Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Sasa ukikuta ajenda hazieleweki ndio utoe lame excuses? Hapo madaktari wamechemsha na wamejidhalilisha. Na wakigoma this time wajue wananchi hawatalaumu serikali.
wameomba kikao cha doctors na waziri mkuu wanakuja na watu wa mambo ya ndani kwani kuna vita pale? Suala ni kuamba yule mwandishi wa prime alikurupuka kukimbilia kwenye vyombo vya habari ili kupotosha umma. Madaktari walijitoa kutokana na kukosa imani na ujumbe wa serikali uliokuja na watu hata wasiohusika. Tatizo linarudi mwanzo ambapo madaktari walikuwa wanaomba kuongea na wizara na wizara inakimbilia kwenye vyombo vya habari,hawa ndo negotiators.? Kwanza jiulize,kuna madai ya doctors hawa wengine wanaenda kujadili madai yapi? Wana mgogoro gani na serikali? Tuwe wakweli na tuache unafiki toka mwanzo walikaa kimya kwa nn sasa? Hawajui kwamba wanataka kutumika kuharibu maboresho ya wizara ya afya yanayokaribia kufanyika. Tutashinda hii vita,hata kama watakaofaidi ni wachache. Kwani waziri kujiuzulu ni gharama gani?