Madafu Yakatangebe Dola, ni ya kudumu au?

Hapa nakubaliana na Mgonjwaukimwi. Kuna factors nyingi zinazo-determine competitiveness ya kuuza bidhaa nje. Kwa Tanzania, thamani ya shilingi haiwezi kuwa determining/significant factor, at least so far.

Tukirudi kwenye somo la shilingi yetu kupata nguvu, ni kwa sababu ya kupungua thamani ya dola...na wala sio endogenic factors....production, saving, export, etc.

BTW: Mgonjwaukimwi huhitaji kusema ukiwa na muda wa kucheza ndio unaingia JF. Kuonekana kwako nadra hapa ni ishara tosha kwamba unatumia muda wako kwingine. Assuming ukimwi bado haujakumaliza kabisa.
 
MgonjwaUkimwi

Good points; kupanda na kushuka kwa pesa ni factor kubwa kwa walio wengi. Lakini sisi Tanzania tunafurahia shillingi yetu ichezewe kama ilivyo hivi sasa? Kwa sababu nakumbuka miezi kadhaa iliyopita kodi za nyumba na magari pamoja na vitu vingine vilikuwa vinauzwa kwa dollar, yaani 'we have become a loughing stock' inapokuja kwenye thamani ya shillingi.

Angalia kwa mfano leo bei ya gold ounce moja (28g) ni dollar 738 lakini sisi kama wachimbaji wa bidhaa hiyo hatunufaiki na uzuri wa bei hiyo, angalia wenzetu wenye mafuta wakati yanakaribia dollar 100 ndivyo wanavyoendelea kufaidi, mfano Angola ambao uchumi wao unakuwa kwa haraka sana kutokana na hilo. Swala jingine ni mazao yetu ambayo tunauza kwa nchi jirani kama mahindi mchele n.k. tunaweza kabisa kupanua soko hilo rejea mazungumzo ya kuondoa kodi kwa nchi za SADC tunahitaji kuboresha njia zetu za usafiri ili kuweza kunufaika na hilo litakapotokea.

Vile vile kuweka mbinu za kuona kwamba pesa yetu inastabilize against all major currencies na sio kutegemea dollar pekee kwa sababu mwelekeo wa uchumi duniani unabadilika na inabidi twende na wakati. (tunachimba dhahabu kwa nini tusitengeneze bullions na kuzihifadhi na kuuza tunapohitaji na kuachana na kuhodhi dollars). Nchi zote makini wanaweka akiba kwenye bullions.

Kitu kingine ambacho nafikiri tumejisahau ni kodi za viwanja vya ndege nakumbuka sisi ndio tulikuwa wa kwanza miaka ya 80 kuweka $20 kwa wageni wanaotembelea bongo wanapoondoka kwenye airport zetu, leo hii ni miaka karibu 27 kiwango hicho kimebaki hapo hapo, kwa nini hakiongezeki kufuatana na inflation? Tumekuwa na haruma kwa wageni na mafisadi lakini hatuwaonei huruma walipa kodi wa Tanzania. Tukumbuke kwamba Kenya shillings ilikuwa at par na Tanzanian shillings kama sikosei in 1980's. Tukiweza kuziba loop holes ndio tutafanikiwa katika kuwawezesha walalahoi kupiga hatua na kujivunia shillingi yetu.
 
Naona shilingi iko kwenye freefall tokea tubadilishe dereva...Tatizo nini?! Nilikuwa optimistic baada ya shilingi kuanza kupanda kwa kasi lakini naona tunashuka mlima tena.

[FONT=verdana, Arial]Exchange Rates for 12/Feb/2008[/FONT]
[FONT=verdana, Arial]USD Mean value =[FONT=verdana, Arial]115,305.00 [/FONT][/FONT]

Exchange Rates for 18/Apr/2008
[FONT=verdana, Arial]USD Mean value = [/FONT][FONT=verdana, Arial]123,386.00[/FONT]

Percentage loss in 2 months = 7%!!!
 
Back
Top Bottom