Hayawani ni wewe unaejidai haujui hali halisi. Kuna faida gani dokta kuingia kazini hali hakuna dawa, wala chochote cha kufacilitate tiba? Hayawani ni mzazi wako alozaa hayawani km wewe unaetetea serikali mfu kwa kuwaua watu wake wenyewe. Let say m2 anapelekwa theatre kupasuliwa, bingwa yupo, vifaa hakuna, dawa hakuna, umeme hakuna, daktari anaingia mfukoni mwake anajinunulia vifaa vile muhmu then atafanya ivyo mpaka lini hali fungu la kununulia vifaa zishaenda kuhongea mademu wa ba mwanaasha? Damu za wote watakaokufa na ikawe juu yao na familia zao wote wanaokula na kutapanya kodi zetu pamoja na hao wanaoshabikia madhila yanayowapata madaktari! AMEN!