Hatua hii ni baada ya Marekani kutangaza operesheni iitwayo “Project Freedom”, ambayo itahusisha meli za kivita, ndege zaidi ya 100, mifumo ya droni pamoja na wanajeshi takriban 15,000 kusaidia kulinda usafirishaji katika eneo hilo nyeti la Bahari ya Ghuba.
bbc.in