mbeyakwetu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 719
- 393
alihic ndo kuisoma namba kwako ndo maana ataanza kulia mkuu pole
Hujasema yeye anakipato gani?
Isije siku ukaomba akuchangie mahari
Mkuu hadi hatua ya kuchukua kwa mke mtarajiwa mchoyo nikutajie??
Hadi unaelekea kuoa utakua ni matured enough kufanya maamuzi yako binafsi
Kama ni kawaida kwako kwa mke kushindwa kukusaidia ulipokwama basi mimi sina cha kufafanua hapo
mkuu ulitakiwa ujipange vizuri, hutakiwi kuonesha udhaifu wowote ukweni, kodi hata hummer ili mradi tu ukawashawishi kuwa unaweza kumtake care mtoto wao.Najua cost zangu ila sasa mambo yanapokuelemea unaitaji msaada sasa kwa hili unafanyaje?
si kitu cha kucheka lakini duh sasa analia kwani hakuona unavyotoa pesa. Siku nyingine jiongeze uwe na pesa nyingi usimlize mwenzio
Teh teh teh...Hizo ni cost zako mkuu, usije ukamwambia mtoto wa watu ajilipie mahari!!
Mimi mienzi 6 tu ningesha msoma.wewe miaka 4 hujamsoma tu? Huyo atakuwa ESCOW
Namba ya kichaga unaisoma!Wiki hii siku ya jumatatu mimi na huyu mwandani wangu tulipanga safari ya kwenda kujitambulisha maana kwa miaka 4 tumekuwa kwenye mahusiano.
Sasa baada ya kukata tiketi siku ya safari iliwadia. mida ya saa 0530 tuliwasili na safari ilianza saa 1200. tulipo fika nzega gari lilipata pancha. ikabidi tusubiri mpaka litengamae. tulipofika tena monduli gari likachemsha kwa sababu maji kwa radiator yalikuwa hayatoshi. safari ilikuwa ya mshike mshike mpaka nafika arusha saa nne za usiku. kwa vile nilikuwa mara ya kwanza kufika sasa kutafuta chumba cha kulala na chakula almost sh. 220000 kuanzia mwanzo wa safari.
Kilichonishangaza wakati akiba yangu inaniishia nikamwambia,"baby, hapa akiba yangu kama inaniishi". nilichoshangaa akaanza kulia, sasa kumuambia achangie gharama analia?
Nimetumia akiba yangu mimi na yeye na bado namwomba anisaiidie pale mkono wangu haufiki anaanza kulia. japo nilijikamua ili nisimkwaze, japo tulifika na kurudi salama?
Je hii vipi wana MMU ni kawaida wadada kutotoa hela kwa mmeo?
hao unaowapata wewe tuHatua gani nichukue? embu fafanua maana naona kama kawaida ya wanawake kutokuchangia ata kama ana kazi
We nawe si upige chini tu,kusoma hujui na picha nayo huoji,au unataka tuje kukuimbia Huyo ni chaguo lakoo!Najua cost zangu ila sasa mambo yanapokuelemea unaitaji msaada sasa kwa hili unafanyaje?
ana pesa huyokwa kweli hajawahi kuniambia ila yeye ni wakili wa kujitegemea na hivi majuzi nilipata taarifa ameingia kwenye chama la mawakili wanawake