wao madr. But we are poorest parents ever, its not a choice is default kwenye system yetu.. sio kwamba nilichagua niwe daktari so as kutake every crap ambayo utakuja nayo kwakuwa we ni mgonjwa. And sisi ni watu pia, nina familia, nina ndugu... mshukuru mungu ukienda kazini unaenda kuhesabu hela au Kuandika kwenye makaratasi.. nataman siku moja ungejua inakuaje unaamkia kuwasikiliza watu ambao wengi wao sio waekewa na hawajali wenzao bali wao wenyewe..
Ofisi ya serikali ikifika sa. 7-8 Ni muda wa kula ila dr. Akiacha clinic muda huo kwenda kula utaambiwa tumekuja sa. 12 Bila hata kujua wewe upo pale tangu jana.. you dont ask, you never ask.. doctors are most non-selfish people out there but hamuwez kujua kwakua mnaangalia mambo mnayoyafanya kwenye 24 hours nakuzan tinalingna..
fine, ni vizuri kuwaza mnavyowaza kwakua scope ya what mmewitness haiwaruhusu kuwaza beyond that..
Anf no, drs. Hawana lugha mbaya but kama human akiwa na bad mood learn kuongea naye pia..
We work in most difficulty environments, tunajitoboa kuhudumia wagonjwa wa HIV, personally nishawah kumzalisha mtoto kwa mikono mitupu 5years ago wakati hamna gloves. I risked my life mom was positive, alafu leo mnakuja kuongea ujinga without hata kusikiliza mazingira yakoje..
Its shame nchi kama yetu inamadaktar wachache na tuko 45 mil.
mnazan madakatari wenye vyet wanafika hata elfu 20???
Fine, we bleed for ua relatives, we abandon our husbands, wives for you.. tunachoka pia, tutachoka one day.. its not fair, u may not see these but one day mtajua.. NIMEIKUTA MAHALI!!
Umeongea kitu kizuri mkuuWe nurses tunakaa na wagonjwa 24hrs we nurse them we love our patient lkn people don't care don't value ,mistake zipo km binadamu no one z perfect,mazingira co Rafiki lkn tunajitoa muhanga,msibase kwenye weakness some time u have to appreciate our care na ikifika mda mungu ameamua we hv no way,we treat but god heal,serikali kuna watu muhimu sana manessi their basic unit of care,naomba kuwaclisha