fredymkanza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 284
- 152
Ɓaɓa achana na hiƴo gari ƙaɓisa D4 ni balaa unapeleƙa nƴumɓani
Sija kusoma mkuuuuƁaɓa achana na hiƴo gari ƙaɓisa D4 ni balaa unapeleƙa nƴumɓani
Wadau, Hbr za maisha yetu ya kila Leo?
Nina tatizo la hiv vinavyoitwa "viberiti" ambavyo hutumika kwa ajil ya kupata mziki kwa kutumia flash! Nikikitumia ni wiki 2au 3 hakifanyi kazi tena!
Nimenunua zaidi ya 3 hv tatizo hill hilo! Nisaidieni wajuzi wa hayo mambo, napenda sn mziki nikíwa kweny gar! Karibu!!
LEGE Mm sielewi ndo vimeungua au vipi? Havifanyi kazi ninayotaka mm!
Mkuu umeshanunua Touareg unipe mauzoefuMshana Jr... Ningekuomba uongelee kidogo kuhusu Volskwage Touareg, nampango wa kuinunua gari hii tafadhali.
Mkuu umeshanunua Touareg unipe mauzoefu
Tuorage iko poa Sema Tu usiwe na hela za mawazo mana service yake ikifikia haina kubabaishaMkuu umeshanunua Touareg unipe mauzoefu
Kwasukwasu mara nyingi gari ikiwaka taa hiyo ni kuwa injini ina matatizoMsaada jamani nimewasha gari inalia kama machine ya kusaga na hii Alama imegoma kutoka kwenye dashboard