Pazmanian
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 984
- 1,346
Gari aina ipi? Inawezekana ilipiga short wakati unabadili bila shaka itakua ni fuse zimeungua zifatilie ubadili.Habari wakuu, nimebadirisha betri , gari ilikuja na betri ya N 40 nikashauliwa kuweka betri ya N 50 , baada tu ya kubadirisha power window ya mlango wa dereva haiwezi kucontrol milango mingine, pia kuna kitaa hapo kwenye power window kinawaka na kuzima. Msaada tutani.