MKUU INATEGEMEANA NA AINA YA GARI kuna gari nyingine hasa zinazotumia umeme na maana hazitumii stering power ya hydrolic huwa zinazingua kidogo.hapa na maana EPS electronic power stering.Lege na mshana nlikua nahitaji kujua athari ya kupark gari ukaiacha imekata kona yani hujanyoosha usukani
Kaka mshana nahitaji Mazida demio naomba unipe ABC kidogo juu ya hii gari na kama spare parts zake zinapatikanaaaSorry I Meant kama funguo ikipotea
Hapo hapo Mshana pia nami naomba kufahamu kuhusu Mazda Premacy MPV 7 seats 2000cc uimala, ubora, upatikanaji wa spare na fuel consumption ajili ya matumizi ya familiaSpare zipo na fuel consumption ni nzuri sana ila sio gari ya kazi...
Aisee hizi ni gari ngeni hapa nchini kwahiyo bado sijazimaster sana ila nadhani LEGE na wataalam wengine wanaweza kusema nenoHapo hapo Mshana pia nami naomba kufahamu kuhusu Mazda Premacy MPV 7 seats 2000cc uimala, ubora, upatikanaji wa spare na fuel consumption ajili ya matumizi ya familia View attachment 353924
LEGE na wataalamu wengine nisaidieni tafadhari...Aisee hizi ni gari ngeni hapa nchini kwahiyo bado sijazimaster sana ila nadhani LEGE na wataalam wengine wanaweza kusema neno
Corolagari aina gani?? hiyo
mkuu nyosha maelezo vizuri corola aina gani?? basi sema ni engine aina gani ili usaidiwe kwa haraka maana ukisema tu gari yangu au kama hivyo corola utapewa ushauri wa gari ya corola inayofunga engine inayotumia distributer wakati ww unatumia gari inayotumia engine ya sapesa coil?Corola
LEGE msaada tafadhari, naomba kufahamu ubora, spea na ulaji wa mafuta wa MAZDA PREMACY MPV 2000CC 7 seatsmkuu nyosha maelezo vizuri corola aina gani?? basi sema ni engine aina gani ili usaidiwe kwa haraka maana ukisema tu gari yangu au kama hivyo corola utapewa ushauri wa gari ya corola inayofunga engine inayotumia distributer wakati ww unatumia gari inayotumia engine ya sapesa coil?
Je kuna tatizo gani tarpet zikibana sana kwenye gariMkuu achia namba yako nikucheck, kuna mambo flani umenifungua macho mkuu
baterry tatizo hiyo tafuta nyengineWakuu za asbh nna tatzo nimeditect kuhusu gar yangu nkiitumia kwanzia masaa mawili matat bila kuzima au safar ya mda huo nkija kuizima af kuiwasha inagoma hadi niiaxhe ipumzike kwa mda je inaweza kua tatzo ni nn na sltn yake