Madadiito na Mamito.

jamani madadiito na mamito. Lets plan a get together this weekend for all the dar members.

Najua issue ya usama wa taifa kutukusanya kama kuku lakini msijali.

It will be difficult to trace who is who.

Wengine hatuogopi hata kuweka our real image humu.

Nitakua kiongozi mkubwa.
ndo tutajua kama lizy ni jike au dume
 
Jamani Madadiito na Mamito. Lets Plan a Get together This weekend for all the Dar Members.

Najua issue ya usama wa taifa kutukusanya kama kuku lakini msijali.

It will be difficult to trace who is who.

Wengine hatuogopi hata kuweka our real Image Humu.

nitakua kiongozi mkubwa.



Huh!! Kumbe that is your real image?? Gal you are beautiful..... and Sexy too.....
 
Yani we kufika dasilamu basi unaona unajua kila kitu?!

Huyu mentor nilimshika mkono kumvusha bara bara lakini sasa anajifanya mboooongooo! Haya bana si amesikia sasa kukwa hiyo kitu RUNWAY LOUNGE haipo sinza? manake nilistushawa ni kiwanja gani hapa sinza nisichokijua kumbe wazungumzia Maikochain... Poa wanaokifahamu kama kina maslahi tupeni tu ramani tutatia timu....
 

Huyu mentor nilimshika mkono kumvusha bara bara lakini sasa anajifanya mboooongooo! Haya bana si amesikia sasa kukwa hiyo kitu RUNWAY LOUNGE haipo sinza? manake nilistushawa ni kiwanja gani hapa sinza nisichokijua kumbe wazungumzia Maikochain... Poa wanaokifahamu kama kina maslahi tupeni tu ramani tutatia timu....

Hahah...dat was years ago!
leo hii unachujua bado ni hapo hapo sinza tu!
 
Hahah...dat was years ago!
leo hii unachujua bado ni hapo hapo sinza tu!

Apooo kwenye redi,......

May be ka ulichomaanisha kwamba mie najua sinza tu jibu ni hapana ila uko Maikochain mh! Mie mtoto wa mkulima kwenye ukoo wetu hakuna fisadi ata mmoja asa nifuate nin umo? Frankly spiking utanipoteza.... I knw veri few eriaz Mentor!
 
Vivian em amua sehem bana!
watu wanaishiatu ku propose bila kukonfem.
kwa kua we ndo umetoa wzo then toavenue na mda. ila ushauri zingatia sehem ambayo haijabana san,
na isiyokua sana ya makazi. kama fukweni n.k
nitappita hapa kuangaliamakubaliano ya mwisho ni yapi!
 
Jamani Madadiito na Mamito. Lets Plan a Get together This weekend for all the Dar Members.

Najua issue ya usama wa taifa kutukusanya kama kuku lakini msijali.

It will be difficult to trace who is who.

Wengine hatuogopi hata kuweka our real Image Humu.

nitakua kiongozi mkubwa.



Vivian OUT OF TOPIC... My brother is crying... kwa kuomba msamaha na kwamba alikua hana nia mbaya...lol
 
Back
Top Bottom