Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 321
- 67
Jamani angalieni jinsi shilingi inavyopata nguvu haraka zidi ya foreign curency, sijui ndiyo itadumu au ni ya muda tu!!
http://www.moneylinktz.com/rates.htm
Au ndiyo pesa za misaada zimeanza kushuka kutoka ughaibuni
tutaishi kwa misaada mpaka lini?
Tahadhari:
ikija kushuti sasa mpaka 1500 Tsh mtaniambia kwa dola
http://www.moneylinktz.com/rates.htm
Au ndiyo pesa za misaada zimeanza kushuka kutoka ughaibuni
tutaishi kwa misaada mpaka lini?
Tahadhari:
ikija kushuti sasa mpaka 1500 Tsh mtaniambia kwa dola