Jawai
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 530
- 405
Nipo Mkoani mkuu, Dash boad ninya Digital.inawezekana upo wapi na je gari yako ni aina gani na inatumia dashboard /cluster ya digital or analog??
Nipo Mkoani mkuu, Dash boad ninya Digital.inawezekana upo wapi na je gari yako ni aina gani na inatumia dashboard /cluster ya digital or analog??
Naomba uniadd kwenye group la whatsapp no: 0755450721Mwenye kuhitaji ani pm number nimuunganishe kwenye group la whatsapp kuhusu mada maalum ya magari,kuuza,kununua na ushauri.mshana jr atakua admn
2000cc vvti 4wdWadau wa magari hivi kati ya Rav4 yenye 1800cc 2WD vvti na Rav4 yenye 2000cc 4WD D4 engine ipi ni nzuri zaidi maana nina mpango wa kuchukua moja
2000cc vvti 4wd
mkoa gani?? kama unaweza fungua cluster na uitume dar au nije kukurekebishia huko huko mkuuNipo Mkoani mkuu, Dash boad ninya Digital.
Nina mpango wa kuja huko nitakuja nayo ili unirekebishie.mkoa gani?? kama unaweza fungua cluster na uitume dar au nije kukurekebishia huko huko mkuu
Aisee hapa naomba nimwalike LEGEHello mshana asante sana kwa kutujuza khs magari. Nnaomba kufahama hizi jeep grand cherokee ya mwaka 2002 ina tumia mafuta kiasi gan kwa matumiz ya hapa dar? Na pia oil filter zake ziko bei gan na gharama za service kwa ujumla kama naweza jibiwa itakuwa vzr, nina mpango wa kununua cc 4000.
Thanks kaka, LEGE yuko kimyaAisee hapa naomba nimwalike LEGE
mkuu nipo nilikuwa maebo ambayo network ni shida kidogoThanks kaka, LEGE yuko kimya
honda hr-v iko poa sifa yake ya kwanza haiharibiki mara kwa mara kama toyota sifa ya pili haili mafuta sifa ya tatu kwa barabara zetu una starehe kweli shida zake kwenye vipuri maduka yake sio mengi unaweza kuitumia hata miaka 6 bila ya maharibiko kubwa utunzaji tuhabari wadau?
mimi nauliza kuhusu toyota platz na honda Hr-v ziko vipi ? uimara , spares matumizi ya mjini na barabara ya vumbi mara moja moja.. kati ya hizo mbili ipi ni bora zaidi kama unamshauri mtu anayetaka kununua?
[Photo-ATTACHED]Wadau naomba kufahamu ubora wa Mazda Premacy MPV 7seat 2000 cc. Ulaji wake wa mafuta na umadhubuti wake kwa ujumla...
Kama sijakuelewa hvi unaposema funguo ilipoteaFunguo ilipotea shida huanzia hapo japo hii si kanuni kamilifu