Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Mwanakijiji wewe tunakujua ni mtu uliyekata tamaa baada ya kujikuta umekosa nafasi kwenye serikali, kifupi wewe ni muasi kwa hiyo unaamua kuandika makala za kichochezi kuwashawishi wananchi wawe na chuki na serikali yao waliyoiweka madarakani wao wenyewe kwa njia ya kura.
Huwezi kufananisha uongozi wa sasa na ule wa kikoloni hata kidogo labda uwe unaishi ughaibuni (muasi kama wewe).
Ni vyema ukarudia kuisoma historia ya tanzania ukiwa umetubu na ukiwa hauna jazba kama wakati ulipokuwa unaandika makala yako hii ambayo haina ukweli wowote katika maisha ya mtanzania wa sasa.
Unataka kujenga jamii ya watu walalamikaji lalamikaji na yenye kulaumu badala ya kuhamasisha watu kufanya kazi. Wewe ungekuwa mzalendo ungebaki hapa nchini ukashiriki kujenga nchi kikamilifu badala ya kuangalia mechi kwenye TV na kukosoa.
Kifupi HUNA MPYA vijana wanasema UMECHOKA.
Huwezi kufananisha uongozi wa sasa na ule wa kikoloni hata kidogo labda uwe unaishi ughaibuni (muasi kama wewe).
Ni vyema ukarudia kuisoma historia ya tanzania ukiwa umetubu na ukiwa hauna jazba kama wakati ulipokuwa unaandika makala yako hii ambayo haina ukweli wowote katika maisha ya mtanzania wa sasa.
Unataka kujenga jamii ya watu walalamikaji lalamikaji na yenye kulaumu badala ya kuhamasisha watu kufanya kazi. Wewe ungekuwa mzalendo ungebaki hapa nchini ukashiriki kujenga nchi kikamilifu badala ya kuangalia mechi kwenye TV na kukosoa.
Kifupi HUNA MPYA vijana wanasema UMECHOKA.