Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Haya mambo yamepitwa na wakati kutegemea huruma ya daktari kuhudumia mgonjwa au panga la wanasiasa kutishia madaktari ndio wafanye kazi.
Dunia nzima sasa hivi hospitali zimefungwa systems ambapo mgonjwa akisajiliwa hospitalini tu inajulikana ni saa ngapi na kuonyesha amepangiwa daktari nani. Akihudumiwa na daktari kwenye system inasoma, akipangiwa kwenda maabara inaonyesha na kapima vipimo gani na majibu ni yepi hadi siku mgonjwa anatoka hospital na inabaki kwenye medical records. Kufanya kazi kisisiemu sisiemu kwa kutegemea huruma na kutishiana imebakia Tanzania tu na hata hao akina Majaliwa na Magufuli hawataweza kufika hospitali zote Tanzania, lakini MIS zinaweza kufungwa kila hospitali na kituo cha afya. Dunia imebadilika nyie maccm, wekeni MIS kwenye mahospitali, wekeni CCTV mabarabarani maisha yawe mazuri. Mbona kodi mnatukamua sana
Dunia nzima sasa hivi hospitali zimefungwa systems ambapo mgonjwa akisajiliwa hospitalini tu inajulikana ni saa ngapi na kuonyesha amepangiwa daktari nani. Akihudumiwa na daktari kwenye system inasoma, akipangiwa kwenda maabara inaonyesha na kapima vipimo gani na majibu ni yepi hadi siku mgonjwa anatoka hospital na inabaki kwenye medical records. Kufanya kazi kisisiemu sisiemu kwa kutegemea huruma na kutishiana imebakia Tanzania tu na hata hao akina Majaliwa na Magufuli hawataweza kufika hospitali zote Tanzania, lakini MIS zinaweza kufungwa kila hospitali na kituo cha afya. Dunia imebadilika nyie maccm, wekeni MIS kwenye mahospitali, wekeni CCTV mabarabarani maisha yawe mazuri. Mbona kodi mnatukamua sana