Ni wazi wamekosa utetezi au wanahofia kuibua mjadala zaidi kama sio kuhofia maswali ya waandishi.
Hili jambo linahitaji majibu kutoka kwa wahusika tofauti na hapo huu utakuwa ni ushahidi tosha wa kimazingira kuwa kuna jambo haliko sawa.
Ingekuwa ni utaratibu wa kawaida bila shaka wangeshajitokeza hadharani na kutupa mifano ya maeneo mengine ambayo utaratibu kama huo ufanyika au hata kutaja sehemu ambayo camera hizo zimekuwa zikipelekwa na pengine kutoa vielelezo vya makabidhiano au matengenezo,n.k .
Kama wanafunga camera mpya basi tunatarajia wangetoa document za manunuzi au document zinazonyesha kuwa hizo camera zinapaswa kubadilishwa pamoja na nyaraka za camera mpya zilizofungwa maana sidhani kama nyumba za viongozi zinaweza kuachwa bila camera za usalama kwa maana ya kuondoa zilizopo wakati za ku-replace hazijapatikana.
Vile vile inawezekana ziliondolewa kwa nia njema tu ya kufanya uchunguzi au kuhifadhi au kulinda ushahidi ila kwa mtazamo wangu walichokosea ni kufanya hivyo bila kushirikisha upande wa pili maana teyari kuna hali ya kutoaminiana.
Binafsi nilitarajia kama camera hizi zilinasa chchote basi umma ungedokezwa mapema kuwa camera hizi zilinasa tukio lile na kwamba wanatarajia zitasasaidia uchunguzi na leo hii sidhani kama mh.Mbowe angehoji jambo hili.
Lakini pia kama camera zilinasa sura za wahusika ni vzuri sura hizo zikawekwa hadharani ili wananchi wakazifahamu na kusaidia upelelezi.
Anyway,labda wanaandaa majibu hivyo tuwe wavumilivu.
Nijuavyo mie kulikuwa hakuna haja ya kuziondoa, cctv camera system inaweza kuhifadhi recorded datas kwenye camera husika na kwenye machine yake DVR au NVR. Kuwa na system hiyo ni pamoja na kurahisisha kazi kwa wapelelez (polisi)."Wahusika wameziondoa". Inajitosheleza.
Kwa wenzetu , kama picha zilinaswa watuhumiwa sura zao zingewekwa kwenye magazeti na runinga ili wananchi wasaidie kuwapata, naonaga marekani wao mpaka video wanaweka wazi kwa wananchi Tz inaogopa nnKumbe sikuhizi hata polisi wakikusanya ushahidi wanatakiwa kumwomba Tundu Lisu au CDM.
Uchunguzi bado unaendelea, anasubiriwa dereva wa Lissu
U did'nt understand my point Mkuu, Those are the simple answers the officers will tell you...!Kwani yeye ndie aliondoka na hizo CCTV cameras na DVR/ computer husika?