GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,884
- 109,592
Yaani ukikutana na Daktari wa Mwananyamala na Kumuuliza Mkeo akijifungua ni lini uanze Kufanya naye mapenzi utajibiwa baada ya Siku 40 au 60.
Ukiwauliza Madaktari wa Amana na Temeke watakuambia baada ya Miezi Mitatu hadi Sita. Yaani kila Daktari anashauri anavyojisikia na Alichokikariri Chuo Kikuu alichokisoma.
Kudadadeki zenu sasa GENTAMYCINE nami nakuja na utaratibu wangu kama Daktari nisiye na Cheti kuwa Shemeji yenu Akijifungua tu nikimvumilia sana basi ni Siku 7 au 14 tu na baada ya hapo ni Kumbandua bila Huruma kwani hakuja Kwangu Kushiba na Kukuweka pekee.
Halafu ni kwanini Madaktari wa Tanzania huwa hamfanani kwa Maelekezo yenu ya Kitabibu kwetu Wanadamu / Wagonjwa?
Na kama kuna Daktari (tena Specialist kabisa) ambaye anatuchanganya Watanzania kwa Kauli zake Mchanganyiko ni Profesa Janabi na nadhani kama kuna kauli Mchanganyiko aliyoibakiza kutuambia Watanzania ni kuwa Wanaume waliotahiriwa wanaishi Maisha marefu kuliko Sisi tuliotahairiwa.
Ukiwauliza Madaktari wa Amana na Temeke watakuambia baada ya Miezi Mitatu hadi Sita. Yaani kila Daktari anashauri anavyojisikia na Alichokikariri Chuo Kikuu alichokisoma.
Kudadadeki zenu sasa GENTAMYCINE nami nakuja na utaratibu wangu kama Daktari nisiye na Cheti kuwa Shemeji yenu Akijifungua tu nikimvumilia sana basi ni Siku 7 au 14 tu na baada ya hapo ni Kumbandua bila Huruma kwani hakuja Kwangu Kushiba na Kukuweka pekee.
Halafu ni kwanini Madaktari wa Tanzania huwa hamfanani kwa Maelekezo yenu ya Kitabibu kwetu Wanadamu / Wagonjwa?
Na kama kuna Daktari (tena Specialist kabisa) ambaye anatuchanganya Watanzania kwa Kauli zake Mchanganyiko ni Profesa Janabi na nadhani kama kuna kauli Mchanganyiko aliyoibakiza kutuambia Watanzania ni kuwa Wanaume waliotahiriwa wanaishi Maisha marefu kuliko Sisi tuliotahairiwa.