Madaktari na serikali wote ni vimeo. I hate them.
Nimeonja chungu ya jeuri yao unafikiri Mkuchika, Pinda, Kikwete n.k wanatibiwa humu nchini. Wanaoumia ni tabaka la chini kabisa ambalo pengine hakuna hata wa kuwasemea humu zaidi yangu mimi na wewe ambaye umeipenda comment hii.
Wengi tunaoingia JF tunao uwezo wa kwenda HINDU MANDAL, AGHAKAN, REGENCY n.k Lakini hao ambao wataumia kwa migomo ya madaktari hata uhakika wa milo miwili kwa siku hawana.
Hivi unafikiri kama kuna mtu ndugu yake atakufa; kwa hiyo migomo atawachukuliaje hao madaktari?
Ndiyo hapo walalahoi wengi ambao wanahongwa kanga na ubwabwa na hao wanasiasa wajue thamani ya kura zao.Ili itakapofika muda wanasiasa wanadai kupitishwa wawaulizi wamepata kuchukua hatua gani katika kutetea masilahi yao.
Ni muda mzuri kabisa kwa madaktari kugoma nawashauri sasa muda wa kukutana na Pinda umepita.Kuna taasisi tatu tu ndiyo iliyobaki kukutana navyo ilikuweza kujadiliana(Makamu wa Raisi ,Rais mwenyewe au kamati ya Bunge ya masuala ya jamii ili kikao cha Bunge kijacho PM afuliwe U-PM wake immediately at the first seating of the Parliament maana waheshimiwa Wabunge sisi walalahoi tumewapa Rungu la kuwaadabishwa Viongozi wenye Jeuri kama ya Pinda na wengineo