Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,180
- 42,000
kiukweli waislamu wanayo haki ya kudai hivyo vitu japokuwa serikali yetu haina dini ila kuna baadhi ya viongozi wameingiza udini ktk kutekeleza majukumu yao na kuonekana kuwa wanamaslahi nayo ktk maisha yao ndio maana wanalilia mfumo wa kuandika majina drs 7 urudie ili waendeleze kuwakandamiza waislamu ktk kupata elimu.
alshabab