Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakuu habarini.
Gari yangu pamoja na kuweka betri mpya imekua ikinyonya betri. Kwamba ukiamka asbhi unakuta btri haina chaji mpaka ubustie na ingine ndo inakubali.
Mara ya kwanza nnlipekeka kwa fundi akacheki alternator kisha akabadilisha brush ikawa inachaji fresh tu.
Jana sasa wakati nawasha asbhi tatizo likaanzia hapo,?
Naomba kujua ndg wataalam nnini kinachomaliza chaji kwenye betri wakati bado ni mpya??? Haina hata mwezi.
Moja ya sababu ni shida ya wiring. Kama ulishapeleka kwa mafundi umeme wakagusa gusa vitu huko ndani, inaweza kuwa imechangia. Hasa wanaofunga zile car security alarm systems, huwa wanafuruga wiring mara nyingi.
 
Mh! Sijui hizo gari zenu za kisasa zenye bar kwenye gauge. Mie nina Toyota Corolla 110 engine ya 5A ya mwaka 1998, CC 1490 . Naweka mafuta ya 10 mshale wa Gauge unapanda na kuzidi kama 3cm ule mstari wa robo ya mwisho ya tanki. Ila natoka Kisarawe to Mikocheni, then narudi kisarawe na siku ya pili naenda kuongeza mafuta Gapco pale Ukonga Banana. Mind you Kisarawe-Mikocheni B ni 32Km.
Pia nimeshatumia Vitz Rs ambayo engine yake ni kubwa kidogo kwa ya kwako but I had similar experience upande wa fuel consuption. Kwani kutoka hapo Tangi Bovu hadi Posta ni kilometres ngapi?
Hizo engine 5A zinakula mafuta vizuri sana sana..
Hiyo vitz ya 1.3L inaweza zid yakwako.
 
Nimejaribu leo nimejaribu kutembea huku warning sign ya fuel 'E' (empty) ikiwa ina blink, so nimetembea nayo 35 km, but haikuzima wala nn, nkabidi niende petrol station kuongeza.. Ila nahitaji kutest nione mpaka ikizima itakua imetembea km ngapi kwa town trip na sio high way.
Hyo gari inamafuta mengi tu..
Ku blink kwa hyo sio mafuta kuisha,
Mafuta yakiwa yame baki madogo inawaka taa mkuu.
 
Naomba munisaidie hili engine ya gari yangu ni 4E lakini inatatuzo nikiingiza gia mfano D au R body ya gari inatetemeka sana kama vile inakosa mafuta ya kutosha lakini nimejaribu ufanyia matengenezo hadi mfumo wa mafuta na umeme nikaja kubadili hadi engine mount zake zote tatu lakini tatizo liko palepale mwenye kujua au experience ya tatizo hili tafadhari...
 
Wakuu ifikapo Desemba 25/2017 nataka niwe namiliki hii kitu VOLKSWAGEN
Touareg, hivyo kabla sijamua kujitosa kwenye hili gari napenda kufahamu changamoto zake.

Je naweza kufika nalo kwenye rough roads za Sikonge mpaka Katavi, Mpanda na maeneo ya Kakonko na kurudi salama mjini kwenye lami?
 
Hyo gari inamafuta mengi tu..
Ku blink kwa hyo sio mafuta kuisha,
Mafuta yakiwa yame baki madogo inawaka taa mkuu.
Hii haina taa ya kuwaka kuashiriaa mafuta yameisha, bali ina flash last bar.
IMG_20170417_164012.jpeg
 
Mkuu/ Wakuu ifikapo Desemba 25/2017 nataka niwe namiliki hii kitu VOLKSWAGEN Touareg, hivyo kabla sijamua kujitosa kwenye hili gari napenda kufahamu changamoto zake.

Je naweza kufika nalo kwenye rough roads za Sikonge mpaka Katavi, Mpanda na maeneo ya Kakonko na kurudi salama mjini kwenye lami?
 
Mkuu/ Wakuu ifikapo Desemba 25/2017 nataka niwe namiliki hii kitu VOLKSWAGEN Touareg, hivyo kabla sijamua kujitosa kwenye hili gari napenda kufahamu changamoto zake.

Je naweza kufika nalo kwenye rough roads za Sikonge mpaka Katavi, Mpanda na maeneo ya Kakonko na kurudi salama mjini kwenye lami?
Chukua with all decisions
 
Naomba munisaidie hili engine ya gari yangu ni 4E lakini inatatuzo nikiingiza gia mfano D au R body ya gari inatetemeka sana kama vile inakosa mafuta ya kutosha lakini nimejaribu ufanyia matengenezo hadi mfumo wa mafuta na umeme nikaja kubadili hadi engine mount zake zote tatu lakini tatizo liko palepale mwenye kujua au experience ya tatizo hili tafadhari...
Wajuzi wa haya mambo mshana na wengineo Naombeni msaada kwenye hili!! Msinipotezee tafadhari
 
Wajuzi wa haya mambo mshana na wengineo Naombeni msaada kwenye hili!! Msinipotezee tafadhari
Kuna kitu kidogo sana lakini watu wanakidharau ama hawakijui kinakaa aidha kwenye engine ama kwenye air cleaner system kinaitwa breezer, hiki kazi yake kubwa ni kubalance upepo ndani ya mfumo mzima, kikiwa na shida hiki dalili zake ni hizo jaribu kuwasiliana na fundi mjuzi
 
Toyota Noah vox nahitaji kubadili ATF Kwenye Gearbox niweke ipi ilo Nzuri??
Kwanini unataka kubadilisha, kwani imeshabadilika rangi na kuwa nyeusi kutoka rangi yake nyekundu ? ATF haibalishwi kila mara kama engine oil mkuu ! mpaka ibadili rangi iwe nyeusi baada ya kutembea 60,000+ km ndio inabadilishwa..
 
Kuna kitu kidogo sana lakini watu wanakidharau ama hawakijui kinakaa aidha kwenye engine ama kwenye air cleaner system kinaitwa breezer, hiki kazi yake kubwa ni kubalance upepo ndani ya mfumo mzima, kikiwa na shida hiki dalili zake ni hizo jaribu kuwasiliana na fundi mjuzi
Nashukuru kwa msaada wako mshana nitafanyia kazi hilo na vipi kuhusu plag! Maana yupo jamaa yangu mmoja aliwai nieleza inawezekana pia ikawa inachangiwa na plug. Kwa engine hizi za 4E au kwa udhaefu wenu inaweza kuwa nayo ni chanzo
 
Nashukuru kwa msaada wako mshana nitafanyia kazi hilo na vipi kuhusu plag! Maana yupo jamaa yangu mmoja aliwai nieleza inawezekana pia ikawa inachangiwa na plug. Kwa engine hizi za 4E au kwa udhaefu wenu inaweza kuwa nayo ni chanzo
Plug unaaza kuhisi tatizo kwenye silence mode lakini pia zikague na ukibadili hakikisha unaweka genuine...
NB: hakikisha hivi vitu Unanunua mwenyeji na kusimamia ufungaji
 
Plug unaaza kuhisi tatizo kwenye silence mode lakini pia zikague na ukibadili hakikisha unaweka genuine...
NB: hakikisha hivi vitu Unanunua mwenyeji na kusimamia ufungaji
Hii silence mode inafanyaje like inakuwa inaongezeka haishuki au inashuka sana au gari ikikaa silence kwa kipindi fulani inaweza jizima yenyewe.
Kwa experince ya hii ninayotumia mimi ukiwasha inapokuwa gia bado ipo kwenye P inakuwa sawa ila ukiweka gia mfano D au R ndio inatetemeka body na kama umekaa kwenye foleni muda mrefu na unatumia Ac kipindi gari iko silence na iko kwenye gia ukaweka mfano N au P wakati wa kurudi tena kwenye gia inazima
 
Back
Top Bottom