Madai ya kuondoa CCTV Camera: Wahusika mpaka sasa wameshindwa kutoa ufafanuzi wala kukanusha

Wapelelezi waendelee na uchunguzi na bora wawalete wa nje ili ukweli uwekwe wazi. Kwa sasa tuzidi kumuombea majeruhi apone haraka.
 
Kama Mshauri mkuu wa Mkuu ni Bashite..... Na kama Bashite anatembea na kikosi Especial toka ndani ya Tiss.... Basi taifa letu litafanya mambo ya hovyo kuwai kutokea
 
Kwan mpaka leo hii kuna asiyejua nani muhusika wa lile jaribio la mauwaji,mbona hilo jambo liko wazi.
 
Majibu yanaendelea kuandaliwa na wana nanihii!!
Tusubiri tu, hii kitu ya Lissu inawadhalilisha mno!
 
Ni wazi wamekosa utetezi au wanahofia kuibua mjadala zaidi kama sio kuhofia maswali ya waandishi.

Hili jambo linahitaji majibu kutoka kwa wahusika tofauti na hapo huu utakuwa ni ushahidi tosha wa kimazingira kuwa kuna picha wanajaribu kuzificha.

Ingekuwa ni utaratibu wa kawaida bila shaka wangeshajitokeza hadharani na kutupa mifano ya maeneo mengine ambayo utaratibu kama huo ufanyika au hata kutaja sehemu ambayo camera hizo zimekuwa zikipelekwa na pengine kutoa vielelezo vya makabidhiano au matengenezo,n.k .

Kama wanafunga camera mpya basi tunatarajia wangetoa document za manunuzi zikionyesha tarehe ya manunuzi au document zinazonyesha kuwa hizo camera zinapaswa kubadilishwa pamoja na nyaraka za camera mpya zilizofungwa maana sidhani kama nyumba za viongozi zinaweza kuachwa bila camera za usalama kwa maana ya kuondoa zilizopo wakati za ku-replace hazijapatikana.

Anyway,labda wanaandaa majibu hivyo tuwe wavumilivu.
Si Kila upumbavu unaoongelewa na wapinzani uchwara wakiamini watanzania wasiokuwepo eneo la tukio wataamini, ujibiwe au ukanushwe.
Vitakanushwa vingapi vizushwavo?

Sometimes wajinga wanapotezewa tu
 
Majibu yanaendelea kuandaliwa na wana nanihii!!
Tusubiri tu, hii kitu ya Lissu inawadhalilisha mno!
Hawa viumbe hawaogopi kudhalilika kabisa....kwani majibu ya mabomu ya Olasiti na kwenye mkugano wa CHADEMA yako wapi?

Usitegemee lolote hapo.
 
Ni wazi wamekosa utetezi au wanahofia kuibua mjadala zaidi kama sio kuhofia maswali ya waandishi.

Hili jambo linahitaji majibu kutoka kwa wahusika tofauti na hapo huu utakuwa ni ushahidi tosha wa kimazingira kuwa kuna jambo haliko sawa.

Ingekuwa ni utaratibu wa kawaida bila shaka wangeshajitokeza hadharani na kutupa mifano ya maeneo mengine ambayo utaratibu kama huo ufanyika au hata kutaja sehemu ambayo camera hizo zimekuwa zikipelekwa na pengine kutoa vielelezo vya makabidhiano au matengenezo,n.k .

Kama wanafunga camera mpya basi tunatarajia wangetoa document za manunuzi au document zinazonyesha kuwa hizo camera zinapaswa kubadilishwa pamoja na nyaraka za camera mpya zilizofungwa maana sidhani kama nyumba za viongozi zinaweza kuachwa bila camera za usalama kwa maana ya kuondoa zilizopo wakati za ku-replace hazijapatikana.

Vile vile inawezekana ziliondolewa kwa nia njema tu ya kufanya uchunguzi au kuhifadhi au kulinda ushahidi ila kwa mtazamo wangu walichokosea ni kufanya hivyo bila kushirikisha upande wa pili

Anyway,labda wanaandaa majibu hivyo tuwe wavumilivu.

Kumbe sikuhizi hata polisi wakikusanya ushahidi wanatakiwa kumwomba Tundu Lisu au CDM.
 
sorry kidogo.....napenda kujua tukio la kupigwa risasi lilitokea mbele ya nyumba ya nani.....kama ni ya mh. tundu lissu ...kwa nini yeye personally hakuwa na cameras za cctv kuzunguka nyumba yake (hasa parking, milangon n.k)....wakati alikuwa na mashaka na usalama wake.........naona siasa zinaendelea kwa nini tutegemee camera za viongozi wengine...(watoe na ushahid pia kama nyumba hizo before zilikua na camera na sasa hivi hazina (wa picha utakua mzuri zaidi)).........
 
Back
Top Bottom