Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Madaktari wana haki ya kudai madai yao......lakini kugoma tena,watu wa chini watakuwa wanaumia sana,nafkiri watafute njia nyingine mbadala ya kudai madai yao..
Panga la shaba, huo ndio ukweli na wanatakiwa kuwa na utu na kutambua kuwa wanaoumia katika migomo yao ni wananchi wa kawaida mama na baba zao wakiwemo.