humphrey Pole pole ni muongo na muoga, anajibu kwa uongo na kutojiamini, ni aibu Taifa kuwa na Vijana wa style hii
Polepole amepotea njia anaendekeza chuki binafsi hana point. Mtatiro amemkalia kooni hachomoki.
hivi wwe unaangalia au unasimuliwa???acha uongo na uwe au ndo mnafundishwa na viongoz wa ukawa? hivi kat ya mtatro na pole pole nan hajiamin?
Mtatiro anajitahidi sana ila huyu polepole ni saizi ya lissu,slaa na zitto tu upinzani.Wengine anawaonea.Angalia mtatiro anavyojitahidi ila ni kama anafundishwa
Tatizo la polepole ni siyo chama bali ni utiifu wake kwa ccm.Hajui kuwa magufuli kawekwa?!