Madaktari wana haki ya kudai madai yao......lakini kugoma tena,watu wa chini watakuwa wanaumia sana,nafkiri watafute njia nyingine mbadala ya kudai madai yao..
Hebu tusaidiane mawazo. Njia mbadala kama ipi ambayo serikali yetu hii unavyoijua na kiburi chake inaweza kuikubali?