zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
- Thread starter
- #21
IQ ya madaktari ni level ya juu sana kwako. Unataka wakupe ripoti kwani wewe pia daktari? Endelea kufikiria kwa kutumia masaburi.
Mtasema sana, lakini ukweli wameufyata na wapo waliokwisha jiuzulu uongozi wa hicho chama chao. Waulize kwanini?