minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Kibaya zaidi Polisiccm wamewaona watanzania ni mbumbumbu sana ni dharau kubwa, wamesahau kuwa watanzania wapo vizuri kwenye idara zoteKwahiyo magufuli alikuwa akilea magaidi kiasi kwamba hadi akawa anapanda nao majukwaani?
Ama kweli ccm ni kiwanda cha kuzalisha magaidi na majambazi